Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,843
- 10,321
- Thread starter
-
- #101
Umenena vyema nyumba ilikuwa imeezekwa kwa hayo madebe na ilikuwa imezingushiwa ukuta wa tofali za topeNayajua ndio maana nimekuuliza, unless kama jina la debe kwa Mwanza lilikuwa likijulikana tofauti na nijuavyo...
Debe ilikuwa ni container la bati la lita kama ishirini hivi lililokuwa likijazwa mafuta ya kula kama OKI, KORIE...
Kama ilivyokuwa kwa mapipa watu wengi vijijini waliyatumia kwenye kuezekea nyumba, kuzungushia nyumba uzio au wale watu wa mashineni waliyatumia kama kipimo cha nafaka, wauzaji mataputapu waliyatumia kuhifadhia
Duh, kumbe wewe ni mshangazi! Nilijua una miaka 22-25!Bado miaka 29Tu nikufikie insha'Allah
Hivi kweli kwa akili ya kawaida tangu 1984 niwe nimepanga basi nilaaniwesasahivi inabidi uweumejenga nyumba zaidi yambili.
kamahujafanya hivyomzee tukutandike sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, ni hatari hahahaaaa......
Shule inafunguliwa lini.Natumaini wote mu bukheri wa afya vijana kwa wazee wenzangu
Naja tena na ushuda wa niliyoyapitia kwenye upangaji
Mwaka 1984 mitaa ya uhuru mwanza nikapata nyumba ya kupanga kwa mzee x na mkewe.
Nami nikiwa na mama watoto classmate wangu na watoto wetu wawili nikiwa nafanya kazi ma mzee mmoja hivi nisingependa kumtaja jina tulikuwa tunafuata mizigo ya magendo kisumu wakati huo hapa nchini hali tete sabuni tu ilikuwa ni lulu.
Sasa basi kwa kuwa muda mwingi niliutumia kazini na miaka hiyo hamna hata simu kuna muda nilikuwa narudi usiku nakuta geti limefungwa so nagonga mama yeyo ananifungulia kumbe mwenye nyumba akawa kama hapendi kurudi usiku nafunguliwa sasa basi mama watoto akapigwa bit no kifungua na funguo za getini akachukua mwenye mjengo.
Mimi sawa tu nikawa kila nikirudi naruka ukuta nazama ndani.
Duh! Usiombe mwenye mjengo akajua naruka ukuta nikasafiri kama siku 8 kurudi ukuta unepandishwa kozi 3 kwenda juu nikawa sina ujanja tena wa kuruka nikapiga hesabu nikaona vipande vya tofali nikavipanga nikadandia ukuta japo kushuka ilikuwa ni shida ikawa ndiyo zangu akajua.
Yaani ni moto hakuchoka nikaenda tena safari zangu kurudi nakuta juu ya ukuta pamezungushiwa vipande vya chupa no kugusa ukuta komando nikaishiwa mbinu sasa kila nikija nimechelewa naenda kulala gesti baada ya kama miezi mitatu nikapata nyumba nyingine.
Cha ajabu sasa huyu mzee na mkewe kila nikitoka safari sabuni na mafuta sukari chumvi lazima niwape lakini nikiri walikuwa na rohombaya sana nyumba yenyewe ilikuwa ya madebe japo enzi hizo nayo ilikuwa ni nyumba lakini hapana
Muulize mwalimu wakoShule inafunguliwa lini.
Wapuuzi sana hawa vijana mkuuYaani vijana ukizeeka umekuwa kama zombie vile......wanataka uishi kama uko zama za mawe.......wanaona uzee kama ni upungufu wa akili......Kila ukifanya jambo la kisasa wanakushangaa utasema kichekesho......
Yaani kama ni amri yao wazee wote wakamatwe wakawekwe jumba la makumbusho ya taifa......
Inshallah. Sema uniachie vyumba viwili nije kupanga. Na usiwe na roho mbaya kama mwenye nyumba wa jamaa πAlikuwa ana kazi aisee mi mwenye nyumba wangu Yaan yupo poa sijawah ona nitakaa hapa mpaka nahamia kwangu mwakani inshaallah
Dalili zilikuwepo, sema wewe ndio ulikuwa hujui. Wazee wako walikuwa wanajadiliana sana, wakulete au wakaushe π π πHiyo miaka wengine hata dalili kuwa tutakuja Duniani.
Hapana hiyo nakaa na mim na familiaInshallah. Sema uniachie vyumba viwili nije kupanga. Na usiwe na roho mbaya kama mwenye nyumba wa jamaa π
Mbona kuna mzee humu ana miaka 79Humu kuna watu wameenda age aisee! Mwaka 1984 tqyqri unq familia!?