Rais wa Matajiri
JF-Expert Member
- Sep 14, 2018
- 1,522
- 643
Unamaanisha Mimi ni Mzee?Ni kweli sijui mimi na vijana wenzangu, maana hicho chama kinachotegemea nguvu za dola ni cha wazee zaidi na wasaka maslahi binafsi.
Wamezuiwa na CCMWamezuiwa na ccm au na vyombo vya dola?
Kama si mzee ni msaka maslahi binafsi fullstop.Unamaanisha Mimi ni Mzee?
Chongolo ni Mzee?
Shaka ni Mzee?
Kenani ni mzee?
?
?
?
Wamezuiwa na CCM
Hakuna kitu unafahamu wewe,Kama si mzee ni msaka maslahi binafsi fullstop.
Wewe ni mfuuuu? Usitawale miaka 100 kivipi wakati unaingia na kura zilizopigwa kwenye sandarusi? ( kaulize pale ofisi ya chama kinondoni watoto walimpigia Kira magufuli na madiwani na tarimba cku 2 kabla) Afu uje unengue na taarabu zako kama kopa hapa. Unamdanganya nani aliyeiba mitihani kama weweCCM lazima itawale kwa miaka 100 ijayo,
tunawaogopa
tumewastopisha wasifanye siasa nao wamestop kweli
mie sikuwahi kujua kuwa unaweza ukampiga biti mtu unaemuogopa nae akanywea
[/QUO]
Tatizo mnapiga risasi na kuwafungulia kesi za ugaidi na kuwaloteza kana kwamba sio raia wa Tanzania.
Naona mwenezi anazidi kuwa mweupe. Heluwa heluwaa
Zote hizo ni mbinu,Wewe ni mfuuuu? Usitawale miaka 100 kivipi wakati unaingia na kura zilizopigwa kwenye sandarusi? ( kaulize pale ofisi ya chama kinondoni watoto walimpigia Kira magufuli na madiwani na tarimba cku 2 kabla) Afu uje unengue na taarabu zako kama kopa hapa. Unamdanganya nani aliyeiba mitihani kama wewe
πππMchambawima wameshachagua?
Wamekufa kabla ya kuanza,CCM angalieni nyuma kuna, Umoja Party na Sukumagang wanawanyemelea
Swali zuri sana,Unamaanisha Mimi ni Mzee?
Chongolo ni Mzee?
Shaka ni Mzee?
Kenani ni mzee?
?
?
?
Akijibu mtaniita,Swali zuri sana,
CCM NDIO CHAMA NA BADO,Akijibu mtaniita,
CCM MBELE KWA MBELE NYUMA MWIKO,View attachment 2207457
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Cde Shaka Hamdu Shaka amejumuika pamoja na wanachama wa Tawi la CCM Buyu Pwani, Mkoa wa Magharibi, Wilaya ya Dimani,
Ndg Shaka Hamdu Shaka ameshiriki katika uchaguzi wa kuwachagua Mwenyekiti wa shina No 4 na wajumbe wa kamati ya Uongozi shina hilo.
View attachment 2207446
Kunani CCM mbona Chaguzi za matawi
zimepamba moto kiasi hiki,Je huu sasa ni mwanzo wa mwisho wa Upinzani Tanzania!?
View attachment 2207449
Sote tunafahamu chama chochote cha Siasa msingi wake mkubwa ni kujijenga kwenye grassroots,
Je? Hili linatafsiri uimara wa kiwango cha juu wa Chama cha Mapinduzi?
View attachment 2207430
View attachment 2207432
daaah,Nchi ngumu kwelikweli hii, Mungu atusaidieUpuuzi tu mishahara hakuna. Nauli zimepanda, royo tua imedoda. Mna lipi jengine mnaloweza kutudanganya, sensa au postikadi??