Hilo la waovu kuondoana silijui, ndio maana Sina popote ninapowashukuru hao waovu, bali nimemshukuru Mungu tu.Waovu walimuondoa muovu mwenzao na wewe unashangilia.
Waovu wanapaswa kuondoka na siyo kuondoana
Sahihi kabisa, Ccm haitegemei kura ili kusalia madarakani.Pia Msitake kutuaminisha CCM inategemea kura za ushawishi ingekua hivyo hata huyo Jpm asingeengua mgombea wowote wa upinzani 2020!!. Either way Team Jpm wapige wasipige utashangaa Samia kapewa 100% ya kura za 2025 huko Kanda ya ziwa!! Thats CCM.
Mungu hashirikiani na waovu...Hilo la waovu kuondoana silijui, ndio maana Sina popote ninapowashukuru hao waovu, bali nimemshukuru Mungu tu.
Hana kumbukumbu vizuri, mgao wa umeme ulianza makali yake July 2020 huyo baba akiwa hai, hadi Sasa tatizo limekuwa sugu zaidi. Ni kweli kabisa kipindi chake mgao haukuwa mkali kama Sasa, lakini ulikuwepo.jana nimepeleka mzigo kwa kiongozi mmoja mkubwa tu masaki,nafika pale mida ya saa moja umeme hakuna,mke wa yule kiongozi analalamika kwamba afadhali yule baba umeme ulikua haukatiki.
nikaishia kutikisa kichwa tu.
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Sidhani kama umemuelewa mtoa mada.Tunamshukuru Mungu kwa kutuondelea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Nimemuelewa kuwa alitaka kuonyesha Magufuli alikuwa kiongozi mzuri, Mimi nimemuonyesha yule alikuwa kiongozi muovu na Wala sio mzuri kama anavyotaka tuamini.Sidhani kama umemuelewa mtoa mada.
Huyu anasema anashukuru kwamba Rais Samia ameanza kufuata sera za Magufuli.[Baada ya watu ''wema'' kumshauri]
mama sio mnafiki kama ww.Hana kumbukumbu vizuri, mgao wa umeme ulianza makali yake July 2020 huyo baba akiwa hai, hadi Sasa tatizo limekuwa sugu zaidi. Ni kweli kabisa kipindi chake mgao haukuwa mkali kama Sasa, lakini ulikuwepo.
Huyo mama mnajuana, mimi nimesema ninachofahamu, na sio habari zenu nyie wamama.mama sio mnafiki kama ww.
kasema afadhali yule baba angekuwepo.
unaungana na maelezo yake lakini huku roho yako inakataa.
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Mama Samia anajua anachokifanya ila sukuma gang hamjitambui, political gameSalam kwenu nyote,
Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.
Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.
Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.
Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.
Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.
Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta legacy yake.
Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.
Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.
Hongera sana
Kila kiongozi ana uimara wake na udhaifu wake ila yule 🙄mama sio mnafiki kama ww.
kasema afadhali yule baba angekuwepo.
unaungana na maelezo yake lakini huku roho yako inakataa.
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
habari za umeme sio za wamama ni za kitaifa.Huyo mama mnajuana, mimi nimesema ninachofahamu, na sio habari zenu nyie wamama.
Huyo mama uliyekuwa unamtaja hapa kama reference ndio kipimo Cha mada ya mtu mwenye akili?habari za umeme sio za wamama ni za kitaifa.
jadili kama mtanzania mwenye akili timamu,mada hizo.
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
sijaona tatizo labda kama ulipendelea ningemtaja mume wako.Huyo mama uliyekuwa unamtaja hapa kama reference ndio kipimo Cha mada ya mtu mwenye akili?
labda ulipendelea ningemtaja mume wako boss,sioni tatizo.Huyo mama uliyekuwa unamtaja hapa kama reference ndio kipimo Cha mada ya mtu mwenye akili?
kila mtu ana namna yake ya kumtizama mtu.Kila kiongozi ana uimara wake na udhaifu wake ila yule [emoji849]
Uzi tiyariii!!Salam kwenu nyote,
Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.
Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.
Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.
Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.
Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.
Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta legacy yake.
Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.
Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.
Hongera sana
Hizi takataka mnazitoa wapi?Salam kwenu nyote,
Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.
Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.
Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.
Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.
Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.
Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta legacy yake.
Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.
Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.
Hongera sana