Zakayomfupi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2024
- 281
- 320
Aliyewahi kuwa CCM ni LissuUngesema wanarudi CCM walikotoka mwanzo sio wanahama. Weka sawa hapo bwashee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyewahi kuwa CCM ni LissuUngesema wanarudi CCM walikotoka mwanzo sio wanahama. Weka sawa hapo bwashee
Team lissu mtaweza kuendesha chadema? Naona hivi sasa legelege kuliko.hata wakati wa mboweWakwende huko, hata wale virusi 19 nao njia nyeupe kuhamia huko. CHADEMA ina watu wengi makini na wengi watakiunga mkono katika siasa zao. Hao wanaohamia ccm ni team mbowe iliyoshindwa. wacha wakaanze maisha mapya ya kisiasa huko
Wahamie haraka sana, na wakikosa kadi huko ccm waende hata chama cha CCP cha China.Zipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
Haya matamanio yako yanaheshimiwa.Team lissu mtaweza kuendesha chadema? Naona hivi sasa legelege kuliko.hata wakati wa mbowe
Inashangaza sana kwakweli yani hata kazi hajaanza rasmi unasema chama kimekosa mwelekeoVichekesho vya kipumbavu, uongozi wa Lissu hauna hata mwezi, ni mwelekeo gani huo wanazungumzia? Wakihama watakuwa wamemsaidia sana Lissu na chama chake cha CHADEMA.
Mbowe hawezi hamia CCM, acha uzushi.Zipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
Chama kipo kwenye kipindi kipya wewe. Ni mapema mno kuanza kuandika upupuTeam lissu mtaweza kuendesha chadema? Naona hivi sasa legelege kuliko.hata wakati wa mbowe
Mbowe na magenge yake walishajifukuzisha CDM, hawana madhara yoyote tena.Zipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
Nadhani ndio wale waliotumwa na CCM kwa muda mrefu kuimaliza CHADEMA,Thanks to GOD siasa za kijingajinga LISSU kazimaliza sasa ni siasa za kweli na sio usanii tena kama ule uliokuwa unafanywa na Mbowe.Ngoja tutawaona hiyo tarehe Tano na lzm wawe CHADEMA wa kuchongwa.Zipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
Hili bila shaka itakuwa kundi la Malaria,Mwashambwa,Choicevariable,akin Comte na rafiki zao,ushauri wa bure bakini chama bora zaidi.Zipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
Kundi kubwa la wana CCM wahaha vile watapigishwa kwata na Chadema chini ya Lissu!!Zipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo