Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani Iko ONLINE tuHivi ipo kwani? Mpira unatuharibu sijui!
Ndiyo mimi nikiwemo. Ni shirika la utangazaji la nchi yetu hivyo television na redio zake kwangu ni muhimu kuzitamaza na kuzisikiliza!Hivi Kuna Watu wanaangalia TBC??
Unataka kusema nini Tena Mkuu?Luteni mask off today
HakikaNdiyo mimi nikiwemo. Ni shirika la utangazaji la nchi yetu hivyo television na redio zake kwangu ni muhimu kuzitamaza na kuzisikiliza!
Spinning at large!!anawaza jinsi vile uhuru kenyatta na ruto walivyomchezea akili....za chini ya kapeti zinadai deep state ya tz ilikuwa inamtaka odinga.
Nna miaka sijaiona TBC, najua ipo ila log,kitambo sijaitia machoni.Nadhani Iko ONLINE tu
Nakucheki pm bossNgoja nikupe namba ya Miraji akusaidie kuuliza...
Ha ha ha AAA! Utaijua umuhimu wake muda ukifika. Subiri Mkuu.Wahenga na wasiojitambua.
Pm yako umefunga mkuu. Naomba unicheki kama hutajaliNgoja nikupe namba ya Miraji akusaidie kuuliza...
Yes dark days, ahead. Ww si bingwa W ramli, piga basiDark days...!
Deep state inamtaka ikiwa kama nani?anawaza jinsi vile uhuru kenyatta na ruto walivyomchezea akili....za chini ya kapeti zinadai deep state ya tz ilikuwa inamtaka odinga.
Uzushi tu huu, Ccm inajali maslahi yake tu hayo mengine hayawasumbui.Tetesi: huko juu, Uzanzibari unaleta shida!
Pm yako umefunga mkuu. Naomba unicheki kama hutajali
Hakufurahishwa Bei za mafuta kupungua nn, hasara Kwa kampuni zao?Labda deal haziendi sawa.
Mbongo mpe herufi moja tu habari yenye pgs 800 atamalizia mwenyeweanawaza jinsi vile uhuru kenyatta na ruto walivyomchezea akili....za chini ya kapeti zinadai deep state ya tz ilikuwa inamtaka odinga.
Tulisha Poa. nyie wa bibisii na sienieni hongereni.Poleni sana