Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

Ndio hivyo mkuu, Ili kuhusu huyu single mother nikichakata ubongo wangu vizuri, nikiona kama siwezi kukaa nae itabidi nimchukue tu huyo muha Ambaye sio mzuri kwa muonekano/elimu lakini najua nitakaa nae kwa amani na kuzeeka pamoja, kwa sababu nidhamu yake ipo juu, upole n.k
Ebu ngoja, sifa mojawapo ya mke wa kuoa ni lazima awe na uwezo wa kukufanya utake kumla sio unataka kumla halafu unavuta hisia Kwa wengine..Wazazi wanasema Muha ni mbaya wa sura, vipi wewe unasemaje? Hakuna mwanamke mbaya endapo utachagua kumpenda..
 
Shabani na Zamaradi si unaona wapo pamoja???

Shabani kamkuta Zamaradi ana watoto 2,na yeye kapigilia misumari 2 kwenye jeneza!

Single mother's ni watamu mno,shida zao tu... Junior akianza kusumbua na wewe utasumbuka!

Utasikia mwache Junior achezee tu hiyo simu,ukimkataza atalia! Unaona kabisa Tecno yako inavunjwa kioo,bado unaambiwa mwache Junior, ukimkataza atalia
Tofauti ni kwamba Zamaradi ana hela
 
Mdogo wangu, acha nikishauri kidogo.

1. Ndoa sio suala la kutafutia ushauri
Hapa naona vijana wengi wanaingia mkenge kwa kudhani kuwa kuoa na kuolewa ni suala la National Assembly yaani ushauri na majadiliano. Ndoa ni yako, maisha ni yako. Ukifika muda wa kuoa na ukajiona kuwa upo tayari kuoa na ukiwa umepevuka namaanisha ''matured'' huna haja ya kutafuta ushauri wa lini uoe wala umuoe nani.

2. Suala la kuoa mwanamke mwenye mtoto

Labda nikuulize, mwanamke akishazaa huwa anapungukiwa nini mwilini mwake? Kuzaa kwa mwanamke inamaanisha tu kuwa aliwahi kuwa na mahusiano na mtu, akapata ujauzito na hatimaye akazaa. Hilo tu.
Kinachowatofautisha wanawake waliozaa na wasio na watoto ni jambo moja tu; hawa wenye watoto wana ushahidi wa mahusiano yaliyopita na kubeba mimba ambazo walizitunza na hatimaye kuzaa.
Nikueleze tu; wanawake wengi ambao hawana watoto, waliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi kabla ya kukutana na wewe, wengine waliamua kutumia njia za uzazi wa mpango ili wasipate mimba, wengine walipata mimba na kuitoa ili kutunza unafiki wa kuonekana kuwa hawajapata mimba nje ya ndoa.

Sasa basi, kama kuna mwanamke unaona kabisa anafaa kuwa mke na ana mtoto, tatizo ni nini?

Najua hofu ya vijana ''eti atakuwa na mahusiano na baba mtoto''; kwanini huwa mnafikia tamati kuwa lazima wataendeleza mahusiano?
Wapo ambao wameamua kuachana na wakiingia kwenye ndoa wanabaki kuwa waaminifu kabisa.

Nikuulize swali, unafahamu ndoa ngapi ambazo wanawake na wanaume wanaendeleza mahusiano yao ya kimapenzi ya zamani na hawana watoto?

3. Akili za kuambiwa changanya na za kwako

Hapa kuna mtego unauingia bila sababu, kwanini unatafuta ushauri juu ya aina ya mwanamke wa kumuoa? Huyu mwanamke unaoelea familia ama ni kwa ajili yako?
Embu nikuulize; mpaka hapo ulipofika hujawahi kuwa na mahusiano na wanawake wengine? Hao wanawake wapo wapi kwa sasa? Huko walipo hawana mahusiano na wanaume wengine?

Jambo la muhimu katika ndoa ni uaminifu, heshima na kuthaminiana.
Nikuambie tu kuwa kwa mwanamke kutokuwa na mtoto sio kigezo cha yeye kuwa mke bora, hali kadhalika mwanamke kuwa na mtoto sio kigezo cha yeye kushindwa kuwa mke bora na kujenga familia.
Kwani mkuu hakuna single mom ambaye hajawahi kutoa mtoto? Kwanini unaamini tu kwamba wanaotoa watoto ni wale ambao hawajazaa?
 
Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.

Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,

Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?

Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo 😁😁..

NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.

Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Kama kuna alieoa single mother na anapata changamoto, shida sio usingle mother, shida inaweza kuwa ni mwanamke peke yake hata asingekuwa single mother hizo shida zingekuwepo tu au shida ni mwanaume ana mentality ya kwamba nimeoa single mother kwa hiyo nijipange kwa hiyo anakuwa mbabe kwa huyo mwanamke kwa fikra kwamba hana pa kwenda yeye ndo mkombozi wake, nenda kaoe ila shida ni hapo pa kubadilisha dini, usijaribu
 
Kama kuna alieoa single mother na anapata changamoto, shida sio usingle mother, shida inaweza kuwa ni mwanamke peke yake hata asingekuwa single mother hizo shida zingekuwepo tu au shida ni mwanaume ana mentality ya kwamba nimeoa single mother kwa hiyo nijipange kwa hiyo anakuwa mbabe kwa huyo mwanamke kwa fikra kwamba hana pa kwenda yeye ndo mkombozi wake, nenda kaoe ila shida ni hapo pa kubadilisha dini, usijaribu
Mkuu tuwe wa kweli single mother wanashida nyingi hasa ukimpata yule ambaye anastruggle ya maisha
1.wameharibika kisaikojia kutokana na experience ya past relationship na ukichanganya na maumivu ya kulea na changamoto za maisha

2.hatokupenda kivile, atajifanya kukupenda ili tu umuoe but baada ya kuwa kwenye comfort zone hatakupa mapenzi kama yale ya mzazi mwenza kutokana na ile level ya kupenda ameshaivuka umemkuta kwenye kuangalia hasa maisha yake na mtoto.

3.kiporo kitausika, kama hautampa show ya maana au kumtimizia mahitaji yake kwa wakati jiandae kwa lolote.

NB: Naongea hivi mkuu sio kwa kuhadithiwa nina mahusiano na single mother naeleza kitu na experience nacho namuona kabisa hana kigezo cha kumuoa but nipo nae kwasababu ana utamu
 
Mkuu tuwe wa kweli single mother wanashida nyingi hasa ukimpata yule ambaye anastruggle ya maisha
1.wameharibika kisaikojia kutokana na experience ya past relationship na ukichanganya na maumivu ya kulea na changamoto za maisha

2.hatokupenda kivile, atajifanya kukupenda ili tu umuoe but baada ya kuwa kwenye comfort zone hatakupa mapenzi kama yale ya mzazi mwenza kutokana na ile level ya kupenda ameshaivuka umemkuta kwenye kuangalia hasa maisha yake na mtoto.

3.kiporo kitausika, kama hautampa show ya maana au kumtimizia mahitaji yake kwa wakati jiandae kwa lolote.

NB: Naongea hivi mkuu sio kwa kuhadithiwa nina mahusiano na single mother naeleza kitu na experience nacho namuona kabisa hana kigezo cha kumuoa but nipo nae kwasababu ana utamu
Nakataa kwa herufi kubwa, mi mwanamke nimeolewa nikiwa nina mtoto na niko ndoani huu mwaka wa 3, changamoto zipo ila sababu sio usingle mother, kuwa single mother ha kuingia hata kidogo, wengine wanaongea hivyo ila wazazi wao waliolewa wako wa single mother na wapo mpaka leo
 
Mdogo wangu, acha nikishauri kidogo.

1. Ndoa sio suala la kutafutia ushauri
Hapa naona vijana wengi wanaingia mkenge kwa kudhani kuwa kuoa na kuolewa ni suala la National Assembly yaani ushauri na majadiliano. Ndoa ni yako, maisha ni yako. Ukifika muda wa kuoa na ukajiona kuwa upo tayari kuoa na ukiwa umepevuka namaanisha ''matured'' huna haja ya kutafuta ushauri wa lini uoe wala umuoe nani.

2. Suala la kuoa mwanamke mwenye mtoto

Labda nikuulize, mwanamke akishazaa huwa anapungukiwa nini mwilini mwake? Kuzaa kwa mwanamke inamaanisha tu kuwa aliwahi kuwa na mahusiano na mtu, akapata ujauzito na hatimaye akazaa. Hilo tu.
Kinachowatofautisha wanawake waliozaa na wasio na watoto ni jambo moja tu; hawa wenye watoto wana ushahidi wa mahusiano yaliyopita na kubeba mimba ambazo walizitunza na hatimaye kuzaa.
Nikueleze tu; wanawake wengi ambao hawana watoto, waliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi kabla ya kukutana na wewe, wengine waliamua kutumia njia za uzazi wa mpango ili wasipate mimba, wengine walipata mimba na kuitoa ili kutunza unafiki wa kuonekana kuwa hawajapata mimba nje ya ndoa.

Sasa basi, kama kuna mwanamke unaona kabisa anafaa kuwa mke na ana mtoto, tatizo ni nini?

Najua hofu ya vijana ''eti atakuwa na mahusiano na baba mtoto''; kwanini huwa mnafikia tamati kuwa lazima wataendeleza mahusiano?
Wapo ambao wameamua kuachana na wakiingia kwenye ndoa wanabaki kuwa waaminifu kabisa.

Nikuulize swali, unafahamu ndoa ngapi ambazo wanawake na wanaume wanaendeleza mahusiano yao ya kimapenzi ya zamani na hawana watoto?

3. Akili za kuambiwa changanya na za kwako

Hapa kuna mtego unauingia bila sababu, kwanini unatafuta ushauri juu ya aina ya mwanamke wa kumuoa? Huyu mwanamke unaoelea familia ama ni kwa ajili yako?
Embu nikuulize; mpaka hapo ulipofika hujawahi kuwa na mahusiano na wanawake wengine? Hao wanawake wapo wapi kwa sasa? Huko walipo hawana mahusiano na wanaume wengine?

Jambo la muhimu katika ndoa ni uaminifu, heshima na kuthaminiana.
Nikuambie tu kuwa kwa mwanamke kutokuwa na mtoto sio kigezo cha yeye kuwa mke bora, hali kadhalika mwanamke kuwa na mtoto sio kigezo cha yeye kushindwa kuwa mke bora na kujenga familia.
We jamaa ni mwalimu kama sio ni mwandishi au msomi [emoji119][emoji119][emoji119].

Uzi ufungwe
 
Nakataa kwa herufi kubwa, mi mwanamke nimeolewa nikiwa nina mtoto na niko ndoani huu mwaka wa 3, changamoto zipo ila sababu sio usingle mother, kuwa single mother ha kuingia hata kidogo, wengine wanaongea hivyo ila wazazi wao waliolewa wako wa single mother na wapo mpaka leo
Sasa unabishana na Mimi ambaye nina mahusiano na Single mother hivi vitu tunavyozungumza sio kwamba tunawasingizia tunaviona kwa masingle mother wengi unakuta wengi ndio maana humu wanashambuliwa
 
Sasa yeye si alimpenda sana huyo "irresponsible man" kwahio inabidi uishi ukitambua hilo na endapo huyo irresponsible man akitaka kuloweka wala hatumii nguvu nyingi maana akimuita mpenzi wako tu kimahaba lazma amtie nyavuni😂
Umeona ujinga mwingine wa single maza
 
Oa mzee sio single Maza wote hawana akili, wengine Wana akili sana, na Huwa hawarudi nyuma.
 
Mdogo wangu, acha nikishauri kidogo.

1. Ndoa sio suala la kutafutia ushauri
Hapa naona vijana wengi wanaingia mkenge kwa kudhani kuwa kuoa na kuolewa ni suala la National Assembly yaani ushauri na majadiliano. Ndoa ni yako, maisha ni yako. Ukifika muda wa kuoa na ukajiona kuwa upo tayari kuoa na ukiwa umepevuka namaanisha ''matured'' huna haja ya kutafuta ushauri wa lini uoe wala umuoe nani.

2. Suala la kuoa mwanamke mwenye mtoto

Labda nikuulize, mwanamke akishazaa huwa anapungukiwa nini mwilini mwake? Kuzaa kwa mwanamke inamaanisha tu kuwa aliwahi kuwa na mahusiano na mtu, akapata ujauzito na hatimaye akazaa. Hilo tu.
Kinachowatofautisha wanawake waliozaa na wasio na watoto ni jambo moja tu; hawa wenye watoto wana ushahidi wa mahusiano yaliyopita na kubeba mimba ambazo walizitunza na hatimaye kuzaa.
Nikueleze tu; wanawake wengi ambao hawana watoto, waliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi kabla ya kukutana na wewe, wengine waliamua kutumia njia za uzazi wa mpango ili wasipate mimba, wengine walipata mimba na kuitoa ili kutunza unafiki wa kuonekana kuwa hawajapata mimba nje ya ndoa.

Sasa basi, kama kuna mwanamke unaona kabisa anafaa kuwa mke na ana mtoto, tatizo ni nini?

Najua hofu ya vijana ''eti atakuwa na mahusiano na baba mtoto''; kwanini huwa mnafikia tamati kuwa lazima wataendeleza mahusiano?
Wapo ambao wameamua kuachana na wakiingia kwenye ndoa wanabaki kuwa waaminifu kabisa.

Nikuulize swali, unafahamu ndoa ngapi ambazo wanawake na wanaume wanaendeleza mahusiano yao ya kimapenzi ya zamani na hawana watoto?

3. Akili za kuambiwa changanya na za kwako

Hapa kuna mtego unauingia bila sababu, kwanini unatafuta ushauri juu ya aina ya mwanamke wa kumuoa? Huyu mwanamke unaoelea familia ama ni kwa ajili yako?
Embu nikuulize; mpaka hapo ulipofika hujawahi kuwa na mahusiano na wanawake wengine? Hao wanawake wapo wapi kwa sasa? Huko walipo hawana mahusiano na wanaume wengine?

Jambo la muhimu katika ndoa ni uaminifu, heshima na kuthaminiana.
Nikuambie tu kuwa kwa mwanamke kutokuwa na mtoto sio kigezo cha yeye kuwa mke bora, hali kadhalika mwanamke kuwa na mtoto sio kigezo cha yeye kushindwa kuwa mke bora na kujenga familia.
Naona unajipiga promo kidizaini. Wewe kama ulifanya uzembe ukazalishwa nje ya ndoa basi tambua kwamba tayari umeshafungwa nyumbani hivyo upambane sana ili ukachomoe goli ugenini😂
 
Bikra wapo kibao. Shida yenu vijana hamtaki kushirikisha wazee pindi mnapotafuta life partner eti ni mambo ya kizamani. Mwisho wa siku unaenda kuangukia kwa makahaba wastaafu na kuwafanya mke.
Ukitaka kuoa usitumie akili yako, washirikishe wazoefu yaani wazee. Hao hawatataka uharibikiwe japo pia mapungufu hayakosi.

Shida mnaona wazee hawatawatafutia wanawake kama wale mnaowaona insta na fb. Since they don't regard Tako na Sura nzuri as main point of a Good wife-y
Acha kudanganya watu mabikra kibao wameolewa na kuachika na mwisho wa siku wanakuwa vicheche, akili kumkichwa, mwanamke ni mwanamke tuu, Ili mradi ana content kichwani
 
Back
Top Bottom