ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Nasikia hata kina New York Times na Washington Post wanapumulia mashine. Kwa huu ukuaji wa teknolojia, watu tunapata habari za hivi punde "breaking news" dakika hiyo hiyo utake gazeti la nini. Ndio maana nao wameona waanzishe kama vile Mwananchi online ili kuendana na mabadiliko.