Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
duh, pole kwa kweli una tatizo. Kama wadu walivyosema
1. Hakikisha kwapa lake ni safi kama la mtoto
2. anaoga angalu mara 2, asubuhi na kabla ya kulala au unapotaka kum-consume
3. Ndimu, vinegar hata udi wa kufukiza
4. Deodrant/body mist
5. Perfume ila sio Simla
akichanganya hizo teknik hapo juu zitasaidia
1. Hakikisha kwapa lake ni safi kama la mtoto
2. anaoga angalu mara 2, asubuhi na kabla ya kulala au unapotaka kum-consume
3. Ndimu, vinegar hata udi wa kufukiza
4. Deodrant/body mist
5. Perfume ila sio Simla
akichanganya hizo teknik hapo juu zitasaidia