Kunani CCM, mbona Chaguzi za matawi zimepamba moto kiasi hiki? Je, huu sasa ni mwanzo wa mwisho wa Upinzani?

CCM lazima itawale kwa miaka 100 ijayo,
Wewe ni mfuuuu? Usitawale miaka 100 kivipi wakati unaingia na kura zilizopigwa kwenye sandarusi? ( kaulize pale ofisi ya chama kinondoni watoto walimpigia Kira magufuli na madiwani na tarimba cku 2 kabla) Afu uje unengue na taarabu zako kama kopa hapa. Unamdanganya nani aliyeiba mitihani kama wewe
 
tunawaogopa

tumewastopisha wasifanye siasa nao wamestop kweli

mie sikuwahi kujua kuwa unaweza ukampiga biti mtu unaemuogopa nae akanywea
[/QUO]

Tatizo mnapiga risasi na kuwafungulia kesi za ugaidi na kuwaloteza kana kwamba sio raia wa Tanzania.
 
Wakati huo vyama pinzani hata havijui la kufanya.
 
CCM angalieni nyuma kuna, Umoja Party na Sukumagang wanawanyemelea
 
Zote hizo ni mbinu,
 
CCM MBELE KWA MBELE NYUMA MWIKO,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…