Kuna watu wanabaraka sana ukiwasaidia mambo yako lazima yanyooke kwa kasi ya ajabu

Kuna watu wanabaraka sana ukiwasaidia mambo yako lazima yanyooke kwa kasi ya ajabu

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Huwa kuna mdogo wangu ambaye tumezaliwa mama mmoja baba tofauti .

Huyu mtoto yupo bright Sana na very humble.

Huwa nikitoa hela za shule na mahitaji kumpatia , basi huwa nafanya madili mengi yanatiki Sana na Kwa haraka.


Nilivyogundua hili jambo nimekuwa nahakikisha namsaidia sana.

Nilichogundua watu wenye Nyota wapo .

Juzi nilimpa buku tano tu Ila Jana nimepiga mshindo mkubwa hatari na hii ni kawaida kila nikimpa hela lazima nipige mshindo.
 
Huwa kuna mdogo wangu ambaye tumezaliwa mama mmoja baba tofauti .

Huyu mtoto yupo bright Sana na very humble.

Huwa nikitoa hela za shule na mahitaji kumpatia , basi huwa nafanya madili mengi yanatiki Sana na Kwa haraka.


Nilivyogundua hili jambo nimekuwa nahakikisha namsaidia sana.

Nilichogundua watu wenye Nyota wapo .

Juzi nilimpa buku tano tu Ila Jana nimepiga mshindo mkubwa hatari na hii ni kawaida kila nikimpa hela lazima nipige mshindo.
Unachelewa wapi kumpa mambo makubwa makubwa Ili upate mengi?
 
Huwa kuna mdogo wangu ambaye tumezaliwa mama mmoja baba tofauti .

Huyu mtoto yupo bright Sana na very humble.

Huwa nikitoa hela za shule na mahitaji kumpatia , basi huwa nafanya madili mengi yanatiki Sana na Kwa haraka.


Nilivyogundua hili jambo nimekuwa nahakikisha namsaidia sana.

Nilichogundua watu wenye Nyota wapo .

Juzi nilimpa buku tano tu Ila Jana nimepiga mshindo mkubwa hatari na hii ni kawaida kila nikimpa hela lazima nipige mshindo.
Mtoe kafara
 
Back
Top Bottom