Kununua magazeti siku hizi ni kupoteza pesa yako

Kununua magazeti siku hizi ni kupoteza pesa yako

Tukiachana na masuala ya siasa, biashara ya magazeti ipo matatani sana, technology inaiua kila kukicha.

Linaweza tokea jambo fulani ila binafsi sehemu ya kwanza kufika ili kupata taarifa za uhakiki ni JF au Twitter.

Waandishi wenyewe taarifa wanazitolea mtandaoni kisha wanaandika, watu wanakaa kufuatlia account za watu fulani huko social media kwa lengo la kupata habari fulani za kuandika.

Andaeni websites au blogs ama hata social media accounts kwaajili ya kuweka hizo habari, ila magazeti dah!!

Hali tete wazee
 
Hata Daily News, The Citizen, The Guardian saizi kuna muda wanajaza kurasa za matangazo, habari za mitindo na mambo yasiyo na msingi. Wakati ndio gazeti zilizokuwa na Matangazo ya michongo ya pesa na tenda.
 
Hata Daily News, The Citizen, The Guardian saizi kuna muda wanajaza kurasa za matangazo, habari za mitindo na mambo yasiyo na msingi. Wakati ndio gazeti zilizokuwa na Matangazo ya michongo ya pesa na tenda.
Hata mwananchi na nipashe linaelekea kule kule hamna kitu
 
watu wakishakua na smartphone wakajua kuingia jf na insta wanadhani ndio kila mtu dunia nzima yuko kama yeye
 
watu wakishakua na smartphone wakajua kuingia jf na insta wanadhani ndio kila mtu dunia nzima yuko kama yeye
2225961_52329ad5d373663f7653cdb1660b293d.jpeg
 
HILI JAMAA LINAONA SIFA..... KUMBE HALIJUI LIMEHARIBU NCHI KWA WIZI WAKE.
 
Magazeti yakitoweka,ajira zitatoweka,ajira zikitoweka tunaongeza wimbi la watu wapya wasio na ajira hivyo maisha chini ya utawala wa ngumbalu jiwe kuwa magumu
 
Me nikiwa na hamu ya kusoma magazeti naenda kwenye shelf nachukua yale ya zamani kama JITAMBUE na MSHAURI WAKO najikumbusha tuu makala za wakati huo,sina muda na magazeti yetu ya sasa kwakweli...
 
Me nikiwa na hamu ya kusoma magazeti naenda kwenye shelf nachukua yale ya zamani kama JITAMBUE na MSHAURI WAKO najikumbusha tuu makala za wakati huo,sina muda na magazeti yetu ya sasa kwakweli...
MI nilikuwa mpenzi wa. Magazeti sana lakini sasa nina zaidi ya miaka Miwili sijanunua gazeti
 
Magazeti yakitoweka,ajira zitatoweka,ajira zikitoweka tunaongeza wimbi la watu wapya wasio na ajira hivyo maisha chini ya utawala wa ngumbalu jiwe kuwa magumu
Mwaka juzi waandishi kibao walipunguzwa, Sahiv wengi wapo tu
 
Mfumo wa chama kimoja utafanya maisha ya mtanzania kubadilika kabisa, kiuchumi, kijamii nk.

Tukiongelea upande wa magazeti hamna kipya kwa kweli, habari ni zile zile na watu ni wale wale tutakaowasikia. Hiyo ni mbaya maana itapelekea watu kutonunua magazeti na mwisho wake waandishi kwenye kampuni hizo kupunguzwa ili kuenenda na gap.

Zile habari za kiuchunguzi na kukosoa serikali na viongozi hakuna tena, zimebaki zile za kupamba serikali na viongozi wake tu

Watu wengi wanaona ni bora kuingia YouTube na mitandao Mingine ambayo habari hazijaelemea upande mmoja ili kupata wanachohitaji
Tuko wengi. Tangu citizen na Mwananchi waanze kusifu na kuabudu sisomi Tena haya magazeti ya kufungia nyama
 
Back
Top Bottom