Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Rejea
Nahisi jamaa alikua mhongaji mzuri na alikua baharia.
 
Mimi si mbea kiasi hicho kama warumi (Mungu amtangulie) ila mimi ni kidogo sana
Mwanzo nilikuwa nimezoea kuona mdau wetu mstaarabu kuwahi kutokea humu ndani aitwaye Smart911 akiwa anamtaja mwana dada/mama(sina uhakika kipengele cha mama) mahondaw kwa kila comment.

Lakini sasa ni mda sioni smart911 akimtaja mahondaw.
Je, nini kimetokea? Maana walisha leta na shuhuda jinsi walivyokuwa wameoatana au ndio kila chenye mwanzo hakikosi mwisho?

Mfumo wa comment pendwa ya ndugu yetu mwana JF mpole, mtiifu na asiye na makuu ni hii.

"Ngoja waje kukupa mwongozo
Cc mahondaw "

Hiyo kama mtoa mada haujapata majibu.
Ika kama umepata majibu atacomment.

"Natumaini umepata mwongozo
Cc mahondaw "


Tumekumbika hivi vitu mbona siku hizi sioni?

Nategemea wote smart911 na mahondaw waje kutupa mwongozo.

Is me Dead Man
New kapo
Smart na shunie [emoji848][emoji848][emoji848]

Kaa humo
 
Kama kuna kuzaliwa basi na kufa kupo.tuendelee na mjadala mama keshajitangazia mapema kutaka kugombea uraisi 2025
 
Mbona waliachana kitambo baada ya fumanizi mkuu?
Smart alikuwa anamwaga hela kwa Mahonda kama njugu, kumbe bibie anaruka vijoti nje. hukuona mpaka uzi ulianzishwa hapa?
Duuuh....! Humu kumbe kuna mambo?
 
Mtachapiwa sana mnaodokoa humu Jf. Ila kama namuelewa Sakayo tu humu. Sijui yuko wapi huyu. Sijamsikia kitambo
 
Ww utakuwa kipofu. Pole sana. Wengine wote tunajua walishaachana Mwaka jana 2020. Ukianzisha mapenzi kwa kuhonga, mwisho ndio unakuwa hivyo ukiacha kuhonga.

Bado sijapata majibu.
Hizo za wadau ni tetesi tu ndio maana hawajaleta uzi husika
 
Bado sijapata majibu.
Hizo za wadau ni tetesi tu ndio maana hawajaleta uzi husika
Huoni 2021 May hata hakumtakia Happy Birthday Mahondaw Wake?

sketch-1631772929681.png
 
Hujasoma bibiye aliweka uzi wake hapa kwamba yeye ni mama wa watoto wawili na ni mke wa mjeda...

Unless kama unataka tumlengeshe mjeda kwamba Dead Man ndio Smart aje akufumue medula oblongata...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom