Duuuh Jamaa mzembe sana ,hadi wanafungua matairi yaani amelala? Au walimpiga gesi ya chlorine?
Kuna jamaa alikuwa na mbwa watano ndani ya geti. Ukuta una waya za umeme na alarm. Sijui waliwafanya nini mbwa wakalewa wote. Alarm haikulia na nyaya za umeme hazikufanya kazi wakaruka ukuta wakaingia ndani. Bahati nzuri sana jamaa akwasikia walipokuwa wanafungua geti ili watoe magariYaan matukio haya ndio yananifanya niongeze Germany Shepherd nyumbani acha niingie gharama za kuwalisha
Hili ndilo tatizo la watanzania. Kwenye jamii kuna ujinga mkubwa wa kutotaka ku-deal na matatizo ili yaondoke bali kila mtu anatafuta quick solution yake ambayo siyo endelevu. Halafu sisi wenyewe hatuna jitihada zozote bali tunataka kufanyiwa vitu. Mitaani huko tunaishi na hawa wezi. Mwizi hawezi kutoka sehemu za mbali kwenda kuiba mahali bila kuwa na connection ya mwenyeji. Kwa nini tusifikiria kuchukuwa hatua za pamoja kuliko kila mtu kufanya solution yake na kuzidi kuyafanya maisha yawe magumu?Ndio tatizo la kubana ajira kwa vijana. Weka mlinzi
Dawa ni kufuga ma ng’ang’a tuSio hivyo mkuu,wizi wa aina hii,wezi wanakuwa na gari au bodaboda,wanakufuatilia tokea mjini au sehemu yoyote ulipokutana nao bila ya wewe kujua mpaka nyumbani kwako,wakishapajua kwako sasa wanaanza kusoma ratiba zako bila ya wewe kujua,kwahiyo siku ya kuja kukupiga mara nyingi wanakuja na gari,vitu vyote wakishachomoa kwenye gari lako wanahamishia kwenye gari yao ambayo wanaipaki sio mbali na kwako,wakishatimiza lengo lao wanaondoka kiulaini,na wanaweza kwa usiku mmoja wakaiba hata nyumba tatu au nne....
Sisi kwetu kuna sungusungu ya kudumu!Hili ndilo tatizo la watanzania. Kwenye jamii kuna ujinga mkubwa wa kutotaka ku-deal na matatizo ili yaondoke bali kila mtu anatafuta quick solution yake ambayo siyo endelevu. Halafu sisi wenyewe hatuna jitihada zozote bali tunataka kufanyiwa vitu. Mitaani huko tunaishi na hawa wezi. Mwizi hawezi kutoka sehemu za mbali kwenda kuiba mahali bila kuwa na connection ya mwenyeji. Kwa nini tusifikiria kuchukuwa hatua za pamoja kuliko kila mtu kufanya solution yake na kuzidi kuyafanya maisha yawe magumu?
Walikidondosha hivyo kupoteza ushahidi.Hii ilitukuta kioo cha saiti mira ile kukikuta hadi namba zimeandikwa hapo wakaona isiwe tabu wakakiachia kikadondoka chini kikavunjika vunjika kisa tumemchenjia
Ni kweli,ila kuna moja nilishaona,IST imekuwa kama kuku kanyonyolewa manyoya,na Mbwa karibu watatu wote wamekufa kwa kupewa sumu...Dawa ni kufuga ma ng’ang’a tu
Mpigaji tu naye hana jipyahuu mji unataka mtu ujitoe fahamu kama vile Makonda,
duu!!!wapo dar hao madogo?Wale walipata digirii ya hizo kazi sauzi... Dalila 10 nyingi chuma inafanywa gofu...na ukiwatokea kiboya wanakukazia maana wanatembea na bereta
Chuma inapigwa spana kama gari ya formula 1 ile! Dakika 5 watu wamemaliza shughuli! Taa ina namna ya kupigwa twaa inalegea wanachomoa waya na kusepa nazo chap!Jerk zipo kubwa dakika 2 tu ushanyenyua gari nzma.
Nuts kuna zile mashine za kufungulia nut
Omba yasikukute braza
ASANTEHuna akili timamu. Wewe ni punguwwani.
mkuu vipi kilimo cha nyanya mkuu msimu ukifika utaendelea au ushakisahau.Yaan matukio haya ndio yananifanya niongeze Germany Shepherd nyumbani acha niingie gharama za kuwalisha
Mimi ilishawahi kunikuta uchungu wake naujua, na hata ukija kupata pesa za kurudishia hivyo vilivyoibwa itakuchukua muda mrefu sana saikolojia yako kurudi normal,hutokuwa mwenye amani kabisa,itafikia mahali utaona kama kuwa na gari ni kujitakia matatizo,hutakaa umuamini mtu yeyote anaefuatilia gari lako au kulikaribia,ila muda utafika utasahau...Habari wana JF
Kuna wizi mpya wa vifaa vya magari naona umekithiri sana huko maeneo ya Goba, Mbezi, Temeke watu wanaibiwa sana vifaa naomba Ma RC , POLISI N.K walishugulikie hili swala wezi wanajulikana n wanaonunua hivo vifaa vya wizi wanajulikanaa.
View attachment 1759159View attachment 1759160View attachment 1759162View attachment 1759164View attachment 1759167Kwako Mkuu wa Mkoa wa Dar (Kesi za Wizi Majumbani Zimeshamiri). Usalama hakuna
Mkuu wa Mkoa wa Dar pamoja na Mambosasa. Hii hari ninayo isikia na kuona mtaani na kila ninapotembelea vituoa vya polisi sio nzuri. Usalama wa raia na mali zoa haupo tena. Watu wanavamiwa mchana, usiku, asubuhi na jioni. Mko wapi? Mfano: Staki shari kuna kesi kibao za watu kuibiwa. Kule...www.jamiiforums.com
View attachment 1757830