Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa matusi kama ya Mbowe?Acha waende . Tutawanyoosha.
Wasituambie wahame tuuuiZipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
Hahah bado hujaacha tu ?Zipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
Kuhama mbona kawaida tu sikuiziZipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
Watu wote waliokuwa wanamuunga mkono Mbowe ni watu wa fursa tu sio wapigania chama,Zipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
Sasa uongozi hauna hata mwezi na umeshapoteza mwelekeo🤣🤣Zipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
Hahaha mangi unahangaika sana.Zipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
Tena tutapata hoja mbele ya ccm kwasababu wala rushwa ma machawa wpte hawatakuwepoWahame tuu, chama lazima libaki kisafiii
Na huko CCM wanaemfwata akitoka madarakani wata hama tena!?Zipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
CCM ambako mwenyekiti anapatikana kitapeli kinyume na katiba? Ambako rushwa ni kama majiZipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo