Kunani, mbona JK kakasirika hivi?

Game changer .. Master mind the best player
 
Ikalie vizuri sasa, imeanza kukukaa sawa.
 


Zile nafasi 25% ni mpaka vyombo vya ulinzi na usalama.JK lazima anune baada ya miaka 10 katika kila wajeda 100 basi watakuwemo waZanzibar 25.

Hii nafasi ya Rais wa JMT inatakiwa kupunguziwa madaraka makubwa ambayo kila anayekamata nafasi hiyo asipokuwa mwangalifu anajikuta anafanya vituko vya ajabu ajabu.Kuna yule
 
Para no. 2 ndiyo jibu la swali la mtoa Mada. Unataka Amini usipotaka acha.
 
ebana eeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…