Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Mzee una mdomo wewe!Nikuletee na kitafunwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee una mdomo wewe!Nikuletee na kitafunwa?
Mlikuwa mnapishana na mikojo?Hiyo miaka wengine hata dalili kuwa tutakuja Duniani.
Ulikua karibu na kwa marehemu mzee Ngaka yule wa TRA?Nimemaliza shule 1978 ilunda primary school mwaka 1981 nikaozeshwa mwaka 1982 tukajaliwa kupata watoto mapacha hao wawili mwaka 1983 nikapata mchongo kwenye magari ya chama cha ushirika nyanza nikapiga kazi miezi kama 9 hivi nikakutana na jamaa mfanyabishara enzi hizo akanichukua tukaanza kazi ya kwenda kuchukua bidhaa kisumu na hapo ndiyo nikapata kupanga mitaa ya uhuru
Nikakutana na hayo masaibu ya baba mwenye mjengo
Hivi kuna binadam hana mdomo?Mzee una mdomo wewe!
You will be around 57yrs.Bro wakati wewe unahangaika na mwenye nyumba hapo Uhuru, mimi niko F3 Mwanza Sec aka Gorani ( hiyo Pamba Sec ikiwa primary school), nikitokea hapo Mirongo PS karibu na Community center na Lupondije na bhana bakwe akiwa tajiri hatari. Nikikaa Isamilo ya juu karibu na Susuma. Muvu Liberty na Tivoli. Now guess how old am I?
Na mnaogea kwanga, mafuta ya kula KimboTulikuwa tunaena kuokota Jojo mabasi yakifika toka Kisumu na Musoma.
Nyumba ilikuwa ya udongo? Hahaha hii kali wakati wa kwangu alinipandishia kodi eti mambo ni Magumu!Niliisha shuhudia enzi za jiwe, mwenye nyumba alikuwa akitamka, kwamba kama yeye ana miliki nyumba na maisha anayaona magumu, je mpangaji wake??
Akawaambia wapangaj, wale anaowadai watamlipa wakilata kwa sasa watafute na maisha yaendelee, haimaaish wakae bure ila aliwaondolea presha ya kodi
Hii inaitwa Itaendelea kwenye tamthilia.Jumapili nitaishusha
Kupaka Mono au samli.Na mnaogea kwanga, mafuta ya kula Kimbo
You are almost correct near perfect...Y
You will be around 57yrs.
Bado miaka 29Tu nikufikie insha'AllahNina 62
Hahahahaha sema matambala. Nepi zitoke wapi miaka hiyo?Daah wewe ni Uncle angu umri wa wajomba zangu huo...mwaka 1978 nina miaka miwili nafungwa nepi tuu.
Tulikuwa tunaena kuokota Jojo mabasi yakifika toka Kisumu na Musoma.
YabaridiiiiChai
nyumba yenyewe ilikuwa ya madebe japo enzi hizo nayo ilikuwa ni nyumba lakini hapana
Uzazi wa mpango1Hapo mwaka ni 84 au 94 faza na bado unasema ulikua una machalii wawili...
Ashakum si matusi......kwa yule umheshimuye kama vile mama yako...mie kwangu ni mke...au ninayemchojoa....Sasa wewe hilo utaona tusi kumbe ni mtazamo tu.Na ndio mnaongoza kwa matusi.