dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Na Kweli nimeshaona mpuuz mmoja kaninginiza Kuja kujuwa Hana gari Wala hajawai kuwa nayoOndoa hofu mkuu....... wasikutishe wengne wananunua tu izo funguo kama urembo unakuta Hana ata gari lakini katundika funguo pembeni ya mfuko wa suruali..
Mbona nyie mnaonyesha shanga viunoni na hatusemi anySuruali ina mifuko, wekeni funguo mfukoni jamani. Unaponing’iniza kwa sababu ya kuionesha kwamba umekuja na gari nahisi ni ushamba fulani wa kiwango cha SGR.
Umewahi waona wakiendesha?Nimejaribu kuchunguza watu wenye magari ya thamani za kutupwa km Mo Dewji, Manji et al.. huwa funguo wananing'iza upande upi wa suruali nimekosa. [emoji56][emoji56][emoji56]
Kuninginiza funguo kiunoni sio ushamba na ni sehemu sahihi. Ulishachanganya ufunguo na simu mfuko mmoja ukaona kitu simu itafanywa? Ulishawai weka ufunguo mfuko wa nyuma ukaketi kisha uone kitu tako litafanywa? Ulishaweka funguo na remote yake mfuko wa nyuma ukaketi kisha uone kitu tako litaifanyia remote?Suruali ina mifuko, wekeni funguo mfukoni jamani. Unaponing’iniza kwa sababu ya kuionesha kwamba umekuja na gari nahisi ni ushamba fulani wa kiwango cha SGR.
Huyu atakuwa store keeper 🤣
Mimi nanin'giniza za gheto iliwajue silali nje,tambia ulichonacho budaaaWengine tuna ning'iniza funguo za milango ya ghetto.
Tukiweka mfukoni zinadondoka kwa hiyo usituponze tulale nje kwa ajili ya kukufurahisha wewe.
Hata kama ni vyote ulivyotaja wewe unapungiwa na nini?Sio ushamba.Ni aidha ULIMBUKENI au ni KIBURI na MAJIVUNO.
Mara nyingi tu hata Mo alivyotekwa kipindi kile ile Range alikuwa anaendesha mwenyewe. Usikariri sometimes wanaendesha wenyewe.Umewahi waona wakiendesha?
Kwani mfuko wa mbele upo mmoja hadi uchanganye simu na funguo? Acheni ushamba bhanaKuninginiza funguo kiunoni sio ushamba na ni sehemu sahihi. Ulishachanganya ufunguo na simu mfuko mmoja ukaona kitu simu itafanywa? Ulishawai weka ufunguo mfuko wa nyuma ukaketi kisha uone kitu tako litafanywa? Ulishaweka funguo na remote yake mfuko wa nyuma ukaketi kisha uone kitu tako litaifanyia remote?
Watu wengi wenye magari tuna simu zaidi ya moja... tafuta pesa utaelewaKwani mfuko wa mbele upo mmoja hadi uchanganye simu na funguo? Acheni ushamba bhana