Kuna wenye nyumba wana roho mbaya usiombe

Kuna wenye nyumba wana roho mbaya usiombe

Nimemaliza shule 1978 ilunda primary school mwaka 1981 nikaozeshwa mwaka 1982 tukajaliwa kupata watoto mapacha hao wawili mwaka 1983 nikapata mchongo kwenye magari ya chama cha ushirika nyanza nikapiga kazi miezi kama 9 hivi nikakutana na jamaa mfanyabishara enzi hizo akanichukua tukaanza kazi ya kwenda kuchukua bidhaa kisumu na hapo ndiyo nikapata kupanga mitaa ya uhuru
Nikakutana na hayo masaibu ya baba mwenye mjengo
Ulikua karibu na kwa marehemu mzee Ngaka yule wa TRA?
 
Y
Bro wakati wewe unahangaika na mwenye nyumba hapo Uhuru, mimi niko F3 Mwanza Sec aka Gorani ( hiyo Pamba Sec ikiwa primary school), nikitokea hapo Mirongo PS karibu na Community center na Lupondije na bhana bakwe akiwa tajiri hatari. Nikikaa Isamilo ya juu karibu na Susuma. Muvu Liberty na Tivoli. Now guess how old am I?
You will be around 57yrs.
 
Niliisha shuhudia enzi za jiwe, mwenye nyumba alikuwa akitamka, kwamba kama yeye ana miliki nyumba na maisha anayaona magumu, je mpangaji wake??
Akawaambia wapangaj, wale anaowadai watamlipa wakilata kwa sasa watafute na maisha yaendelee, haimaaish wakae bure ila aliwaondolea presha ya kodi
Nyumba ilikuwa ya udongo? Hahaha hii kali wakati wa kwangu alinipandishia kodi eti mambo ni Magumu!
 
Yaani akufanyie usenge wote huo then umletee na mzigo wa kumhonga bule? Huyo unahakikisha mitoto yake ya kike yote unaijaza upepo. Wife akifyumu poa tu. Japo lazima umhusishe ujinga uloufanya. Na motherhouse kama ana kasura unapita. Then unahama zako. Mimba zikishakua,unapanda bodaboda mida unayojua anapenda kukaa nje,unampungia mkono unasepa zako. Af sasa ubahatike na mkewe anase. Hadi raha.
Ila najiulizaga watu wanaopanga nyumba huku wenyewe wapo. Hawaoni wanajitafutia matatizo?
 
Na ndio mnaongoza kwa matusi.
Ashakum si matusi......kwa yule umheshimuye kama vile mama yako...mie kwangu ni mke...au ninayemchojoa....Sasa wewe hilo utaona tusi kumbe ni mtazamo tu.
Asante na karibu.
 
Kwq uzoefu wangu hi ndio mama mwenye nyumba mwenye roho mbaya tokeaqa nianze maisha ya kupaanga
 
Back
Top Bottom