Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1984 mpaka leo hii, washafariki hao, my mind huwa inaniambia nyumba si lolote lile huwa nashangaa kweli mtu kujivunia nyumba au gari na kunyanyasa wengine, haya makitu tunayo kwa muda mfupi mno.Natumaini wote mu bukheri wa afya vijana kwa wazee wenzangu
Naja tena na ushuda wa niliyoyapitia kwenye upangaji
Mwaka 1984 mitaa ya uhuru mwanza nikapata nyumba ya kupanga kwa mzee x na mkewe.
Nami nikiwa na mama watoto classmate wangu na watoto wetu wawili nikiwa nafanya kazi ma mzee mmoja hivi nisingependa kumtaja jina tulikuwa tunafuata mizigo ya magendo kisumu wakati huo hapa nchini hali tete sabuni tu ilikuwa ni lulu.
Sasa basi kwa kuwa muda mwingi niliutumia kazini na miaka hiyo hamna hata simu kuna muda nilikuwa narudi usiku nakuta geti limefungwa so nagonga mama yeyo ananifungulia kumbe mwenye nyumba akawa kama hapendi kurudi usiku nafunguliwa sasa basi mama watoto akapigwa bit no kifungua na funguo za getini akachukua mwenye mjengo.
Mimi sawa tu nikawa kila nikirudi naruka ukuta nazama ndani.
Duh! Usiombe mwenye mjengo akajua naruka ukuta nikasafiri kama siku 8 kurudi ukuta unepandishwa kozi 3 kwenda juu nikawa sina ujanja tena wa kuruka nikapiga hesabu nikaona vipande vya tofali nikavipanga nikadandia ukuta japo kushuka ilikuwa ni shida ikawa ndiyo zangu akajua.
Yaani ni moto hakuchoka nikaenda tena safari zangu kurudi nakuta juu ya ukuta pamezungushiwa vipande vya chupa no kugusa ukuta komando nikaishiwa mbinu sasa kila nikija nimechelewa naenda kulala gesti baada ya kama miezi mitatu nikapata nyumba nyingine.
Cha ajabu sasa huyu mzee na mkewe kila nikitoka safari sabuni na mafuta sukari chumvi lazima niwape lakini nikiri walikuwa na rohombaya sana nyumba yenyewe ilikuwa ya madebe japo enzi hizo nayo ilikuwa ni nyumba lakini hapana
Hio nitaisubiri kwa hamu maana hawa miamba nlikua nikiwasikia tu kua ni wazee wa kazi, wanapiga michongo yao kenya. Clement Mabina alikua anabadili magari kama nguo..Ngoja nikipata muda mzuri nitaleta story za namna magendo toka kisumu yalivyokuwa yanafanyika enzi za kina clement mabina gitana masanja mawenge na kuna mhaya alishakuwa marehemu kuna jamaa alikuwa ndiyo msuka mipango kwa sasa ana kikampuni cha ujenzi
Natumaini wote mu bukheri wa afya vijana kwa wazee wenzangu
Naja tena na ushuda wa niliyoyapitia kwenye upangaji
Mwaka 1984 mitaa ya uhuru mwanza nikapata nyumba ya kupanga kwa mzee x na mkewe.
Nami nikiwa na mama watoto classmate wangu na watoto wetu wawili nikiwa nafanya kazi ma mzee mmoja hivi nisingependa kumtaja jina tulikuwa tunafuata mizigo ya magendo kisumu wakati huo hapa nchini hali tete sabuni tu ilikuwa ni lulu.
Sasa basi kwa kuwa muda mwingi niliutumia kazini na miaka hiyo hamna hata simu kuna muda nilikuwa narudi usiku nakuta geti limefungwa so nagonga mama yeyo ananifungulia kumbe mwenye nyumba akawa kama hapendi kurudi usiku nafunguliwa sasa basi mama watoto akapigwa bit no kifungua na funguo za getini akachukua mwenye mjengo.
Mimi sawa tu nikawa kila nikirudi naruka ukuta nazama ndani.
Duh! Usiombe mwenye mjengo akajua naruka ukuta nikasafiri kama siku 8 kurudi ukuta unepandishwa kozi 3 kwenda juu nikawa sina ujanja tena wa kuruka nikapiga hesabu nikaona vipande vya tofali nikavipanga nikadandia ukuta japo kushuka ilikuwa ni shida ikawa ndiyo zangu akajua.
Yaani ni moto hakuchoka nikaenda tena safari zangu kurudi nakuta juu ya ukuta pamezungushiwa vipande vya chupa no kugusa ukuta komando nikaishiwa mbinu sasa kila nikija nimechelewa naenda kulala gesti baada ya kama miezi mitatu nikapata nyumba nyingine.
Cha ajabu sasa huyu mzee na mkewe kila nikitoka safari sabuni na mafuta sukari chumvi lazima niwape lakini nikiri walikuwa na rohombaya sana nyumba yenyewe ilikuwa ya madebe japo enzi hizo nayo ilikuwa ni nyumba lakini hapana
[emoji23] sasa unataka akudai kodi saangapi kama unarudi mida ya wanga?Kuna mzee boya kweli,anakuja kudai kodi saa 8 usiku.hapo nishamkimbia kimbia.[emoji1787][emoji1787].natoka saa kumi usiku narudi saa 5 usiku
Utakua na hamsini plusBro wakati wewe unahangaika na mwenye nyumba hapo Uhuru, mimi niko F3 Mwanza Sec aka Gorani ( hiyo Pamba Sec ikiwa primary school), nikitokea hapo Mirongo PS karibu na Community center na Lupondije na bhana bakwe akiwa tajiri hatari. Nikikaa Isamilo ya juu karibu na Susuma. Muvu Liberty na Tivoli. Now guess how old am I?
Yaani miaka 23 tayari una mke na watoto 2!!sasa hivi utakuwa na wajukuuNina 62
Uliendelea kufuatilia maisha yake?!Alishakufa amebaki mke wake
Usiwe unawajibu mahanithi mkuu hao ndo wengi watoto wa 2000 bila kufirwwa akili zinakuw hazipo.Nikuletee na kitafunwa?
Heshima kwako Shem.Bro wakati wewe unahangaika na mwenye nyumba hapo Uhuru, mimi niko F3 Mwanza Sec aka Gorani ( hiyo Pamba Sec ikiwa primary school), nikitokea hapo Mirongo PS karibu na Community center na Lupondije na bhana bakwe akiwa tajiri hatari. Nikikaa Isamilo ya juu karibu na Susuma. Muvu Liberty na Tivoli. Now guess how old am I?
Kawaida hiyo zamani. Mtu anamaliza Std 7 as 18+/- anaozeshwa the year later. Lazima awe nao hao or more.Yaani miaka 23 tayari una mke na watoto 2!!sasa hivi utakuwa na wajukuu
Bado miaka 29Tu nikufikie insha'Allah
Hizo ni trade names kama Shell badala petrol station.Hizo jojo ndo mlikuwa mkiziita BAZOKA?
Anatakiwa asome alama za nyakati kuwa sina[emoji23] sasa unataka akudai kodi saangapi kama unarudi mida ya wanga?
Ulikua karibu na kwa marehemu mzee Ngaka yule wa TRA?
Unayajua madebe lakini enzi hizo tena ilionekana nyumba ya maana hiyo mitaa ya uhuru rufiji unguja matofali yenyewe ni biskutiNyumba ya madebe lakini imezungushiwa ukuta wa tofali...
Kuna mtu anaitwa matata huyu aliwahi kuwa meya wa manispaa ya ilemela sasa basi kama lilivyo jina lake matata na alikuwa mtata kweliHio nitaisubiri kwa hamu maana hawa miamba nlikua nikiwasikia tu kua ni wazee wa kazi, wanapiga michongo yao kenya. Clement Mabina alikua anabadili magari kama nguo..
Unayajua madebe lakini enzi hizo tena ilionekana nyumba ya maana hiyo mitaa ya uhuru rufiji unguja matofali yenyewe ni biskuti
Huyo father house alikuwa na akili mbovu sijawahi ona mimi nilikuwa namchukulia kama kaka yangu ila hakuwa muelewa hata kidogoWewe ndo una matatizo, sio huyo mzee, mambo mengine ni lujadili sio kuruka ukuta kama kibaka. 1. Mnauza vitu vya magendo, 2. Unaruka ukuta, ulishindwa kaa naye chini mkajadili?