Kunani, mbona JK kakasirika hivi?

Kunani, mbona JK kakasirika hivi?

Rais mstaafu wa awamu ya nne leo yupo kwenye sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 10 ya chuo cha Taifa cha Ulinzi ambapo mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Tofauti na JK mwenye bashasha, mchana huu JK sura yake sio ya mchezo mchezo mpaka TBC wamekwepesha camera.

View attachment 2350179
Game changer .. Master mind the best player
 
Wakuu

Nawaza kwa sauti!

"Mstaafu aliekwisha kustaafu lakini hataki kustaafu kustaafishwa"

"Kitabu kilichoandikwa Kisha kikaachwa kitamaliziwa kwa staili HII"


Màana

Haoni kimbele juu alivokuwa amepanga hasa urais wa vijana wake!

Vuguvugu la Burundi limemchanganya coz ndio upepo utaanzia magharibi kuja kwetu!

Ujio wa FDR unakuja kwa Kasi na FDR Sio chaguo lake inamuuma coz maslahi yake yanaweza kusiginwa!


Pk kamshinda ujanja katika ujasusi wa kumpachika mtu wao somewhere au kamshinda kijasusi hivyo anataharuki Moyoni!

Au

Hapo kenya mambo hayajawa alivyotaka!

Tusubiri

"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Ikalie vizuri sasa, imeanza kukukaa sawa.
 
Rais mstaafu wa awamu ya nne leo yupo kwenye sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 10 ya chuo cha Taifa cha Ulinzi ambapo mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Tofauti na JK mwenye bashasha, mchana huu JK sura yake sio ya mchezo mchezo mpaka TBC wamekwepesha camera.

View attachment 2350179


Zile nafasi 25% ni mpaka vyombo vya ulinzi na usalama.JK lazima anune baada ya miaka 10 katika kila wajeda 100 basi watakuwemo waZanzibar 25.

Hii nafasi ya Rais wa JMT inatakiwa kupunguziwa madaraka makubwa ambayo kila anayekamata nafasi hiyo asipokuwa mwangalifu anajikuta anafanya vituko vya ajabu ajabu.Kuna yule
 
Wakuu

Nawaza kwa sauti!

"Mstaafu aliekwisha kustaafu lakini hataki kustaafu kustaafishwa"

"Kitabu kilichoandikwa Kisha kikaachwa kitamaliziwa kwa staili HII"


Màana

Haoni kimbele juu alivokuwa amepanga hasa urais wa vijana wake!

Vuguvugu la Burundi limemchanganya coz ndio upepo utaanzia magharibi kuja kwetu!

Ujio wa FDR unakuja kwa Kasi na FDR Sio chaguo lake inamuuma coz maslahi yake yanaweza kusiginwa!


Pk kamshinda ujanja katika ujasusi wa kumpachika mtu wao somewhere au kamshinda kijasusi hivyo anataharuki Moyoni!

Au

Hapo kenya mambo hayajawa alivyotaka!

Tusubiri

"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Para no. 2 ndiyo jibu la swali la mtoa Mada. Unataka Amini usipotaka acha.
 
Wakuu

Nawaza kwa sauti!

"Mstaafu aliekwisha kustaafu lakini hataki kustaafu kustaafishwa"

"Kitabu kilichoandikwa Kisha kikaachwa kitamaliziwa kwa staili HII"


Màana

Haoni kimbele juu alivokuwa amepanga hasa urais wa vijana wake!

Vuguvugu la Burundi limemchanganya coz ndio upepo utaanzia magharibi kuja kwetu!

Ujio wa FDR unakuja kwa Kasi na FDR Sio chaguo lake inamuuma coz maslahi yake yanaweza kusiginwa!


Pk kamshinda ujanja katika ujasusi wa kumpachika mtu wao somewhere au kamshinda kijasusi hivyo anataharuki Moyoni!

Au

Hapo kenya mambo hayajawa alivyotaka!

Tusubiri

"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
ebana eeh
 
Back
Top Bottom