Usimdanganye mwenzako. Kwamba ndoa yako ni ya kipekee sana kiasi imekosa Changamoto?Achana na stori za vijiweni dogo. Kama mmeridhiana oa huyo mama. Achana na wanaokula kwa mashemeji hao. Single mother ana shida gani?
Mimi nimeoa single mother fresh kabisa mwaka unaenda wa 16 huu hakuna changamoto yoyote.
Sawa maturity ni jambo moja ila ushawishi wamwanaume wengi tunaujua. Ingekuwa maturity ndo inazuia mtu kupigwa pumbu Jokate asingekuwa singo maza leo hiiKama haya ndio mawazo yako unasita (ACHA) sababu hata kama wamefanikiwa asilimia 100 itakuwa sio wewe...
Issue sio Single Mother hata asiye mama nina uhakika asilimia kubwa sio the First; Issue ni Maturity ya Mtu anayeingia kwenye hayo mahusiano lazima awe tayari na mwenye Hekima na Busara... (Sababu what is at Stake sio Maisha yenu Wawili) bali kiumbe kingine ambacho uzembe au upuuzi wenu unaweza ukafanya maisha ya kiumbe hicho kukosa raha....
Again narudia wewe haupo tayari kuingia kwenye hayo mahusiano (ungekuwa tayari usingeuliza bali ungekuja kutetea)
Hizo P2 na mimba zilizotoka zimemfanya kuitwa singomaza? Au unajaribu kuhalalisha nyeusi kuwa njano?Dah kwahiyo mkuu, single mother hawana haki ya kuolewa? Kipi ni Bora kumchukia single mother na kuona hafai au kumuweka ndani Binti aliyetoa mimba kadhaa, aliekua anatumia P2 n.k?
Sasa mtu ambaye aliachika kwa cheating anawezaje kuwa mke bora? Na hii ni kwa vile uthibitisho wake unakuwa mgumu sana.Tuliachana na tuna mtoto, tukiwa pamoja alizingua alipoanza kucheat nikampotezea, mawasiliano ikawa kwa ajili ya matumizi tu na mambo ya msingi kwa ajili ya mtoto. Naheshimu mahusiano ya watu sikurudi nyuma,...sasa hivi ndo anabembeleza turudiane eti kwa ajili ya mtoto,nikasema hapana haiwezekani kurudiana, anaomba hata basi tukumbushane anabembeleza. Ila nadhani upande wa pili jamaa kichwa kinawaka moto sasa hivi, single mothers ngumu kuachana na watu waliozaa nao hata kwa kisiri.
Hao singo maza wa zamani walikuwa na sababu za kuachika ama kufiwa au unyanyasaji ila sio kuwa walikuwa wanategesha mimba kama hawa wacenge wa sikuhizi kisa ndoa. Akitoswa anaanza kujifanya superwoman huku anadanga.We oa wana uzoefu na maisha na akili zao huwa zimetulia hawana utoto na akizingua mpige chini asubui tu. Mimi mama yangu aliolewa singo maza, baba mkwe alioa singo maza tena wote wake wawili aliwaoa wakiwa singo mama na hadi sasa wote wana hadi wajukuu
Mnapooa hao singo maza huwa mnajifikiria wenyewe tu au huwa pia mnafikiria haki za hao watoto wao kuwaona wazazi wao wakiwa pamoja pia kwenda out na baba na mama zao mara mojamoja? Yaani kumruhusu beby dady wake kuja kumchikua mtoto wake na mke wako akawapeleka out kisha kuwarudisha kwako ili tu mtoto ajifumze kitu kwa kuwaona wazazi wake pamoja wakinadilishana mawezo au wakimusngalia akicheza?Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.
Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,
Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?
Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo ππ..
NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.
Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Handcap πkuoa single mother ni sawa na timu kucheza uku mpinzan wako tayari kesha kufunga goli moja ingawa upo uwezekano wa kuludisha goli but yaitaj moyo sana na juhudi
Nadhani haujanielewa Maturity, Hekima na Busara....Sawa maturity ni jambo moja ila ushawishi wamwanaume wengi tunaujua. Ingekuwa maturity ndo inazuia mtu kupigwa pumbu Jokate asingekuwa singo maza leo hii
Mkuu tafuta demu meingine lakini huyo single mother ana jiweza kuwahudumia watoto wake au ndiyo ana mtegemea kwa kila kitu huyo Mzazi mwenzie?Nimeamua kurudi nyuma nisuke mpango upya/nijitafakari zaidi.
Mkuu wazazi wako watakuwa wa Islamu kwasababu waislamu kuoa single mother siyo tatizo.We oa wana uzoefu na maisha na akili zao huwa zimetulia hawana utoto na akizingua mpige chini asubui tu. Mimi mama yangu aliolewa singo maza, baba mkwe alioa singo maza tena wote wake wawili aliwaoa wakiwa singo mama na hadi sasa wote wana hadi wajukuu
Tunaenda kushtaki Mahakamani.Tunazaa tena na baba tofauti tofauti na mtatuoa kwa lazima
Ndoa hazitabiliki mkuu, dot.com imetawala sana.Hii imeenda
Lipa Ada hudumia mwanae lazima akupende..Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.
Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,
Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?
Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo ππ..
NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.
Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Mkuu naona hapo unahitaji ushauri wetu na wakati huohuo unatuelekeza namna ya sisi kukushauri weweNimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.
Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,
Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?
Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo ππ..
NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.
Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.