Kuna wenye nyumba wana roho mbaya usiombe

U
Umenena vyema nyumba ilikuwa imeezekwa kwa hayo madebe na ilikuwa imezingushiwa ukuta wa tofali za tope
 
Shule inafunguliwa lini.
 
Yaani vijana ukizeeka umekuwa kama zombie vile......wanataka uishi kama uko zama za mawe.......wanaona uzee kama ni upungufu wa akili......Kila ukifanya jambo la kisasa wanakushangaa utasema kichekesho......

Yaani kama ni amri yao wazee wote wakamatwe wakawekwe jumba la makumbusho ya taifa......
 
Wapuuzi sana hawa vijana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…