Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

Hiv Kuna wadangaji mjini Kama wachaga?
Tena kibaya zaidi maarufu
Hebu tuanze.
Wolper, snura,lulu,kanchi world, Lynn. Yaan list ni ndefu ndefu kweli

Tena Hadi wanaume wa kichaga wanadanga siku hiz sijui mmekuwaje nyie[emoji23]
Hehere, mdomo komaaa, munadangaaaaaa nshomii, munadangaaaa kweli na kwenda kunywea bia[emoji23][emoji23] yaan si wanaume si wanawake. Halaf dada zenu ndo wanauza kabisaaa.

Sisi tunadanga kwa faidaaa. Maisha ya wolper kwani mchezo? Aah weweee

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Duu hii sifa sijawahi sikia.watakuwa wachache sana

Sisi mtu ukifanikiwa anavuta ukoo mzima Kama hujui . Ndo ubinafsi unapokuja kupendana kupitiliza.
Hapana. Sinkweli. WBinafsi mnoo.. ninae prominent figures kbs za huko wenye maisha yao na taasisi kbs ila hadi watoto wao wamewatenga. Wabinafsi mno. Sisi ndo tunajulikana tunabebana mpk mnatumind[emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Basi Kama ni ndogo jengen maghorofa.moshi kumejaa maghofu Hadi kero

Mmekatazwa? au kazi kukimbia mkoa tu
Mbona nyie hamkua nayo miaka hiyo? Kwani yaliyoko yana shida gani? Maghorofa mapya tunajeng milimani. Mjini paache patabadilik wakati ukifika. Jua hatuuzii viasaka kama ndo lengo lenu[emoji23][emoji23]

Halafu pesa tunaenda zutafuta lwa malofa waliolala hawataki kazi

Nakuja bk kununua shambaa

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kwenye ukoo wetu maprofesa wako zaidi ya 10. Na wengine wamedundisha hapo UDSM. Ndo maana nachekaaa[emoji23] eti 21. Daah. Kuna mpaka maprof wa macho mujimbili. Na hao ni hawa niliozoeana nao tu. Waachage masikhara. Muache urongoo

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Nakuona nakuoa na misifa mchaga_haya wew[emoji23][emoji23][emoji41][emoji41]

Eti 10? Maprofesa 10 unawajua wew[emoji23][emoji23][emoji23]


Anyway tukuiteje koku manka au Rutabanzibwa Mushi[emoji23]
 
Imejengeka wapi mkuu[emoji23]

Kuwa kubwa zaidi ndo sababu ya kujengeka? Unaijua mipangilio ya kilimanjaro kuanzia mjini mpaka vijijini na miundo mbinu yake? Sini wewe unekiri hapa kimiundombinu mumezidiwa weee?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Namaanisha makazi binafsi we manka.

Kesho ingia hata google earth angalia vijiji vilivyozunguka mji wa bukoba na ziwa ushangae kidogo
 
Nakuona nakuoa na misifa mchaga_haya wew[emoji23][emoji23][emoji41][emoji41]

Eti 10? Maprofesa 10 unawajua wew[emoji23][emoji23][emoji23]


Anyway tukuiteje koku manka au Rutabanzibwa Mushi[emoji23]
Ni maprofesa kwa vyeti na siyo vya kuzawadiwa kama wanSiasa wako. Yes, koo za Mangi Elimu bwerere nshomileee. Nando siwez taja tatizoo. Mnanifuragishaga kwi kwenye jambo hili. Ila mimi sina wito w elimu kwa kweli. Nikasikia sauti ya kwenda masters ikija naikemea sana. Degree yenyewe imenitesaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani sipendi shuleee..

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Hehere, mdomo komaaa, munadangaaaaaa nshomii, munadangaaaa kweli na kwenda kunywea bia[emoji23][emoji23] yaan si wanaume si wanawake. Halaf dada zenu ndo wanauza kabisaaa.

Sisi tunadanga kwa faidaaa. Maisha ya wolper kwani mchezo? Aah weweee

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mchaga wolper k yake si ziwa lile[emoji23][emoji23]

Wanaume wake anajaza basi

Nilisia k yake inanuka[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila watu aisee
 
Hapana. Sinkweli. WBinafsi mnoo.. ninae prominent figures kbs za huko wenye maisha yao na taasisi kbs ila hadi watoto wao wamewatenga. Wabinafsi mno. Sisi ndo tunajulikana tunabebana mpk mnatumind[emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hayo Mambo ya mchaga wa uru,sijui kibosho, machame ndo vitu gan
Si ndo kutengana huko..
Hadi mnaogopa kuoana.
Hampendan

Ulishawahi sikia muhaya wa wap sijui wap ?na sio kwamba wahaya wote ni sawa lakini mkikutana vijiji vinahama mnakuwa majirani[emoji23][emoji23]
 
Yule kitambo anajulikana mjini hapa.
Mwache wamle tu. Tumezika jamaa jana bana alipata huu ugonjwa wa useng*

Hilo la nyuma lilishuka. Tulijua familia yake wameenda mpeleka hospital kumbe siyo. Pombe za hovyo wenzake wanamgeuza akishazima. Kwenda kwao msibani jamani[emoji24][emoji24] hata milango hakuna nyumba. Nimeumia mno jaman. Ndo nashindwa elewa mkoa wa pwani unafuu wake kimaisha uko wapi.. dah. Uchoko mbaya sana

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mchaga wolper k yake si ziwa lile[emoji23][emoji23]

Wanaume wake anajaza basi

Nilisia k yake inanuka[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila watu aisee
[emoji23][emoji23] yale mabifu tu jamani. Mwacheni jaki. Jaki ana helaaaa. Jaki maparashutiii... wahaya wenu wako wapi walionufaika na uigizaji. Bora jaki anahongaaa. Ana heraaaaaa

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mbona nyie hamkua nayo miaka hiyo? Kwani yaliyoko yana shida gani? Maghorofa mapya tunajeng milimani. Mjini paache patabadilik wakati ukifika. Jua hatuuzii viasaka kama ndo lengo lenu[emoji23][emoji23]

Halafu pesa tunaenda zutafuta lwa malofa waliolala hawataki kazi

Nakuja bk kununua shambaa

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hiv mji wa bukoba na moshi upi mkongwe


Bukoba ilijengwa mwaka 1890 na wajerumani kuzuia waingereza wasiisogelee Tanganyika.

But anyway miji yote bukoba na Moshi Ina future
 
Hayo Mambo ya mchaga wa uru,sijui kibosho, machame ndo vitu gan
Si ndo kutengana huko..
Hadi mnaogopa kuoana.
Hampendan

Ulishawahi sikia muhaya wa wap sijui wap ?na sio kwamba wahaya wote ni sawa lakini mkikutana vijiji vinahama mnakuwa majirani[emoji23][emoji23]
Wahaya mko bk tu. Labda uniongezee wilaya ingine. Wengine wanyambo sijui na wanyiha. Wenyewe si wahamihaji haram

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Hiv mji wa bukoba na moshi upi mkongwe


Bukoba ilijengwa mwaka 1890 na wajerumani kuzuia waingereza wasiisogelee Tanganyika.

But anyway miji yote bukoba na Moshi Ina future
Kwani moshi imejengwa lini na akina nani pia? Ama waijua history ya kwenu tu? Karibu kwetu kuna mpaka wajerumani warombo[emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Ni maprofesa kwa vyeti na siyo vya kuzawadiwa kama wanSiasa wako. Yes, koo za Mangi Elimu bwerere nshomileee. Nando siwez taja tatizoo. Mnanifuragishaga kwi kwenye jambo hili. Ila mimi sina wito w elimu kwa kweli. Nikasikia sauti ya kwenda masters ikija naikemea sana. Degree yenyewe imenitesaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani sipendi shuleee..

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Nani professor muhaya kazawadiwa wew

Watu wanasoma wew. Muhaya na elimu ni damu damu.
Kwenye shule Bora top five hakosagi muhaya akikosa basi shule inafelisha.


Anyway muhaya Mimi kuku zangu wanasoma pia[emoji23][emoji23]
Lakin money ndo kila kitu Kama huna hela kusoma ni kupoteza muda
 
Nani professor muhaya kazawadiwa wew

Watu wanasoma wew. Muhaya na elimu ni damu damu.
Kwenye shule Bora top five hakosagi muhaya akikosa basi shule inafelisha.


Anyway muhaya Mimi kuku zangu wanasoma pia[emoji23][emoji23]
Lakin money ndo kila kitu Kama huna hela kusoma ni kupoteza muda
[emoji23][emoji23] niambie hiyo shule nije nizichinjee.

Nilitaka kuweka sawa rekodi kwamba wapo wengi pia. Usidanganyike.

Me shule nimrpotezaga muda tuu[emoji23][emoji23] wamenitesa kweli na sup. Mfieew

Nalala bana. Keshooo

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mwache wamle tu. Tumezika jamaa jana bana alipata huu ugonjwa wa useng*

Hilo la nyuma lilishuka. Tulijua familia yake wameenda mpeleka hospital kumbe siyo. Pombe za hovyo wenzake wanamgeuza akishazima. Kwenda kwao msibani jamani[emoji24][emoji24] hata milango hakuna nyumba. Nimeumia mno jaman. Ndo nashindwa elewa mkoa wa pwani unafuu wake kimaisha uko wapi.. dah. Uchoko mbaya sana

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mimi nawasaport wahaya hasa wa kiume kuendelea kuzichakata Tena kwa katerero sio kujibanabana na kujikuta unachakatwa[emoji23]




Takwimu za Tanzania za umaskini zinashangaza Sana.

Kagera izalishe kahawa 60%, izalishe maharage 20%,izalishe ndizi 65%, izalishe vanilla 90%, izalishe Sukari nk. Wilaya zina hospital Hadi tano,wilaya zote zinalami,watu wanasomesha watoto shule nzr una English medium vijijini,
Bado majumba ya kufa mtu vijijini
Lakin bado wanakwambia mkoa wa kagera ni wa 10 kwa umaskini ukiziwa na mikoa ya pwani,mtwara, nk kwa sababu Ina viwanda vingi na population ndogo kulinganisha na GDP wakati vijijini huko hali Tete.
 
Back
Top Bottom