Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

duh, pole kwa kweli una tatizo. Kama wadu walivyosema
1. Hakikisha kwapa lake ni safi kama la mtoto
2. anaoga angalu mara 2, asubuhi na kabla ya kulala au unapotaka kum-consume
3. Ndimu, vinegar hata udi wa kufukiza
4. Deodrant/body mist
5. Perfume ila sio Simla

akichanganya hizo teknik hapo juu zitasaidia
 
Jasho la mtu halinuki, kinachosababisha harufu ni byproduct inayotokana na maisha ya bacteria. Njia ya kwanza ya kupambana na kikwapa ni usafi. Anyoe makwapa kila mara, aoshe na sabuni walau mara tatu kutwa. Ndimu na white vinegar, kama acid inasababisha pH kuwa ndogo na hivyo kusababisha bakteria kufa. Kama ulivyoambiwa sugua na ndimu ama vinegar b4 kuoga na ukishaoga futa kwapa vema na kisha tumia deodorant. Kwa kweli harufu ya kikwapa inakera,mkipambana nayo itaisha tu! kila la kheri

Kuna mbaba huwa anakuja shati limelowa sehemu kubwa kweli upande wa kwapa, akishakaa baada ya muda utaisikilizia harufu yake ndugu. Mie huwa namuonea huruma kweli, manake hiyo nayo ni shida! Ningekuwa na mazoea nae kivile ningemuonesha huu ujuzi, sema ni mtu mzima ambae nimezoea tu kumpa shikamoo!
 
Caution: kamwe sirudie nguo bila kufua. Na asitumie deodorant kama hajatoka kuoga. Kuna watu wana tabia ya kutembea na deodorants kwenye handbags sijui wanatumiaje!

mkwe kama hiyo harufu ya kwapa kama ya kishindindo ajue tiba imeshindikana.
 
mimi kwa uzoefu wangu

watu wenye tatizo la kunuka midomo,kikwapa na miguu

tatizo lao sugu ni kuwa 'hawapati' watu wa kuwaeleza ukweli...
wengi hawajijui...


Kweli kabisa mkuu,

Watu wengi hawana watu wa kuwaambia. Na mie naamini kuambiwa ni tiba ya kwanza kabisa...Unashangaa mtu ana mke halafu saa 2 asubuhi anatoa harufu mdomoni utadhani ana swaumu na ni saa 11 jioni!!
 
Siyo tu atumie deodorant. Anachotakiwa kutumia ni 48 hr clinical strength ANTI-PERSPIRANT deodorant. Kuna tofauti baina ya deodorant na ANTI-PERSPIRANT deodorant.

Mtu kwenye tatizo kubwa la kikwapa deodorant pekee haitasadia kuondoa tatizo. Inapaswa atumie deodorant zinazokata utokwaji wa jasho kwenye kwapa na hizo ndiyo ANTI-PERSPIRANT deodorants.

Baadhi ya watu huwa hawajui hilo. Wakiona tu container lina neno deodorant basi anakimbilia kununua. Sasa deodorants zisizo anti perspirant ingredients huwa haziko effective kwa watu wenye vikwapa vinavyotema na ndiyo maana utakuta watu wanalalamika kuwa wamejaribu kutumia deodorant lakini wapi.

Ni muhimu sana kusoma ni deodorant ya aina gani mtu unanunua. I always recommend ANTI-PERSPIRANT deodorants.

Kaka leo umegawa ma ujuzi kweli kweli,

Hivi vitu inabidi watu wavipe kipaumbele sana. Vinginenvyo ndio mtu anakutana na kesheshe ya kukimbiwa na watu kila anapofika. Yaani mtu unakuta watu wamekaa kikundi ila mara tu baada ya kufika wanaondoka mmoja mmoja kama wanao wahi kula pilau kwa siri!
 
duh, pole kwa kweli una tatizo. Kama wadu walivyosema
1. Hakikisha kwapa lake ni safi kama la mtoto
2. anaoga angalu mara 2, asubuhi na kabla ya kulala au unapotaka kum-consume
3. Ndimu, vinegar hata udi wa kufukiza
4. Deodrant/body mist
5. Perfume ila sio Simla

akichanganya hizo teknik hapo juu zitasaidia


Duuu...Hii lugha imenikumbusha mbali sana..Enzi zile za form 2, mtu ukishanyoa pank na kuvaa suruali ya miguu ya kuku (don't touch my shoes), lazima lugha ibadilike aisee!
 
Kaka leo umegawa ma ujuzi kweli kweli,

Hivi vitu inabidi watu wavipe kipaumbele sana. Vinginenvyo ndio mtu anakutana na kesheshe ya kukimbiwa na watu kila anapofika. Yaani mtu unakuta watu wamekaa kikundi ila mara tu baada ya kufika wanaondoka mmoja mmoja kama wanao wahi kula pilau kwa siri!


lol......umenikumbusha kuna jamaa college alikuwa
ni mmbea mpaka wanawake wanamuogopa ingawa yeye ni kidume...
sasa ilifikia hatua kama mmekaa sehemu mnapiga story....akija yeye
automatically watu wanaishiwa cha kuongea...lol yaani ghafla kunaingia ukimya lol
 
lol......umenikumbusha kuna jamaa college alikuwa
ni mmbea mpaka wanawake wanamuogopa ingawa yeye ni kidume...
sasa ilifikia hatua kama mmekaa sehemu mnapiga story....akija yeye
automatically watu wanaishiwa cha kuongea...lol yaani ghafla kunaingia ukimya lol

Unajua The Boss,

Hakuna mtu wa muhimu kama mke/mme linapokuja suala la kuelezana mambo ambayo hakuna mtu mwingine anaweza kukwambia. Ndio maana watu wakioa/olewa wanabadilika sana. Mara nyingi wanaume ndio wanabadilishwa hadi mavazi. Pia wengine hufundishwa hadi kufua chupi na kuosha kikwapa!

Ni muhimu sana mkuu!
 
Unajua The Boss,

Hakuna mtu wa muhimu kama mke/mme linapokuja suala la kuelezana mambo ambayo hakuna mtu mwingine anaweza kukwambia. Ndio maana watu wakioa/olewa wanabadilika sana. Mara nyingi wanaume ndio wanabadilishwa hadi mavazi. Pia wengine hufundishwa hadi kufua chupi na kuosha kikwapa!

Ni muhimu sana mkuu!


kabisa aisee
na ndo mafunzo hasa ya ndoa yalivyokuwa zamani...
sasa siku hizi ndo unasikia mtu anasema
'nimemkimbia kwa sababu hii na hii' unajiuliza sasa kama sio wewe mpenzi wake wa kumwambia..
ataambiwa na nani??

ndo maana wanaume akishaoa ndo anakuwa 'more handsome' na wadada wengine
wanajiuliza mbona sikumuona zamani...kumbe kapata 'anaemfaa'....
 
Siyo tu atumie deodorant. Anachotakiwa kutumia ni 48 hr clinical strength ANTI-PERSPIRANT deodorant. Kuna tofauti baina ya deodorant na ANTI-PERSPIRANT deodorant.

Mtu kwenye tatizo kubwa la kikwapa deodorant pekee haitasadia kuondoa tatizo. Inapaswa atumie deodorant zinazokata utokwaji wa jasho kwenye kwapa na hizo ndiyo ANTI-PERSPIRANT deodorants.

Baadhi ya watu huwa hawajui hilo. Wakiona tu container lina neno deodorant basi anakimbilia kununua. Sasa deodorants zisizo anti perspirant ingredients huwa haziko effective kwa watu wenye vikwapa vinavyotema na ndiyo maana utakuta watu wanalalamika kuwa wamejaribu kutumia deodorant lakini wapi.

Ni muhimu sana kusoma ni deodorant ya aina gani mtu unanunua. I always recommend ANTI-PERSPIRANT deodorants.
ANTI-PERSPIRANTS SI NZURI KWA AFYA YA BINADAMU NA ZINASABABISHA MADHARA MAKUBWA KAMA BREAST CANCER COZ ZINAZUIA JASHO KUTOKA. PIA ZINA Alluminium AMBAYO SI NZURI KWA AFYA YA BINADAMU
 
kabisa aisee
na ndo mafunzo hasa ya ndoa yalivyokuwa zamani...
sasa siku hizi ndo unasikia mtu anasema
'nimemkimbia kwa sababu hii na hii' unajiuliza sasa kama sio wewe mpenzi wake wa kumwambia..
ataambiwa na nani??

ndo maana wanaume akishaoa ndo anakuwa 'more handsome' na wadada wengine
wanajiuliza mbona sikumuona zamani...kumbe kapata 'anaemfaa'....

Mbona wale wenzetu wa upande wa pili mambo yao mara nyingi huwa mabaya baada ya ndoa?? Au ni utaratibu tu wa kubalance equation???
 
Mimi nadhani mwambie azidishe round za kuoga.Kama alikuwa anaoga mala moja kwa siku basi at least iwe mala tatu kwa siku.Japo hakiwezi kwisha lakini kitapungua

paka kwenye kikwapa ndimu au limao baada ya kuoga

Niliwahi kusikia kuwa maji ya limao ni dawa nzuri

Msugulie ndimu kutwa mara tatu kabla na baada ya kukoga. Ukiona haijakata baada ya wiki aanze kuosha kwa siki nyeupe "white vinegar" kutwa mara tatu na aendelee na kusugulia ndimu, ndimu unaikata kati na kila kipande kimoja unasugulia kwapa moja.

Pole sana, hilo ni tatizo linalotibika na si la kudumu.

Lakini hakikisha huyo mpenzi wako ni mume/mke wako wa halali, kama unakula vya haramu basi hicho kikwapa ndio hakikatiki.

mwambia apake vitunguu kabla ya kulala na akiamka baada ya kuoga.

Pole sana, ila kama unampenda kwa dhati hiyo harufu ya kikwapa inabidi ndio uione kama pafyumu, teh teh teh "natania"!

Mmeenda hospitali????
Inabidi uvumilie hiyo hali huku mkiendelea kutumia tiba mbalimbali. Ila hii thread ungeipeleka JF Doctors ungepata msaada wa madaktari.

Mwambie ajaribu kupaka limao kwenye kwapa nasikia husaidia kukata harufu ya ngwapa!

Tumia Deodorant, au pakaa maji ya limao (hii ni kwa mujibu wa Jf Doctors)

Mwambie achukue pamba awe analowesha kwenye spirit halafu aweke kwenye hayo makwapa yake na abana kwa dakika kazaa. Fanyeni hivyo kila siku kwa muda wa wiki 2.
Dah!! Sijui hapa utachukua ushauri wa nani..:lol:
 
Msisahau pia maji katika mwili ni kitu muhimu sana, lita tatu hadi nne kwa siku, punguza spicy foods, caffeine na alcohol, au chochote kinachodehydrate mwili wako. A dehydrated body smells bad especialy kikwapa kinachoacha vitu vyeupevyeupe kwapani, au vinavyoacha alama ya njano kwenye shati jeupe.

Kunywa maji kadri uwezavyo, kiyoyozi nyumbani kama unaweza kinasaidia, tembea sehemu za vivuli au kaa ndani bila nguo na ujipepee.

Whatever it takes not to dehydrate urself.
 
Back
Top Bottom