Kuoa asiye na bikra ni sawa tuu na kuoa single mother

Wanayafanya hayo yote na wanawake wenzao au wanaume?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kila mtu anaamini dini za wazungu na waarabu walizowaletea ili kuwatawala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
usichezee hiyo nafasi ikiwezekana anza kumtumia kidogo kiuchumi ili iwe ngumu kwake kukuacha. Na hata akikuacha aumie hasara aliyoipata. Ishi nae kwa akili
Nimeanza nae tangu sina kitu mpaka sasa, japo mambo hayajanyooka sana ila ndio kama tumeanza juzi. Ogopa unaambiwa " mume wangu huu mwaka usipite bila kununua kiwanja". Imebidi nimpeleke hom kijanja janja kama rafiki na saivi anaweza hata lala kiufupi huyu ntaoa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Sasa usimcheleweshe oa kama unaoa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…