Tetesi: Kundi kubwa la WanaCHADEMA wanaompinga Lissu, kuhamia CCM

Tetesi: Kundi kubwa la WanaCHADEMA wanaompinga Lissu, kuhamia CCM

Hao ni kina Lusungo Retired Stuxnet FUSO Quinine Fundi Mchundo hao walikuwa wafuasi wa Mbowe sio Chadema.
Sijawahi kuwa mfuasi wa Chadema au Mbowe. Sipendi dhulma ndio maana niliwapinga wote ambao walitaka kumnyima Mbowe haki yake ya kugombea. Hao hao ndio leo wanatamba kuwa Chadema imetufundisha maana ya demokrasia. Sitaki kuwa vuvuzela wa mtu yeyote. Ndivyo nilivyo siku zote. Nyie mnaosema kuwa sisi ni wafuasi wa Mbowe mnasema hivyo kwa sababu tumekataa kuwa chawa wa Lissu. Btw, kuweni consistent. Mara sisi ni CCM, mara Chadema ya Mbowe. Kwa kweli mna boa.

Amandla...
 
Vichekesho vya kipumbavu, uongozi wa Lissu hauna hata mwezi, ni mwelekeo gani huo wanazungumzia? Wakihama watakuwa wamemsaidia sana Lissu na chama chake cha CHADEMA.
 
Vichekesho vya kipumbavu, uongozi wa Lissu hauna hata mwezi, ni mwelekeo gani huo wanazungumzia? Wakihama watakuwa wamemsaidia sana Lissu na chama chake cha CHADEMA.
Hatari ya CHADEMA ilikuwa kwa Mbowe kushinda na Lissu kuhama CHADEMA ila hii ya hawa chawa kuhama wala haina madhara yoyote kwa CHADEMA,

Alihama Kaburu Katibu Mkuu,
Alihama Slaa Katibu Mkuu
Alihama Mashinji katibu mkuu
Alihama Arfi Makamu Mwenyekiti,

Hawa wengine ni taka taka tu waende hata leo
 
Hatari ya CHADEMA ilikuwa kwa Mbowe kushinda na Lissu kuhama CHADEMA ila hii ya hawa chawa kuhama wala haina madhara yoyote kwa CHADEMA,

Alihama Kaburu Katibu Mkuu,
Alihama Slaa Katibu Mkuu
Alihama Mashinji katibu mkuu
Alihama Arfi Makamu Mwenyekiti,

Hawa wengine ni taka taka tu waende hata leo
Chadomo chama kilishajifia na Lissu kakizika kabisa. Chama kikuu cha upinzani sasa hivi ni ACT. Chadomo ni chama kikuu cha upinzani JF na X.
 
Sasa uongozi hauna hata mwezi na umeshapoteza mwelekeo🤣🤣
Manina😂😂

Mlikitumia chama kwa faida zenu Leo lazima mnyooke tu,

Sisi tunarudisha,

Dkt Slaa,
Prof Safari,
Mch, Msigwa
Dkt Marcus
Saed Kubenea
Renatus Pamba,
Hawana mvuto tena hao
 
Zipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
Sema ni vile kufungua thread ni bure. Ingekua tunalipia hakika usingepost mkuu
 
Zipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
Ungesema wanarudi CCM walikotoka mwanzo sio wanahama. Weka sawa hapo bwashee
 
Kwani lazima wahame? Na kama kuna ulazima wa kuhama kwanini wahamie CCM ambacho kimeshajaa na wasiende vyama vingine kuvipa bguvu?
 
Wakwende huko, hata wale virusi 19 nao njia nyeupe kuhamia huko. CHADEMA ina watu wengi makini na wengi watakiunga mkono katika siasa zao. Hao wanaohamia ccm ni team mbowe iliyoshindwa. wacha wakaanze maisha mapya ya kisiasa huko
 
Tatizo la wanasiasa wanadhani kuwa wao wana nguvu dhidi yetu.
Wengi walio CCM wapo kwa maslahi yao binafsi, ila moyono hawapo
 
Zipo taarifa 5/2/2025 kundi kubwa la wanachadema watahamia ccm kupinga uongozi wa lissu ambao wamesema umekosa mwelekeo
Hao watakuwa mamluki wa ccm waliokuwa wamejichimbia CDM wakati wa FAM.

Wasisahau kuondoka na boss wao kabisa.

Halafu, TAL shikilia hapo hapo.,
Ili mwezi wa kumi tutakapochukua nchi, wahamie burundi kabisa
 
Back
Top Bottom