Kuna watu wanabaraka sana ukiwasaidia mambo yako lazima yanyooke kwa kasi ya ajabu

Kuna watu wanabaraka sana ukiwasaidia mambo yako lazima yanyooke kwa kasi ya ajabu

Umechelewa sn kulitambuwa hilo mkuu,
Sio kusaidia mtu Kwa kutoa pesa pekee kunaleta riziki bali hata kuishi na watu tofauti tofauti nyumbani kwako,
Kuna watu wanakula jasho na kutumia nyota za wengine bila kujijuwa,
Na siku utakayowaondoa hao unaoishi nao nyumbani kwako ndy hapo utaanza kuona ugumu wa maisha.

Rejea Kwa wazee wetu wa zamani walikuwa wanapenda kulea watoto wa ndugu na watu baki na Wala hawakuwa na kipato kubwa,
lakini waliweza kusomesha watoto wa ndugu na kumudu maisha Kwa wepesi kabisa.

Leo maisha tunayaona magumu kwasababu ya ubinafsi wetu na choyo kwa Kila mtu kuishi na family yake pekee na sio kusaidia wengine.
Home ilikuwa hivyo.
 
Kuna jamaa nikiwa karibu nae lazima nigombane na watu, I mean lazima litatokea la kitokea nizinguane na mtu yeye akiwepo. Hii kitu ni real kabisa
Usimtenge sana, ukitamani ugomvi na purukushani kaa nae karibu maana pia ni flavour kwa maisha 🤣🤣🤣
 
Bi mkubwa wangu ana hio baraka pia.. yani hata akisimamaga kwenye biashara ya mtu atakuza mpaka aondoke.. huwaga sio mtu wakukosa mana anapewa sana sijui na wanaompa wamegundua hilo
Inafanya kazi vipi endapo ukiigundua na kuifanyia kazi mwenyewe? Any + reaction
 
Mwingine ukimwambia tu jambo lako linaharibika
Hii imetokea km mara 3 au 4 kuna Rafki yangu wa kiume nikimueleza neema yangu basi the next day mambo yanabuma! Mpk sshv nimepunguza ukaribu nae na simuelezi tena mambo yngu..
I think ana Negative Energy na huenda hajijui.. aliwahi kunambia few years ago wamegundua Bibi yao mchawi na wamemtenga
 
Hii imetokea km mara 3 au 4 kuna Rafki yangu wa kiume nikimueleza neema yangu basi the next day mambo yanabuma! Mpk sshv nimepunguza ukaribu nae na simuelezi tena mambo yngu..
I think ana Negative Energy na huenda hajijui.. aliwahi kunambia few years ago wamegundua Bibi yao mchawi na wamemtenga
Kabisa kuna watu kwa kiswahili tuseme wana kijicho ila hawajui.. mimi huyo simwambiagi kitu tena
 
Dogo anakuombea nakumshukuru Mungu juu yako.
Huwa kuna mdogo wangu ambaye tumezaliwa mama mmoja baba tofauti .

Huyu mtoto yupo bright Sana na very humble.

Huwa nikitoa hela za shule na mahitaji kumpatia , basi huwa nafanya madili mengi yanatiki Sana na Kwa haraka.


Nilivyogundua hili jambo nimekuwa nahakikisha namsaidia sana.

Nilichogundua watu wenye Nyota wapo .

Juzi nilimpa buku tano tu Ila Jana nimepiga mshindo mkubwa hatari na hii ni kawaida kila nikimpa hela lazima nipige mshindo.
A
 
Mimi ni zaidi ya dogo...jaribu kutuma uone 😀Mimi hata nikinunua kitu kwa biashara ya mtu ...jua kabisa hiyo siku ni njema machoni pa huyo mtu
 
D
Hii imetokea km mara 3 au 4 kuna Rafki yangu wa kiume nikimueleza neema yangu basi the next day mambo yanabuma! Mpk sshv nimepunguza ukaribu nae na simuelezi tena mambo yngu..
I think ana Negative Energy na huenda hajijui.. aliwahi kunambia few years ago wamegundua Bibi yao mchawi na wamemtenga
Duuuh 🤗🤗
 
🤗
Daaah!!

Hii mtu utajuaje au kuepuka baraka zako zisichukuliwe?
Ni ngumu Ila epuka kutoa misaada hovyo hovyo na mbele za macho ya watu
Ni muhimu sana kuzungumza na Mungu wako ama kuisikiliza sauti ya rohoni unapotaka kutoa msaada wowote..! Roho ikisita acha mara moja
 
Back
Top Bottom