cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Ni ngumu Ila epuka kutoa misaada hovyo hovyo na mbele za macho ya watu
Ni muhimu sana kuzungumza na Mungu wako ama kuisikiliza sauti ya rohoni unapotaka kutoa msaada wowote..! Roho ikisita acha mara moja
Inanitokeaga hiyo na nikisita nakukimbia kupokea simu.. Kumbe!!!!
Nitazidi kuwa makini, Amina.
Shukurani Kaka