Heaven kama heaven
JF-Expert Member
- Nov 27, 2021
- 453
- 788
Wafanye hivyo wote maana ukifanya pekeyako haisaidii wale kunguni wanatapakaa.Hili tatizo kubwa,hata kile Chuo kikubwa dar nenda hostel za mabibo shida ya kunguni ni kubwa.Inasikitisha sana miaka ya nyuma Vyuoni kulikuwa hakuna mambo haya.Acha kudeka,
Chukua heater, chemsha maji mengi ya moto, osha hivyo vitanda kwa maji moto kila kona,
Chukua godoro lako, kung'uta vizuri kabisa, toa folonya ulifue, fua mashuka yako then pasi kwa moto mkali,
You are good to go,
Short cut, nunua dawa za kuua wadudu, pulizieni humo ndani, hazizidi buku 5, kwa watu wanne ni 1250 each,
Tuache kulalamikia vitu vidogo tunavyoweza solve wenyewe, sisi sio toddlers bana
Unawajua kunguni wewe?Acha kudeka,
Chukua heater, chemsha maji mengi ya moto, osha hivyo vitanda kwa maji moto kila kona,
Chukua godoro lako, kung'uta vizuri kabisa, toa folonya ulifue, fua mashuka yako then pasi kwa moto mkali,
You are good to go,
Short cut, nunua dawa za kuua wadudu, pulizieni humo ndani, hazizidi buku 5, kwa watu wanne ni 1250 each,
Tuache kulalamikia vitu vidogo tunavyoweza solve wenyewe, sisi sio toddlers bana
Viongozi wengi wa umma wala rushwaSina haja ya kutaja jina langu wala kuandika maelezo mengi, lakini kwa ufupi mimi ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Kwakweli suala la kunguni UDOM limekuwa linasumbuwa na lina kera kwa muda mrefu.
Ajabu ni kuwa hakuna hatua zinazochukuliwa kwa sasa wadudu hao wamekuwa wengi sana yaani nahisi hata Ufaransa tunaposikia wamefunga vyuo hawajafikia huku, ni kero sana.
Kunguni hao wanapatikana kwenye mabweni tunapolala, mfano kwenye college ya Education ndio balaa.
Siku za nyuma uongozi wa chuo ulikuwa na kawaida ya kupuliza dawa kwenye mabweni, lakini ndani ya miaka hii miwili hali imekuwa tofauti.
Tulipofunga Chuo Juni na Julai 2023 tulitegemea tukirudi tutakuta wamepuliza dawa lakini hali imekuwa tofauti, matokeo yake watu tumeanza kulazimika kutandika na kulala chini kwani vitandani hakulaliki.
Changamoto hii sio kwenye college yetu pekee bali karibia zote Wanafunzi tumekuwa tukilalamika kunguni.
Poleni sana.. huyo mdudu ni matesoo.Sina haja ya kutaja jina langu wala kuandika maelezo mengi, lakini kwa ufupi mimi ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Kwakweli suala la kunguni UDOM limekuwa linasumbuwa na lina kera kwa muda mrefu.
Ajabu ni kuwa hakuna hatua zinazochukuliwa kwa sasa wadudu hao wamekuwa wengi sana yaani nahisi hata Ufaransa tunaposikia wamefunga vyuo hawajafikia huku, ni kero sana.
Kunguni hao wanapatikana kwenye mabweni tunapolala, mfano kwenye college ya Education ndio balaa.
Siku za nyuma uongozi wa chuo ulikuwa na kawaida ya kupuliza dawa kwenye mabweni, lakini ndani ya miaka hii miwili hali imekuwa tofauti.
Tulipofunga Chuo Juni na Julai 2023 tulitegemea tukirudi tutakuta wamepuliza dawa lakini hali imekuwa tofauti, matokeo yake watu tumeanza kulazimika kutandika na kulala chini kwani vitandani hakulaliki.
Changamoto hii sio kwenye college yetu pekee bali karibia zote Wanafunzi tumekuwa tukilalamika kunguni.
Sina haja ya kutaja jina langu wala kuandika maelezo mengi, lakini kwa ufupi mimi ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Kwakweli suala la kunguni UDOM limekuwa linasumbuwa na lina kera kwa muda mrefu.
Ajabu ni kuwa hakuna hatua zinazochukuliwa kwa sasa wadudu hao wamekuwa wengi sana yaani nahisi hata Ufaransa tunaposikia wamefunga vyuo hawajafikia huku, ni kero sana.
Kunguni hao wanapatikana kwenye mabweni tunapolala, mfano kwenye college ya Education ndio balaa.
Siku za nyuma uongozi wa chuo ulikuwa na kawaida ya kupuliza dawa kwenye mabweni, lakini ndani ya miaka hii miwili hali imekuwa tofauti.
Tulipofunga Chuo Juni na Julai 2023 tulitegemea tukirudi tutakuta wamepuliza dawa lakini hali imekuwa tofauti, matokeo yake watu tumeanza kulazimika kutandika na kulala chini kwani vitandani hakulaliki.
Changamoto hii sio kwenye college yetu pekee bali karibia zote Wanafunzi tumekuwa tukilalamika kunguni.
Acha kudeka,
Chukua heater, chemsha maji mengi ya moto, osha hivyo vitanda kwa maji moto kila kona,
Chukua godoro lako, kung'uta vizuri kabisa, toa folonya ulifue, fua mashuka yako then pasi kwa moto mkali,
You are good to go,
Short cut, nunua dawa za kuua wadudu, pulizieni humo ndani, hazizidi buku 5, kwa watu wanne ni 1250 each,
Tuache kulalamikia vitu vidogo tunavyoweza solve wenyewe, sisi sio toddlers bana
Mnaji9na wafaransa wenyeweSina haja ya kutaja jina langu wala kuandika maelezo mengi, lakini kwa ufupi mimi ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Kwakweli suala la kunguni UDOM limekuwa linasumbuwa na lina kera kwa muda mrefu.
Ajabu ni kuwa hakuna hatua zinazochukuliwa kwa sasa wadudu hao wamekuwa wengi sana yaani nahisi hata Ufaransa tunaposikia wamefunga vyuo hawajafikia huku, ni kero sana.
Kunguni hao wanapatikana kwenye mabweni tunapolala, mfano kwenye college ya Education ndio balaa.
Siku za nyuma uongozi wa chuo ulikuwa na kawaida ya kupuliza dawa kwenye mabweni, lakini ndani ya miaka hii miwili hali imekuwa tofauti.
Tulipofunga Chuo Juni na Julai 2023 tulitegemea tukirudi tutakuta wamepuliza dawa lakini hali imekuwa tofauti, matokeo yake watu tumeanza kulazimika kutandika na kulala chini kwani vitandani hakulaliki.
Changamoto hii sio kwenye college yetu pekee bali karibia zote Wanafunzi tumekuwa tukilalamika kunguni.
Watasingiziwa wafaransa na spaniola huku wahuni wakiwa kitengo cha procurementSina haja ya kutaja jina langu wala kuandika maelezo mengi, lakini kwa ufupi mimi ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Kwakweli suala la kunguni UDOM limekuwa linasumbuwa na lina kera kwa muda mrefu.
Ajabu ni kuwa hakuna hatua zinazochukuliwa kwa sasa wadudu hao wamekuwa wengi sana yaani nahisi hata Ufaransa tunaposikia wamefunga vyuo hawajafikia huku, ni kero sana.
Kunguni hao wanapatikana kwenye mabweni tunapolala, mfano kwenye college ya Education ndio balaa.
Siku za nyuma uongozi wa chuo ulikuwa na kawaida ya kupuliza dawa kwenye mabweni, lakini ndani ya miaka hii miwili hali imekuwa tofauti.
Tulipofunga Chuo Juni na Julai 2023 tulitegemea tukirudi tutakuta wamepuliza dawa lakini hali imekuwa tofauti, matokeo yake watu tumeanza kulazimika kutandika na kulala chini kwani vitandani hakulaliki.
Changamoto hii sio kwenye college yetu pekee bali karibia zote Wanafunzi tumekuwa tukilalamika kunguni.
Mkuu, hao kunguni ni mtu unatembea nao, hawahami toka room moja kwenda nyingine,Wafanye hivyo wote maana ukifanya pekeyako haisaidii wale kunguni wanatapakaa.Hili tatizo kubwa,hata kile Chuo kikubwa dar nenda hostel za mabibo shida ya kunguni ni kubwa.Inasikitisha sana miaka ya nyuma Vyuoni kulikuwa hakuna mambo haya.
Mkuu CCM tena ?CCM ndo wa kulaumiwa, chuo kinaendeshwa kisiasa. Kwa kweli ni mateso nadhani hata jela Kuna nafuu kuliko hawa kunguni
Hata Mimi nashangaa, nimesoma pale CNMS sijawahi ona kunguniUDOM imeanza lini kuwa na kunguni,?
Unaijua UDOM ilivyo? Hao kunguni jamaa kakuza tu tatizo, hawapo vyumba vyote + kunguni hawatoki chumba kimoja kwenda kingine, walikuwa room kwetu walitutesa ila hawakwenda room yeyote ya jirani,Unawajua kunguni wewe?
Wanakaa kwenye kuta pia. Wakipuliza chumbani kwao watakuja wengine toka vyumba vingine.
Hapo lazima Wapulize jengo zima kila kona.
Wapulize vitanda na magodoro pia.
Wapulize majengo yote.
Hiyo kazi ifanywe na taasisi inayomiliki au inayo simamia majengo hayo.
Mhhhh source ya kuwa wanakaa siku 400?Hivi mlipokuwa likizo walikuwa wanaishije hao kunguni? Isije kuwa mmetoka nao huko vijijini kwenu. Kwani kunguni anaishi muda gani bila kunywa damu?
Edit: eti jamaa wanaweza ishi hadi siku 400 bila kunyonya damu!!! Natengua kauli.