Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,843
- 10,321
- Thread starter
- #101
U
Umenena vyema nyumba ilikuwa imeezekwa kwa hayo madebe na ilikuwa imezingushiwa ukuta wa tofali za topeNayajua ndio maana nimekuuliza, unless kama jina la debe kwa Mwanza lilikuwa likijulikana tofauti na nijuavyo...
Debe ilikuwa ni container la bati la lita kama ishirini hivi lililokuwa likijazwa mafuta ya kula kama OKI, KORIE...
Kama ilivyokuwa kwa mapipa watu wengi vijijini waliyatumia kwenye kuezekea nyumba, kuzungushia nyumba uzio au wale watu wa mashineni waliyatumia kama kipimo cha nafaka, wauzaji mataputapu waliyatumia kuhifadhia