Uchaguzi 2020 Kundi la WhatsApp lachukua sura mpya baada ya Tundu Lissu kutangazwa Mgombea Urais CHADEMA

Naona wengi kwenye huu uzi badala ya kujadili content za mleta mada, wanaishia kujadili idadi ya members wa group la whatsap, haya ndio mawazo halisi ya mtz wa leo.
Kila mtu ana uhuru wa kuchangia hoja anayoiona na mimi nimevutiwa hapo maana nilijua kuna namna ya kufanya ili kundi libebe watu wengi zaidi
 
Hongereni mtapiga kura kwa whatapp na telegram ,wakati ccm tunafanya kweli nyinyi fanyeni ya mitandaoni.kidumu chama cha mapinduzi ....
 
Sitosahau zile zama za kukusanya limbikizo za kodi
Mzee alitegemea 30M kwny mradi flani na faida ya km 10m ila hio kodi ilifyeeekelea kama Mil 26!..akabaki na 4M..sina hamu na Kaisari..tulichoka kbs
Ila Mshua Master No.1 pale baharini kajua kunyoosha watu jmn daahh..watu wamepigwa pasii tumenyoookaa🙌🏽
 
Acha uongo hakuna mstaafu asiyelipwa mafao yake zaidi ya miezi sita baada ya kustaafu. Tatizo lenu mnaleta uongo wa kitoto sana.
Ningeweza ningekuwekea ushahidi wa mzee aliyestaafu 2017 na mpaka jana alikuwa hajapata mafao yake.
Msipende kutetea uovu kwa kuwa tu nawe ni mnufaika wa uovu huo.
Umenikasirisha sana sana kupinga jambo ambalo lipo na linaumiza Watanzania wazee waliolitumikia taifa kwa uzalendo mkubwa.
 
Ubarikiwe kwa maono haya
 
Reactions: BAK
Uongo kawadanyanye watoto wako wewe bibi
Watu wengi sana wamedhulumiwa haki zao chini ya serikali ya Magufuli. Licha ya hao wastaafu kutolipwa mafao yao, kuna wananchi wengi ambao hawajalipwa haki zao baada ya kushinda kesi mahakamani dhidi ya vitendo vya dhuluma vya Halmashauri!! Mahakama hutoa hukumu kuwa wananchi walipwe fidia lakini halmashauri nyingi hazitekelezi amri za mahakama!! Dhuluma hizi zitamuweka pabaya Magu kwenye uchaguzi huu mkuu!!
 
Reactions: BAK
Binafsi sioni sababu ya kuichagua ccm hata kama Chadema wangemsimamisha Nyalandu ama Dk.
Tatizo la nchi hii wanaojitambua ni wachache sana!wajinga ni wengi mno na ndio mtaji wa chama chakavu!! Ukimuona mtu anayejitambua anakishabikia jua kuna lake jambo, anafaidika nacho kwa njia moja, au anajibembeleza aonwe kwa jicho la hurumu!!! Lakini kwa maisha haya tunayoishi watu wanaojitambua wangekuwa wengi mbona mapema tu...
 
Serikali ya ccm choka mbaya
 
Mkuu conservative 3,tuseme ukweli hasa kwenye elimu,kutoka sekondari kwenda msingi sio sawa,Ila kwa kuwa wanataka ajira hakuna namna,
Aliesomea kumfundisha msingi ni tofauti na aliesomea kumfundisha sekondari,Ila wanasiasa wanayarahisisha tu,na ndo maana Hilo zoezi haliwezi endelea,kwa kuwa wanajua wamekosea,na Kuna siku watarudishwa tu.
Ilibidi wadau wailalamikie hii,lakini Cha ajaabu ndo kwanza walikua wanafurahia.
 
Mimi mwenyewe nimeshangaa member 300
Kazi kweli kweli yaani hamjaona na hamtaki kujadili hoja za msingi kama wastaafu kutopata stahiki zao kwa wakati,utumbuaji wenye mwelekeo wa uonevu ,kesi nyingi za kusingizia uhujumu uchumi,utakatishaji pesa nk mnajadili vioja vya idadi ya members..??!!
 
Chochote mkuu kinaweza kua si sahihi ila pia uwezo wa msomi kuwa flexible
Tumeona duniani watu wana phd wanafundisha msingi, au pia
Hapa hapa tanzania shule za msingi za binafsi hatujaona watu wana elimu zaidi ya cheti au diploma bado anafundisha shule za msingi?

Nilikutana na mwalimu mmoja zamani alikua anafundisha darasa la tano but now anafundisha chekechea baada ya kuhitimu shahada yake ya kwanza ya ualimu.....

Watu wengi wanamuona chizi ila yeye akasema anataka kumjenga mtoto atoe product nzuri as long as analipwa mishahara yake km graduate kwake kwenda chekechea ni fursa hadhimu.hataki pia kwenda halmashauri kuwa mtawala anasema ni stress kwenda sekondari anaona pia ni "kusmbuana na vijana" sasa sijui vijana walimu au wanafunzi ila kafundisha msingi pia kafundisha sekondari na pia kawa mkufunzi kwenye vituo vya walimu kujiendeleza.
And the community is proud of her

 
Wanawake wenye akili nzuri kama hizo huwanaua wapi siku zote mnawaachia wale Dada zangu wawili tu siku zote? Asante kwa Uzi mzuri sana, nitalala vyema
 
Ameeen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…