Kuna wizi wa vifaa vya magari maeneo ya Goba, Mbezi na Temeke

Duh mpaka tairi? Ila kuna mahali walimdaka mmoja..akapata haki yake
 
Ukiwa unamiliki gari ni vyema uwe na watu wako kwa kila unachohitaji sio kila mtu kumkabidhi gari yako...

Au la hasha unaweza pitia fundi wako wa gereji kupata msaada kama huo wa tinted n.k
Good idea thank u so much
 
Kuna video ila nimeshindwa kuiweka kawataja wezi na wanakopeleka vitu kwa Liwa Tabata
 
See the video demn
Your browser is not able to display this video.
 
Sasa hivi wizi mtaani ni kero kubwa na sio magari tu.Ukiwa na bustani ya ndizi na mapapai hapo nyumbani wanaiba,ukifunga pamp ya maji wanaiba,ukianika nguo nje wanaiba,
mmelala usiku wanaingia sebuleni wanasafisha kila kitu,ukiwa na vimifugo hapo home wanavizia.Yaani hakuna amani huku mtaani kabisa. Miaka ya nyuma kidogo hawa wezi kuna watu walikuwa wakiwawekea heshima ya kutowaibia, wanajeshi polisi na wana usalama wengine.Lakini sasa hivi hawachagui. Lingine hawa wezi wa mitaani au vibaka wanauzarau huu mfumo wa kuwakamata na kufikishwa polisi au mahakamani.Wanakuibia huku wakiamini hata nikipelekwa polisi au gerezani si chochote, nitatoka tu ama kwa pesa au kwa kumaliza kutumikia kifungo ambacho wanaona ni muda mfupi tu, kwa hiyo hawajali kabisa. Mimi maoni yangu wangerekebisha hiyo sheria ya adhabu iwe kali zaidi, tatizo lingepungua kwa kiasi kikubwa.Kama ni kifungo miaka iongezwe na ikiwa ni kulipa faini iwe kubwa. Naona kifungo cha muda mrefu kwa wanaofanya mapenzi na watoto au wanfunzi kimefanya matukio hayo kuwa machache sana tofauti na kabla yake.
 
"Siku moja mtanikumbuka kwa mambo mazuri" Alipata kunena.
Akumbukwe kwa lipi?kama angetaka akumbukwe angeacha mifumo imara hata angeondoka ingeendelea kusimamia aliyoyafanya..ila kwakua alijiona mungumtu..acha afie mbali...nadhani sasa mtajifunza kuacha kuabudu mtu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna clip nimeona jamaa Amepigw sana na ndio walifany wizi apo juu ametana adi boas wao
 
RC aache kulala usingizi, mji umekuwa shida sasa. Watu wameanza kuiba hadi papai na ndizi za bustani unadhani kuna nini kinakuja!

Mtu mmoja kufa ndio kila upuuzi urudi kwa kasi hivi?
Heee afu kweli
 
wiki jana meona picha ya video ya wizi ulofanyika kwenye gari aina ya VANGUARD dah yaani hao jamaa wanafanya uharibifu wa hatari
Imesambaa sana ile video, jamaa waeharibu vibaya sana. Yaani hata kama hujawahi kupiga mwizi, ukiona uharibifu ule lazima siku ukikamata mwizi usulubishe.
 
Anakamatwa afu hakuna anayeenda fungua kesi au kuwa shahidi
 
Tulisha sahau huu ujinga, Kuna miaka flani hasa kipindi cha 2005 kuendelea Pale Gerezani ndio yalikau maskani yao...Naona wamerudi tena..Walikua wanaiba wazi wazi mchana hata kupasua vioo..Baada ya kuingia Mwamba JPM ujinga huu ulikoma..Polisi mna wajibu kuzuia hili maana naamini mnajua kabisa maficho yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…