Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Siamini katika kunena kwa lugha, maana huwezi kuzungumza kitu ambacho huwezi kutafsiri, mitume wakati wanaenda kusambaza injili walipewa karama ya kuzungumza lugha ya wakazi wa eneo husika na sio lugha ambayo kwa sasa si wewe wala mkazi wa eneo husika anaejua
Hivi ni lugha gani ambayo ina maneno yasozidi hata 10 as a matter of fact, nahisi matano tu mengi ni mwendo wa RABASHABAKA. . .
Ikiwa yapo maneno mengine mtanifuta nipo paaale mniite jina lolote maadam limpendezalo Mungu
Nashukuru imani yangu haina hayo masuala, wala kuabudu masanamu, wala kuambiwa baadae ntapewa 70 ilhali huyu mmoja ananitosha, wala kusujudia miungu watu kwa gia ya maji na mafuta
Mi ni Dua kwa Mungu mmoja kupitia kwa mkombozi wetu Masihi, kushika siku saba ya Juma, kusambaza upendo na kupiga vita chuki na kuyashika yote niliyoamriwa.
Hivi ni lugha gani ambayo ina maneno yasozidi hata 10 as a matter of fact, nahisi matano tu mengi ni mwendo wa RABASHABAKA. . .
Ikiwa yapo maneno mengine mtanifuta nipo paaale mniite jina lolote maadam limpendezalo Mungu
Nashukuru imani yangu haina hayo masuala, wala kuabudu masanamu, wala kuambiwa baadae ntapewa 70 ilhali huyu mmoja ananitosha, wala kusujudia miungu watu kwa gia ya maji na mafuta
Mi ni Dua kwa Mungu mmoja kupitia kwa mkombozi wetu Masihi, kushika siku saba ya Juma, kusambaza upendo na kupiga vita chuki na kuyashika yote niliyoamriwa.