Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Nahisi jamaa alikua mhongaji mzuri na alikua baharia.
 
New kapo
Smart na shunie [emoji848][emoji848][emoji848]

Kaa humo
 
Kama kuna kuzaliwa basi na kufa kupo.tuendelee na mjadala mama keshajitangazia mapema kutaka kugombea uraisi 2025
 
Mbona waliachana kitambo baada ya fumanizi mkuu?
Smart alikuwa anamwaga hela kwa Mahonda kama njugu, kumbe bibie anaruka vijoti nje. hukuona mpaka uzi ulianzishwa hapa?
Duuuh....! Humu kumbe kuna mambo?
 
Mtachapiwa sana mnaodokoa humu Jf. Ila kama namuelewa Sakayo tu humu. Sijui yuko wapi huyu. Sijamsikia kitambo
 
Ww utakuwa kipofu. Pole sana. Wengine wote tunajua walishaachana Mwaka jana 2020. Ukianzisha mapenzi kwa kuhonga, mwisho ndio unakuwa hivyo ukiacha kuhonga.

Bado sijapata majibu.
Hizo za wadau ni tetesi tu ndio maana hawajaleta uzi husika
 
Hujasoma bibiye aliweka uzi wake hapa kwamba yeye ni mama wa watoto wawili na ni mke wa mjeda...

Unless kama unataka tumlengeshe mjeda kwamba Dead Man ndio Smart aje akufumue medula oblongata...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…