Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,843
- 10,321
- Thread starter
- #21
Nina 62Mwaka 1984 ulikua umepanga na una mke na watoto wawili.?
Bila shaka utakua around 78 hivi na uko JF.
Wewe babu nani kukuleta Jf??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina 62Mwaka 1984 ulikua umepanga na una mke na watoto wawili.?
Bila shaka utakua around 78 hivi na uko JF.
Wewe babu nani kukuleta Jf??
Wahenga tupo wengi humuMwaka 1984 ulikua umepanga na una mke na watoto wawili.?
Bila shaka utakua around 78 hivi na uko JF.
Wewe babu nani kukuleta Jf??
Misuko suko ya aina hii inapelekea kumiliki nyumba yako.Natumaini wote mu bukheri wa afya vijana kwa wazee wenzangu
Naja tena na ushuda wa niliyoyapitia kwenye upangaji
Mwaka 1984 mitaa ya uhuru mwanza nikapata nyumba ya kupanga kwa mzee x na mkewe.
Nami nikiwa na mama watoto classmate wangu na watoto wetu wawili nikiwa nafanya kazi ma mzee mmoja hivi nisingependa kumtaja jina tulikuwa tunafuata mizigo ya magendo kisumu wakati huo hapa nchini hali tete sabuni tu ilikuwa ni lulu.
Sasa basi kwa kuwa muda mwingi niliutumia kazini na miaka hiyo hamna hata simu kuna muda nilikuwa narudi usiku nakuta geti limefungwa so nagonga mama yeyo ananifungulia kumbe mwenye nyumba akawa kama hapendi kurudi usiku nafunguliwa sasa basi mama watoto akapigwa bit no kifungua na funguo za getini akachukua mwenye mjengo.
Mimi sawa tu nikawa kila nikirudi naruka ukuta nazama ndani.
Duh! Usiombe mwenye mjengo akajua naruka ukuta nikasafiri kama siku 8 kurudi ukuta unepandishwa kozi 3 kwenda juu nikawa sina ujanja tena wa kuruka nikapiga hesabu nikaona vipande vya tofali nikavipanga nikadandia ukuta japo kushuka ilikuwa ni shida ikawa ndiyo zangu akajua.
Yaani ni moto hakuchoka nikaenda tena safari zangu kurudi nakuta juu ya ukuta pamezungushiwa vipande vya chupa no kugusa ukuta komando nikaishiwa mbinu sasa kila nikija nimechelewa naenda kulala gesti baada ya kama miezi mitatu nikapata nyumba nyingine.
Cha ajabu sasa huyu mzee na mkewe kila nikitoka safari sabuni na mafuta sukari chumvi lazima niwape lakini nikiri walikuwa na rohombaya sana nyumba yenyewe ilikuwa ya madebe japo enzi hizo nayo ilikuwa ni nyumba lakini hapana
Wewe wasemaMkuu au alikuwa anakuhisi kuwa ni kibaka flani?Yani Kodi Nampa na visabuni vya rushwa anapata halafu aniletee hizo?Mm nisingemsumbua hata mke wangu ningemgongea dirisha lake afungue yeye la sivyo anipe funguo yangu ya geti.Yani Nimekasirika utadhani hii sio chai
Muda kama haujafika inabidi upambane nayo tuMisuko suko ya aina hii inapelekea kumiliki nyumba yako.
Kawaida sana maana hata sisi tulifika duniani tukakuta kuna wazee piaHiyo miaka wengine hata dalili kuwa tutakuja Duniani.
Sawa babuKawaida sana maana hata sisi tulifika duniani tukakuta kuna wazee pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]1984 ulikua na familia na unafanya kazi, let say ulikua 22 - 25. Now ur 63 - 66. Mbona unaandika Kama kijana wa miaka 20?
Hii chai hii.
Kama ni chai agiza na kitafunio nakuja kulipa kijana1984 ulikua na familia na unafanya kazi, let say ulikua 22 - 25. Now ur 63 - 66. Mbona unaandika Kama kijana wa miaka 20?
Hii chai hii.
Wengi wao wana vielement vya kichawi huwa siyo bureBora huyo wa kwako mkuu. Kwenye moja ya biashara zangu, kuna fremu nimepanga lakini mwenye nyumba mjinga sijawahi ona.
Kama alikuwa anakudai hata elfu 10 na akaona wateja wamejaa kwako anakufata kuja kukuomba pesa yake ili watu wajue kuwa unadaiwa.
Na wakati mwingine biashara yako ikienda vizuri, ghafla atakuambia chumba chako anampango wa kukitumia, na hata kodi ikiisha anaomba uendelee.
Huyo wako ana wazimu[emoji23],Bora huyo wa kwako mkuu. Kwenye moja ya biashara zangu, kuna fremu nimepanga lakini mwenye nyumba mjinga sijawahi ona.
Kama alikuwa anakudai hata elfu 10 na akaona wateja wamejaa kwako anakufata kuja kukuomba pesa yake ili watu wajue kuwa unadaiwa.
Na wakati mwingine biashara yako ikienda vizuri, ghafla atakuambia chumba chako anampango wa kukitumia, na hata kodi ikiisha anaomba uendelee.
1984 anapanga hakika anastahili heshima.Mwaka 1984 ulikua umepanga na una mke na watoto wawili.?
Bila shaka utakua around 78 hivi na uko JF.
Wewe babu nani kukuleta Jf??
Nimemaliza shule 1978 ilunda primary school mwaka 1981 nikaozeshwa mwaka 1982 tukajaliwa kupata watoto mapacha hao wawili mwaka 1983 nikapata mchongo kwenye magari ya chama cha ushirika nyanza nikapiga kazi miezi kama 9 hivi nikakutana na jamaa mfanyabishara enzi hizo akanichukua tukaanza kazi ya kwenda kuchukua bidhaa kisumu na hapo ndiyo nikapata kupanga mitaa ya uhuruHapo mwaka ni 84 au 94 faza na bado unasema ulikua una machalii wawili...
Daah wewe ni Uncle angu umri wa wajomba zangu huo...mwaka 1978 nina miaka miwili nafungwa nepi tuu.Nimemaliza shule 1978 ilunda primary school mwaka 1981 nikaozeshwa mwaka 1982 tukajaliwa kupata watoto mapacha hao wawili mwaka 1983 nikapata mchongo kwenye magari ya chama cha ushirika nyanza nikapiga kazi miezi kama 9 hivi nikakutana na jamaa mfanyabishara enzi hizo akanichukua tukaanza kazi ya kwenda kuchukua bidhaa kisumu na hapo ndiyo nikapata kupanga mitaa ya uhuru
Nikakutana na hayo masaibu ya baba mwenye mjengo
Duh! Nawe pia si hapa kijana kwa umri huo ulionaoDaah wewe ni Uncle angu umri wa wajomba zangu huo...mwaka 1978 nina miaka miwili nafungwa nepi tuu.