Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

Itakua walimu hao..nasikia wanazurura zurura karibu na nmb atm wakisubiri sms ya nmb mobile.

#MaendeleoHayanaChama
Ndio hao nilisoma hapa walisikia wakilia lia kwenye usahili wa sensa baada ya DC kusema watumishi wasiache majukumu yao ya msingi na kwenda kwenye usahili? Wengine "mkuu tusaidie tuwe wa kwanza kwenye usahili kwasababu wengine tunaenda kusimamia mitihani ya mock"
 
Wat
Watumishi wa umma wa Tanzania. Ni mundi la watu wasiojielewa. Waoga na wenye akili ndogo sana.
Watu hawa wametengenezwa kujiona wao ndiyo serikali.
Kuwataja walimu peke yao ni kuwaonea
Magufuli hajaongeza mishahara na stahiki kwa miaka 5 kuna kundi au kada yeyote ilihoji??
Mbona ndiyo kwanza waliandamana kuunga mkono kikokotooo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…