Mungu akubariki mkuuKweli ila fimbo ya mbali haiui nyoka, kilichokuwa karibu ndio mekitoa watu wapo wengi humu watakaompa fursa na mengine
A life full of misery and pockets of happiness kwa kweli. Isingekuwa uwepo wa mbususu ata mie ningekuwa nilishajitanguliza six feet underSema naona mwanadamu angekuwa na ile anaweza kujireset au kurudi kule tulipotoka ni wengi sana tungefanya hivyo. Watu wengi hii dunia hawaifurahii kabisa huzuni ni kubwa kuliko furaha.
mbususu ndizo zinapeleka watu makaburiniA life full of misery and pockets of happiness kwa kweli. Isingekuwa uwepo wa mbususu ata mie ningekuwa nilishajitanguliza six feet under
Ila uzuri wake tamuuuu mnoooombususu ndizo zinapeleka watu makaburini
kweli ase we utakuwa unambato sana unao wangapiIla uzuri wake tamuuuu mnoooo
Pole mkuu. Ila maisha ni haya haya hakuna kukata tamaa. Kuna watu wanataabika zaidi yako still bado wanafurahaHali ya maisha ni ngumu sana
Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi
Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani
Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana
Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu
Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha
Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.
Anyway acha niishie hapa.
Hamna mzee kawaida tuu unakuwa nao watatu inatoshakweli ase we utakuwa unambato sana unao wangapi
Mkuu @Sensei Tai
everyone ia fighting their battle na whatever faces you,
just trust God ,
Mbona zpo nying tu wew kama uko tayar sema tukupe tu majinaHali ya maisha ni ngumu sana
Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi
Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani
Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana
Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu
Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha
Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.
Anyway acha niishie hapa.