Jerk zipo kubwa dakika 2 tu ushanyenyua gari nzma.Kitendo cha kutegesha jeki kinachukua dakika nzima,kupump jeki karibu dakika mbili,kufungua nati dakika karibu 5....Labda wezi walikuwa zaidi ya nne na jeki nne wakafungua simultaneously.
Haya mambo yanatokea omba yasikukuteDuuuh Jamaa mzembe sana ,hadi wanafungua matairi yaani amelala? Au walimpiga gesi ya chlorine?
Mliwapata?madogo wanaopiga hizi ishu wanatembea na IST ya blue hivi tuliwai wakurupusha temeke
Nilivyoona comment ya Eli na mapapai nikakukumbuka eti hahahahaHeee afu kweli
Jana jioni meona video ya kijana mwizi wa vifaa vya magari amekamatwa...kapigwa vibayaaa nahisi ka atapona atakuwa ametia akiliImesambaa sana ile video, jamaa waeharibu vibaya sana. Yaani hata kama hujawahi kupiga mwizi, ukiona uharibifu ule lazima siku ukikamata mwizi usulubishe.
Kuna namna huwa wanawapa sumuYaan matukio haya ndio yananifanya niongeze Germany Shepherd nyumbani acha niingie gharama za kuwalisha
Umekumbuka nini?[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Nilivyoona comment ya Eli na mapapai nikakukumbuka eti hahahaha
Mafuta ya chatu wanajipaka, mwa akisikia hiyo harufu anasinziaKuna namna huwa wanawapa sumu
DuuuhMafuta ya chatu wanajipaka, mwa akisikia hiyo harufu anasinzia
DuuuhMafuta ya chatu wanajipaka, mwa akisikia hiyo harufu anasinzia
Mapapai yake huko nje ya mji. Kuna comment yake alikuwa analalamika sijui kuhusu foleni au kitu gani, ukamjibu "ila si unafaidi mapapai"[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Umekumbuka nini?[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
yeah tuliwapataMliwapata?
mkuu kuna jeki ya kukanyaga na mguu ile dakika sifuri tuKitendo cha kutegesha jeki kinachukua dakika nzima,kupump jeki karibu dakika mbili,kufungua nati dakika karibu 5....Labda wezi walikuwa zaidi ya nne na jeki nne wakafungua simultaneously.
Hao walioiba hivyo vitu wamedakwa wako mkoboni salama video hiyo hapa kwa sasa anatafutwa kubwa lao anaowatuma na kuvinunua ondoa shaka mkubwa wezi hawa hapaHabari wana JF
Kuna wizi mpya wa vifaa vya magari naona umekithiri sana huko maeneo ya Goba, Mbezi, Temeke watu wanaibiwa sana vifaa naomba Ma RC , POLISI N.K walishugulikie hili swala wezi wanajulikana n wanaonunua hivo vifaa vya wizi wanajulikanaa.
View attachment 1759159View attachment 1759160View attachment 1759162View attachment 1759164View attachment 1759167Kwako Mkuu wa Mkoa wa Dar (Kesi za Wizi Majumbani Zimeshamiri). Usalama hakuna
Mkuu wa Mkoa wa Dar pamoja na Mambosasa. Hii hari ninayo isikia na kuona mtaani na kila ninapotembelea vituoa vya polisi sio nzuri. Usalama wa raia na mali zoa haupo tena. Watu wanavamiwa mchana, usiku, asubuhi na jioni. Mko wapi? Mfano: Staki shari kuna kesi kibao za watu kuibiwa. Kule...www.jamiiforums.com
View attachment 1757830
Wataalaam kweli ila juzi wamekamatwa 2 mmoja ndio anatafutwaLazima wez watakua mafundi
Hii ilitukuta kioo cha saiti mira ile kukikuta hadi namba zimeandikwa hapo wakaona isiwe tabu wakakiachia kikadondoka chini kikavunjika vunjika kisa tumemchenjiaNa kuna mitaa ya kkoo ukienda unavikuta vitu vyako Kama vilivyo Ila utaambiwa uvinunue....!!mjini shule