Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

Aah wapi, tuliona kulivyojengeka randomnly. Hakuna mpangilio. Inabidi tuchukuane likizo moja uje kwetu na ingine twende kwenu[emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kagera ipo nyuma yenu tu kwa population density ya 124 per kilometre baada ya Kilimanjaro, mwanza na dar .

Kagera Ina watu 3.2/ million Kama hujui.

Acha kupita barabarani ingia huko ndani ni nyumba na migomba mwanzo mwisho
 
[emoji23][emoji23] yale mabifu tu jamani. Mwacheni jaki. Jaki ana helaaaa. Jaki maparashutiii... wahaya wenu wako wapi walionufaika na uigizaji. Bora jaki anahongaaa. Ana heraaaaaa

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Wanawake wa kihaya wapo wa aina mbili wale wanaojielewa . Hawa ni vichwa na Wana akili Sana ya maisha na wanajali familia zao wako Sana huko bukoba na wengi ndo mama zetu hao


Halafu Kuna haya mapumbavu yaliyokimbia bukoba baada ya kupata mimba na kuja kujiuza huko kwa wahaya hayo yamelaaniwa na ukoo na mizimu ya kihaya imewageuka [emoji23]


Cha ajabu wanawake hao hao wa kihaya ndo wanaongoza kujiunga na utawa. Hakuna kabila lenye watawa wa kike Kama wahaya nchini
 
Wahaya mko bk tu. Labda uniongezee wilaya ingine. Wengine wanyambo sijui na wanyiha. Wenyewe si wahamihaji haram

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Wahaya wapo kwa wilaya hiz bukoba, misenyi, muleba,karagwe na kyerwa.


Wahaya ni muuganiko wa makabila madogo ya waziba wa misenyi,waendagabo wa bukoba vijijini,wanyambo wa karagwe,wayoza wa bukoba mjini,waihangiro wa muleba,waamba wa muleba,wakara wa bukoba nk nk

Na walikuwa na wafalme wao na tamaduni zao.


Wazungu ndo walileta jina la wahaya maana yakw wavuvi
 
Kagera ipo nyuma yenu tu kwa population density ya 124 per kilometre baada ya Kilimanjaro, mwanza na dar .

Kagera Ina watu 3.2/ million Kama hujui.

Acha kupita barabarani ingia huko ndani ni nyumba na migomba mwanzo mwisho
Sasa si wewe uliyekariri moshi mjinj. Pale watu wanashuka asubuhi wanapiga mishe halaf jioni wanapanda milimanj kwenye mahekalu yao. Na huko ni zaidi ya hivyo.mind u, ujenzi wenu ni very cheap

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Sasa si wewe uliyekariri moshi mjinj. Pale watu wanashuka asubuhi wanapiga mishe halaf jioni wanapanda milimanj kwenye mahekalu yao. Na huko ni zaidi ya hivyo.mind u, ujenzi wenu ni very cheap

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Eti ujenzi very cheap?[emoji849][emoji15]

Hebu tulinganishe saruji bukoba ni sh ngap na Moshi sh ngap
 
Mimi nawasaport wahaya hasa wa kiume kuendelea kuzichakata Tena kwa katerero sio kujibanabana na kujikuta unachakatwa[emoji23]




Takwimu za Tanzania za umaskini zinashangaza Sana.

Kagera izalishe kahawa 60%, izalishe maharage 20%,izalishe ndizi 65%, izalishe vanilla 90%, izalishe Sukari nk. Wilaya zina hospital Hadi tano,wilaya zote zinalami,watu wanasomesha watoto shule nzr una English medium vijijini,
Bado majumba ya kufa mtu vijijini
Lakin bado wanakwambia mkoa wa kagera ni wa 10 kwa umaskini ukiziwa na mikoa ya pwani,mtwara, nk kwa sababu Ina viwanda vingi na population ndogo kulinganisha na GDP wakati vijijini huko hali Tete.
Ooh yeah.. lazima itakua hivi. Viwanda vingi kweli siku hizi vimewekezwa huko. Na population obvious ni ndogo. Zaidi sasa watu wanawahamisha tena wenyeji wa pwani aisee. Sijui ni uvivu ama ni nn. Ama ndo Elimu itakua.

Kagera mna ardhi kubwa sana ambayo bado haitumiki. Maybe ongezeni jitihada za kuzalisha zaidi. Kilimanjaro watu waling'oa mikahawa baada ya siasa kutamalaki ila naona wamerudisha tena. Nyie muna boarder na uganda lkn sielewi tatizo ni nn. Maybe miundo mbinu inawaangusha. And maybe exposure kwa majority hapo. Wati hawana muingiliano wa kutosha kuweza leta competition. And by nature wati wenye vyeti huwa si matajiri.

Uchaggani, machame na marangu enzi hizo walikua ndo wasomi kweli kweli. Warombo na wakibosho wakaanzaga uchuuzi na hatimaye leo ni wafanyabiashara wakubwa sana. Wmachame na wamarangu wamebakia kuwa ordinary kwakua pesa haiendi kwenye makaratasi tena. Same nawaza kwenu pia. Sioni kama nature yenu ni biashara. Office based.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Wanawake wa kihaya wapo wa aina mbili wale wanaojielewa . Hawa ni vichwa na Wana akili Sana ya maisha na wanajali familia zao wako Sana huko bukoba na wengi ndo mama zetu hao


Halafu Kuna haya mapumbavu yaliyokimbia bukoba baada ya kupata mimba na kuja kujiuza huko kwa wahaya hayo yamelaaniwa na ukoo na mizimu ya kihaya imewageuka [emoji23]


Cha ajabu wanawake hao hao wa kihaya ndo wanaongoza kujiunga na utawa. Hakuna kabila lenye watawa wa kike Kama wahaya nchini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kwa watawa nimecheka
Sisi huku kwetu ni mapadre tu meku. Kama huko rombo ni balaa. Nyumba padre. Ni mji wetu tu hatuna padre wala mtawa wala brother[emoji23][emoji23] ila hawa wanaojiuza ni kiboko. Na hawabadiliki maisha yaani.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Wahaya wapo kwa wilaya hiz bukoba, misenyi, muleba,karagwe na kyerwa.


Wahaya ni muuganiko wa makabila madogo ya waziba wa misenyi,waendagabo wa bukoba vijijini,wanyambo wa karagwe,wayoza wa bukoba mjini,waihangiro wa muleba,waamba wa muleba,wakara wa bukoba nk nk

Na walikuwa na wafalme wao na tamaduni zao.


Wazungu ndo walileta jina la wahaya maana yakw wavuvi
Asante kwa darasa.

Ila nasikitika sana, wavuvi ni kada ambayo huwa haitajiriki. Kwanini? Wanauzaga bei rahisi sana ama niaje? Waganyabiashara ndo huzidi kushine tu.

Good this is wanakula.vyakula fresh sanaaa sana sana. Na nayaoenda maisha yao.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Wahaya wamesoma ingawa matajir wakubwa mabilioner Ni wachaga aisee ..muhaya hamn kitu Ni utapeli tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kwa watawa nimecheka
Sisi huku kwetu ni mapadre tu meku. Kama huko rombo ni balaa. Nyumba padre. Ni mji wetu tu hatuna padre wala mtawa wala brother[emoji23][emoji23] ila hawa wanaojiuza ni kiboko. Na hawabadiliki maisha yaani.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hao wanajiuza najua mizimu ya kihaya inazidi kuwaadhibu siku Hadi siku ndo maana Koo wanazotoka wamefukuzwa na hawatambuliwi na Koo za kihaya na Wala hawawezi kuzikwa bukoba.


Aisee hakuna mizimu sensitive Kama ya kihaya. Kuna connection kubwa Kati ya wahaya wa zamani na sasa. Ndo maana mhaya akiuliwa kishirikina mzimu unarudi na kumshika mmoja wa wanaukoo na kutoa Siri zote zilizo nyuma.Ndo maana wahaya wanaogopa kurogana na mzimu ukikutaja wew ni mchaw utachomewa nyumba na migomba yote.


Aisee Kuna siku ukoo wetu tuliamua tuachane na hizi connections eti tumfuatte Mungu. Tulijuta tulijuta Hadi tukairudisha Tena aisee.
Dini za kizungu fuata lakin usiache babu zako .


Wahaya wengi elimu na dini imeshikwa Sana lakin kwenye suala mababu wa kihaya ni WA muhimu mno
 
Ooh yeah.. lazima itakua hivi. Viwanda vingi kweli siku hizi vimewekezwa huko. Na population obvious ni ndogo. Zaidi sasa watu wanawahamisha tena wenyeji wa pwani aisee. Sijui ni uvivu ama ni nn. Ama ndo Elimu itakua.

Kagera mna ardhi kubwa sana ambayo bado haitumiki. Maybe ongezeni jitihada za kuzalisha zaidi. Kilimanjaro watu waling'oa mikahawa baada ya siasa kutamalaki ila naona wamerudisha tena. Nyie muna boarder na uganda lkn sielewi tatizo ni nn. Maybe miundo mbinu inawaangusha. And maybe exposure kwa majority hapo. Wati hawana muingiliano wa kutosha kuweza leta competition. And by nature wati wenye vyeti huwa si matajiri.

Uchaggani, machame na marangu enzi hizo walikua ndo wasomi kweli kweli. Warombo na wakibosho wakaanzaga uchuuzi na hatimaye leo ni wafanyabiashara wakubwa sana. Wmachame na wamarangu wamebakia kuwa ordinary kwakua pesa haiendi kwenye makaratasi tena. Same nawaza kwenu pia. Sioni kama nature yenu ni biashara. Office based.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Sema siku hiz wahaya wengi wapo kwa biashara elimu wapo wanaoendelea nayo lakin wanaofeli wanafanya biashara.
Zamani Hadi kufanya umachima kwa wahaya ilionekana ni dharau[emoji23] lakin Sasa mji Kama bukoba na mwanza Kuna machinga hao na wachuuzi wa kihaya Hadi kero.


Na nowday Bukoba is booming. Huu mji unakua kwa Kasi Sana Hadi magufuli aliuona. Wahaya wengi wanarudi kuwekeza kwao aisee.
 
Asante kwa darasa.

Ila nasikitika sana, wavuvi ni kada ambayo huwa haitajiriki. Kwanini? Wanauzaga bei rahisi sana ama niaje? Waganyabiashara ndo huzidi kushine tu.

Good this is wanakula.vyakula fresh sanaaa sana sana. Na nayaoenda maisha yao.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Uvuvi wa Tanzania bado ni local Sana.
Sema wavuvi wengi elimu na exposure imeenda kushoto hawawekezi wao ni pombe na wanawake.
Ndo maana ukimwi umepiga Kambi visiwani huko
 
Nyie mwajengea vitofali vha kuchoma[emoji23] hadi maghorofa

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Matofalii ya kuchoma ni magumu asikwambie mtu. Na yanahitaji rinta ngumu .

Lakin ghorofa zinajengwa kwa matofalii ya block na zege la kutosha


Lakin hata hivyo cement,mabati,milango na vifaa vyote vya ujenzi ni juu kwa bukoba. Cement ni sh 23000 lakin bado watu wanajenga Sana vijijini kuliko huko mtwara na Tanga inapozalishwa
 
Hao wanajiuza najua mizimu ya kihaya inazidi kuwaadhibu siku Hadi siku ndo maana Koo wanazotoka wamefukuzwa na hawatambuliwi na Koo za kihaya na Wala hawawezi kuzikwa bukoba.


Aisee hakuna mizimu sensitive Kama ya kihaya. Kuna connection kubwa Kati ya wahaya wa zamani na sasa. Ndo maana mhaya akiuliwa kishirikina mzimu unarudi na kumshika mmoja wa wanaukoo na kutoa Siri zote zilizo nyuma.Ndo maana wahaya wanaogopa kurogana na mzimu ukikutaja wew ni mchaw utachomewa nyumba na migomba yote.


Aisee Kuna siku ukoo wetu tuliamua tuachane na hizi connections eti tumfuatte Mungu. Tulijuta tulijuta Hadi tukairudisha Tena aisee.
Dini za kizungu fuata lakin usiache babu zako .


Wahaya wengi elimu na dini imeshikwa Sana lakin kwenye suala mababu wa kihaya ni WA muhimu mno
Ha ha ha ha sisi na nyie tumefanana kwa mengi sana. Kuanzia tamaduni, vyakula etc. Sema kwetu naona tunapoteza sada hv. Hahaha kwahiyo hao bk ndo basi tena... sada mbona hakuna faida kudanga kwenyewe. Daah[emoji23][emoji23][emoji23]

Miaka hiyo nasimuliwa mtu unakuta wa vijiji vya mbali balaa ila anaoteshwa nenda mpaka sehem fulan kwa boma la fulani kuna matatizo moja mbili tatu. Waambie wachinje mbuzi kadhaa na kadhalika. Unakuta jamaa hajui mji ila mizimu inamuongoza mpk anafila boma husika aisee. Niliogopaaa[emoji23][emoji23] sitaki mimi hizo ndoto. Basi jamaa akifika anapokelewa mnoo. Anadikisha ujumbe anapewa vizawadi kisha anaamsha mnabaki nyie kutimiza matakwa. Siku hizi sisi vijana wa kileo hatuna lolote..

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Sema siku hiz wahaya wengi wapo kwa biashara elimu wapo wanaoendelea nayo lakin wanaofeli wanafanya biashara.
Zamani Hadi kufanya umachima kwa wahaya ilionekana ni dharau[emoji23] lakin Sasa mji Kama bukoba na mwanza Kuna machinga hao na wachuuzi wa kihaya Hadi kero.


Na nowday Bukoba is booming. Huu mji unakua kwa Kasi Sana Hadi magufuli aliuona. Wahaya wengi wanarudi kuwekeza kwao aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23] si baada ya kujua makaratasi pekee ni ujinga kuzunguka na viti ofisini. Yaan sitaki kusikia kuajiriwa tena milele. Asilani abadani. [emoji23][emoji23] sasa hivi vimji vingi wamachinga kibao. Mm napenda bk kwaajili ya ardhi tu. Watu wameacha kuiba hizi cocoa? Uongozi umeweza wasaidia? Maana ni wabinafsi kweli hao viongozi wenu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Uvuvi wa Tanzania bado ni local Sana.
Sema wavuvi wengi elimu na exposure imeenda kushoto hawawekezi wao ni pombe na wanawake.
Ndo maana ukimwi umepiga Kambi visiwani huko
Aiseee... hivi ndo wanakitembeza hivyo? Kumbe na wao ni kada yenye waathirika wrngi eh? Ila bwana mm nikipata chance nitaishi kisiwani. Yaani nataaka nile mchemsho wa machalari na samaki akiwa bado anapumua[emoji23] mara mchicha wa kienyeji, sijui chinese. Yaan nitalima mbogaaaaa..... nawaoneaga raha sana aisee....

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom