Kuna watu wanatembea na mizigo mizito kichwani ukipata nafasi wasikilize

Inawezekana kwa jambo kama hilo aende kufumania bila mashahidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingawa sina uhakika sana kama hii stori ni ya kweli au ni tungo tu.

Vyovyote vile mimi binafsi namheshimu sana mwanamke, ila tu mwanamke tofauti na mama wengine wote nakua na tahadhari kubwa sana nao.
 
Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...

Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
Kwa hiyo ni sawa mkwe kula kuku na mayai?.

We huwajui wanawake,ngoja siku ukioa,hawajui wanachotaka.
 
Ingawa sina uhakika sana kama hii stori ni ya kweli au ni tungo tu.

Vyovyote vile mimi binafsi namheshimu sana mwanamke, ila tu mwanamke tofauti na mama wengine wote nakua na tahadhari kubwa sana nao.
Upo sawa mkuu...

Maandiko yamesema 1Petro 3:7 Kadhalika, ninyi wanaume kaeni na wake zenu kwa akili, kama chombo kisicho na nguvu; maana wao pia ni warithi wa neema ya uzima, ili maombi yenu yasizuiliwe na chochote.
 
Sky Eclat haya masuala mliyaongeaje kwenye gari la abiria? Wengine hawawasikilizi? Au mlikuwa faragha kidogo?πŸ˜…
 
Yaani dogo kamvua chupi mama mkwe?
Dogo huyo huyo kampinga ngumi ya jicho baba mkwe?

Dunia sio mbaya ila walimwengu ndio wabaya.
 
Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...

Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
Hakuna cha kupelekewa moto wala nini.
Msaliti ni msaliti tu.
Kuna wanawake wana cheat kwa kisingizio cha hali ngumu...ajabu na matajiri nao wana cheat.
Roho ya ku cheat hainaga sababu maalum ni ulemavu tu.
 
Kwa hiyo nimekupa store yangu uje kuibandika huku
 
Sikuizi Kwenye hizi familia kuna maasi mengi mno yanafanyika sikuizi Mungu aturehemu
 
Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...

Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...

Rafiki, ndio uchague kupelekea moto na mkwe? Inamaana basi anaweza kupelekea moto na Kila mtu, hata kaka yake au ndugu yeyote.

Huyo mkwe kijana anaujasiri wa kupitiliza. Unatoa wapi nguvu ya kumrushia ngumi Baba mkwe? Tena amekufuma Kwa Mke wake aliyekuzalia mkeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…