Kunena kwa lugha ni nini? Na nini hutokea pale mtu anaponena kwa lugha?

Kunena kwa lugha ni nini? Na nini hutokea pale mtu anaponena kwa lugha?

Kunena kwa Lugha au Glossolalia let me talk on 3 persepectives...

Kisayansi/Afya..

Kunena kwa lugha au Glossolalia kisayansi inakuwa associated na Magonjwa ya Afya ya Akili kama Schizophrenia ,Bipolar na mania...

Kwa sababu Mtu yoyote anayejiona kama anaongea na mtu Mwingine ambaye hamuoni na anaona kama anamuona huku akimwambia vitu visivyoeleweka yeye akiamini Vinaeleweka hiyo 2⁰ Mania au bipolar na huenda ikawa schizophrenia kabisa kwa Visual na mind halucination..

Na haipingiki ukija kwangu unanena kwa lugha nakuchoma Haloperidol za kutosha ili urudi sawa...

Kibiblia na kidini
Haipingiki kwamba Kunena kwa lugha ni karama ya roho ila yenye utaratibu wake katika kuifanya Uataratibu huo umewekwa kwenye 1 wakorintho 14..

Paulo anasema kuwa ziko sauti Nyingi duniani na zote zina maana... 1 Wakorintho 14:10
View attachment 2777419

Na utaratibu aliuweka mzuri kwamba ukitaka kunena kwa lugha basi Wanene wachache na wengine watafasiri kinenwacho.. 1 Wakorintho 14:27-28
View attachment 2777423

Wanachokifanya walokole Ndo kitu Paulo Amekiita kama Wazimu kwenye 1Wakorintho 14 :23-25
na anasisitiza Bora kutoa Hotuba ila sio Kuzungumza lugha isiyoeleweka...
Ieleweke kwamba neno Lililotumika hapo kama wajinga ni
View attachment 2777428

Sasa najua unaweza ukaja ukasema neno kuhusu Wajinga wanapoingia...
Sasa hii ni tafsiri kwa lugha ya Kingereza...

View attachment 2777444

Na pia unaweza ukaona katika Lugha ya Kigreek fungu hilo ni...

"Εἰ οὖν συνέλθῃ ἡ ἐκκλησία ὅλη ἐπὶ τὸ αὐτὸ καὶ πάντες γλώσσαις λαλήσουσιν, εἰσέλθωσιν δὲ ἰδιῶται ἢ ἄπιστοι, οὐκ ἐροῦσιν ὅτι μαίνεσθε; εἰ δὲ πάντες προφητεύουσιν, εἰσέλθῃ δέ τις ἄπιστος ἢ ἰδιώτης, ἐλέγχεται ὑπὸ πάντων, ἀνακρίνεται ὑπὸ πάντων, τὰ κρυπτὰ τῆς καρδίας αὐτοῦ φανερά γίνεται, καὶ οὕτως πεσὼν ἐπὶ τὸ πρόσωπον αὐτοῦ προσκυνήσει τὸν Θεὸν, ἐξαγγέλλων ὅτι ὄντως ὁ Θεὸς ἐν ὑμῖν ἐστιν"

sasa neno " ἰδιώτης" ambalo Kiswahili wametafsiri kama Mjinga lina maana ya Mtu asiyejua,layman ama Mtu kutoka Sehemu nyingine au outsid...

My take kuhusu Kunena kwa lugha kwenye biblia naconclude kama Paulo alivyoconclude tu kwenye hilo 1 Wakorintho 14:36

View attachment 2777448

Na PERSPECTIVE YA MWISHO NI WALE WAFATA MKUMBO..
Umeeleza vyema sana, 100%
Wafuata mkumbo,Wajinga na matapeli watabisha.
 
1 Cor 14:2-4

Si kila mtu anapewa hiyo nafasi.


Hata Mimi nilikuwa nawaza kama Ninyi kabla sijapewa hiyo nafasi.
So, unaelewa unachokinena?
Waliopo pembeni wanaelewa nini unaongea?
Au unaongea na Mungu, sisi hayatuhusu?
 
Sisi Wakatoliki hatunaga hizo swaga. Hivyo nitakuwa muongo kuwasemea hao wanenaji. Labda waje wanenaji wenyewe watusimulie hali wanayojisikia.
Kuna vitu ni vigumu kuelewa Kwa akili ya kibonadamu Kwa sababu ni mambo ya ulimwengu wa Roho, cha kushangaza mchawi akitamka maneno yake ya ajabu ajabu utamwamini au mganga ,hizo ndio password za kuingia ulimwengu wa kiroho Kuna lugha zake
 
So, unaelewa unachokinena?
Waliopo pembeni wanaelewa nini unaongea?
Au unaongea na Mungu, sisi hayatuhusu?
Naelewa ndiyo.

Naongea na Mungu ndiyo,
Walio pembeni hawanihusu maana nanena na Mungu nikiwa pekeyangu.
Kwa hiyo situmii kama showoff kuwaonyesha wengine, bali nanena na Mungu wangu , nikiwa pekeyangu, Kwa msaada wa Roho Mtakatifu na ndiye anayenipa kutafasiri.

Kuna wakati nakosa namna nzuri ya kujieleza mbele za Mungu,, hapo ndipo Roho Mtakatifu hunisaidia kuomba sawa na Rom 8:27
 
Naelewa ndiyo.

Naongea na Mungu ndiyo,
Walio pembeni hawanihusu maana nanena na Mungu nikiwa pekeyangu.
Kwa hiyo situmii kama showoff kuwaonyesha wengine, bali nanena na Mungu wangu , nikiwa pekeyangu, Kwa msaada wa Roho Mtakatifu na ndiye anayenipa kutafasiri.

Kuna wakati nakosa namna nzuri ya kujieleza mbele za Mungu,, hapo ndipo Roho Mtakatifu hunisaidia kuomba sawa na Rom 8:27
Kuna sehemu yoyote katika biblia unaweza kunipa reference ya unenaji huo wa lugha?
 
Ma lay man wasio uelewa Ulimwengu wa Roho unavyo tenda kazi wanakejeli kitu
ambacho kipo mbali na ufahamu wao,
narudia wote mnaokejeli kunena kwa lugha hawajawahi kuingia Spiritual realm
wengi wenu humu hua mnasikia tu habari za Mungu kwa nadharia na mapokeo
nakuambieni siku mkizama spiritual and taste God power mtarudi humu kuomba msamaha kwa ujinga mnaoufanya,

halafu kingine ile kitu inakuja baada ya kufurika roho mtakatifu na mnajua Holy Spirit
hakejeliwi hata robo mnacho kitafuta mtakipata
mimi mwanzo nilikua na misimamo ya kiatheist humu JF
niulizeni kilichonikuta mpaka nikageuka
hivi mnajua Pendo la Mungu kwenye maisha yenu nyie Wanadamu?
hivi mnajua kusudi la Yesu Kristo kwenye Maisha yenu?

anyway sina mengi ya kueleza maana hii ni mada nyingine ila nawasihi stop joking na kukejeri
Holy Spirit!

muwe na siku njema!
 
Unenaji wa lugha wa siku hizi umejawa na mamluki wa kutosha ishakua ndo trend ya makanisa ya kilokole kias kwmb unafundishwa jinsi ya kunena km hujui(hili nina ushahidi nalo kabsa),msanii mwngne ni yule Lilian Mwasha yaani yeye anaweza kuwa anamuhoji mtu kwny kipind wakacheka fresh dk mbili mbele ashaanza kunena na vilio juu
 
Ma lay man wasio uelewa Ulimwengu wa Roho unavyo tenda kazi wanakejeli kitu
ambacho kipo mbali na ufahamu wao,
narudia wote mnaokejeli kunena kwa lugha hawajawahi kuingia Spiritual realm
wengi wenu humu hua mnasikia tu habari za Mungu kwa nadharia na mapokeo
nakuambieni siku mkizama spiritual and taste God power mtarudi humu kuomba msamaha kwa ujinga mnaoufanya,

halafu kingine ile kitu inakuja baada ya kufurika roho mtakatifu na mnajua Holy Spirit
hakejeliwi hata robo mnacho kitafuta mtakipata
mimi mwanzo nilikua na misimamo ya kiatheist humu JF
niulizeni kilichonikuta mpaka nikageuka
hivi mnajua Pendo la Mungu kwenye maisha yenu nyie Wanadamu?
hivi mnajua kusudi la Yesu Kristo kwenye Maisha yenu?

anyway sina mengi ya kueleza maana hii ni mada nyingine ila nawasihi stop joking na kukejeri
Holy Spirit!

muwe na siku njema!
Acha kuwapiga watu mikwara,we toa ushuhuda wako sio mpk tukuulize,,maatheist wako weng tu dunian,kwa imani yako wachina na wahindi wote ni maatheist mana hawaamini Mungu unaemuamini ww na bado wanaendelea fresh na maisha yao,vip mungu anapenda wao waendelee na kutokumuamini?!

Wewe atheist mchimba chumvi umetingwa na maisha unateseka kila siku ukadhan ni mapigo Mungu kakupa kwa ww kuwa atheist wakat kuhangaika ni asili yako
 
Acha kuwapiga watu mikwara,we toa ushuhuda wako sio mpk tukuulize,,maatheist wako weng tu dunian,kwa imani yako wachina na wahindi wote ni maatheist mana hawaamini Mungu unaemuamini ww na bado wanaendelea fresh na maisha yao,vip mungu anapenda wao waendelee na kutokumuamini?!

Wewe atheist mchimba chumvi umetingwa na maisha unateseka kila siku ukadhan ni mapigo Mungu kakupa kwa ww kuwa atheist wakat kuhangaika ni asili yako
ndugu hivi mbona una utumwa wa fikra wapi nimeeleza hayo mapigo ni mabaya?
halafu naona unabisha mpaka ukweli nao ujua mimi
Mungu kamwe hawezi mpiga mtu kwa mabaya mimi alinionesha jambo la upendo kiasi kwamba nilijuta kwanini nilikua nampinga mwanzo

kiufupi mkwara wangu sio wa mabaya naomba hicho tambua mkuu
kingine natoa experience kwamba kitu ambacho hukijui siku ukijua uhalisia utabadilisha mtazamo kukihusu, hiyo ya kusema kitu ambacho sijaulizwa ni kweli mkuu ila wengi humu wanaonijua humu wameona nimepiga Uturn ghafla hasa kwa wale waliokua wasomaji wa mada na maoni yangu maana wasije wakaona mambo ni tofauti wakiona mada zangu za zamani wakawa complicated!

sorry kama nimekuudhi kwa namna moja au nyingine ila
acha kejeli hahaaaha eti atheist mchimba chumvi
nimecheka JF kuna watu aisee!
 
ndugu hivi mbona una utumwa wa fikra wapi nimeeleza hayo mapigo ni mabaya?
halafu naona unabisha mpaka ukweli nao ujua mimi
Mungu kamwe hawezi mpiga mtu kwa mabaya mimi alinionesha jambo la upendo kiasi kwamba nilijuta kwanini nilikua nampinga mwanzo

kiufupi mkwara wangu sio wa mabaya naomba hicho tambua mkuu
kingine natoa experience kwamba kitu ambacho hukijui siku ukijua uhalisia utabadilisha mtazamo kukihusu,

sorry kama nimekuudhi kwa namna moja au nyingine ila
acha kejeli hahaaaha eti atheist mchimba chumvi
nimecheka JF kuna watu aisee!
You're missin my whole point here mkuu,unaweza usiwe great thinker ila atleast fanya reasoning wakat unatafsiri mambo yanayokutokea kwny maisha yako,Km hilo jambo la upendo Mungu kalitumia kukuonesha ukuu wake vip ww unastahir sana kuliko mabilion ya watu wasiomuamini
 
You're missin my whole point here mkuu,unaweza usiwe great thinker ila atleast fanya reasoning wakat unatafsiri mambo yanayokutokea kwny maisha yako,Km hilo jambo la upendo Mungu kalitumia kukuonesha ukuu wake vip ww unastahir sana kuliko mabilion ya watu wasiomuamini
sorry nimeshindwa kutumia reasoning hapo kuweka mambo sawa nakiri kutobalance
next time nitafanya better maana hapa nipo high high soon na log out so naandika kama nakimbizwa ,maana muda hautoshi na mambo ni mengi!
 
Kuna sehemu yoyote katika biblia unaweza kunipa reference ya unenaji huo wa lugha?
Mbona nimetoa vifungu pale juu
Na vifungu vingine vingi,
Ukitaka darasa zaidi mimi siyo mwalimu ila naweza kukusaidia kukuunganisha na mwalimu akufundishe .
 
Ma lay man wasio uelewa Ulimwengu wa Roho unavyo tenda kazi wanakejeli kitu
ambacho kipo mbali na ufahamu wao,
narudia wote mnaokejeli kunena kwa lugha hawajawahi kuingia Spiritual realm
wengi wenu humu hua mnasikia tu habari za Mungu kwa nadharia na mapokeo
nakuambieni siku mkizama spiritual and taste God power mtarudi humu kuomba msamaha kwa ujinga mnaoufanya,

halafu kingine ile kitu inakuja baada ya kufurika roho mtakatifu na mnajua Holy Spirit
hakejeliwi hata robo mnacho kitafuta mtakipata
mimi mwanzo nilikua na misimamo ya kiatheist humu JF
niulizeni kilichonikuta mpaka nikageuka
hivi mnajua Pendo la Mungu kwenye maisha yenu nyie Wanadamu?
hivi mnajua kusudi la Yesu Kristo kwenye Maisha yenu?

anyway sina mengi ya kueleza maana hii ni mada nyingine ila nawasihi stop joking na kukejeri
Holy Spirit!

muwe na siku njema!
Heeeh! Hongera sana

Tena ukipitia u atheist halafu ukaijua Kweli yaaani unaifaidi mnooooooo. Life is good sana. Nnajua umerudi lakini haujafungwa na dhehebu wala dini yoyote, na hicho ni kitu murua sana. Endelea kumjua Mungu ukiwa na open mind utaendelea kufaidi sana zaidi. Karibu sana.

That is very good to hear Mr. Dumas the terrible
 
Wakuu,

Hapa duniani Kuna Imani nyingi, Kuna watu ambao hawaamini Mungu (atheists), Kuna waislam,Kuna wabudha. Kuna wakatoliki,wasabato na Kuna hawa wahusika wenyewe (walokole na wengineo).

Ninapenda kujua mitazamo yenu juu ya Hawa watu kunena kwa lugha.

Je ni Mungu au sio?

A) Wanaosema ni Mungu (walokole nk.)
Mechanism ikoje? Ukiwa unanena unajisikiaje? Je unajielewa unachosema?Nani anacontrol mdomo wako?Unapanga cha kuomba? Kuna faida gani?

B) Wanaosema si Mungu
Mechanism ikoje? Ni kweli wananena au usanii tu? Je nini hufanyika pale? Kwanini walokole wengi waumini wa kawaida tu nao wanene? Kuna siri gani nyuma ya kunena kwa lugha? Je wanajitambua au wanatawaliwa na nguvu nje ya akili Yao? Ni nguvu gani hiyo? Nini huendelea kwenye ubongo wa mtu pale anaponena kwa lugha?(mental state)

Uhakika Bro Mshana Jr Tate Mkuu adriz Che mittoga Walker Water Smotor Surya FaizaFoxy KENZY Mcqueenen Kiranga mwakabonao CAPO DELGADO Blood of Jesus
Kwanza kabisa nakupongeza kwa kutambua tarehe na kuleta mjadala huu siku ya matayarisho kwa ajili maadhimisho ya siku ya afya ya akili.
(World Mental Health Day)

Kuhusiana na kunena kwa lugha, je swali linakuja "je hii ni lugha gani?"

Kwa kawaida lugha ili iwe lugha, ni lazima iwe na mantiki!!
Bila mantiki hatuwezi kupata lugha!

Waamini wengi hudai kwamba ni lugha ya kiroho (ingawaje hata hiyo roho haipo)

Fikiria kama kuna muamini A mwenye roho yake na muamini B mwenye roho yake,
Tukiwaweka hawa waumini wawili (A & B) wenye roho zao na tukawaambia ongeeni kwa lugha zenu za kiroho (kwasababu wote wana roho kwa mujibu wao)
Je wataelewana!??

Swali jingine ni kwanini huwa wanaomba kwa lugha zao za kawaida kwanza, kama ni kiswahili utaskia anaomba kabisa kwa kiswahili na yenye kueleweka halafu baada ya muda utaskia anaanza kutopangilia irabu na consonant,

Kwanini lugha hiyo isemwayo ya kiroho inaathiriwa na mfumo wa lugha yake ile ile (kama ni kiswahili atatumia alphabet 🔤 za kawaida na hutaskia Q wala X) japokuwa ni kwamba atakuwa hajazipangilia tu?


Kuna mstari umeuliza kwamba "ni kweli wananena ama ni usanii tu"

Ni kweli huwa wananena kwasababu tunawasikia wote tena wanaongea kwa sauti kubwa, lakini pia ni usanii kama usanii mwingine

Katika usanii wa imani ya kilokole, kunena silabi pasipo mantiki ni mtindo wa imani husika,

Ni wao tu wanaamua na kupangilia irabu na konsonanti ki hovyo hovyo (kwanamna wanavyotaka wao!!)

Hakuna roho hapo.

Iwapo waamini Mungu wote wanamadai kwamba wana roho,

Lakini je kwanini waamini wa dini nyingine tofauti na walokole hawafanyi hivyo!?

Kwahyo hapo unakuta kwamba huo ni muundo na ni mtindo tu katika imani yao.

Katika ubongo wao, ni kweli wanatawaliwa na hisia tu na kuanza kubwabwaja silabi ambazo hazijengi maneno, kwasababu ya kutimiza mtindo wao wa kuamini.

Na ukweli ni kwamba Mungu wa walokole ambae ana sifa ya uwezo wote ujuzi wote na upendo wote hawezekani kuwepo,
Unapomuomba Mungu mwenye sifa hizo unakuwa umeshakubali kwamba hayupo!!

Imani za kidini ni vitu vyenye kuteka saikolojia ya mtu
 
Back
Top Bottom