Best Creation
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 222
- 204
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzi hayana dawa.imekuwa biashara.
So cha kufanya akitaka hela mpe mtumie biashara ndio hvo.
No attachements or u will cry hardly one day.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntaoa mkuu hao wa upande wa pili ntapigia tu mazoezi.Sasa usimcheleweshe oa kama unaoa mkuu
Ni kweli mkuu lakin kwa dunia ya sasa swala mahusiano kanuni zote zimevunjwa.liko kwenye capitalism.Kila kitu kina kanuni mkuu.
We jamaa ni 2018 saiv ...watt wa miaka 15 tu tyr hawana bikira wengi tuu...ko ukitaka oa binti wa miaka 25 hukoo...ukitaka lazima awe na bikira sijui utamkutaje kutajeUnaanzaje kuoa demu sio bikra?
Ni sawa umeoa mke wa mtu tu!!
Ni kweli mkuu lakin kwa dunia ya sasa swala mahusiano kanuni zote zimevunjwa.liko kwenye capitalism.
Only those with enough power will feast
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sio bkra usioe !tomb@ acha mpaka umpate bikraWe jamaa ni 2018 saiv ...watt wa miaka 15 tu tyr hawana bikira wengi tuu...ko ukitaka oa binti wa miaka 25 hukoo...ukitaka lazima awe na bikira sijui utamkutaje kutaje
Sent using Jamii Forums mobile app
sitaki kuishi maishaa ya hovyoo.....Kama sio bkra usioe !tomb@ acha mpaka umpate bikra
Ha haaa ni kweli mkuu single mothers ukibahatika kumpata anaejielewa uta enjoy.pia nayo ni kanuni, ila kama hujaoa fuata ninachokisema hutokuja juta. We waone tuu watu wanavyopita njiani, vyumbani ni km tyson na evander
Na anzia hapa. Bikra inatolewa mara moja hali kadhalika mimba inaingia mara moja.Unahaki Mkuu, sema tuu
Siwaamini nao vile vileBasi nenda kwa wazee wa mila wakuambie umuhimu wa bikra kwa mwanamke aolewapo
Narekebisha kauli ya juu "Wewe kama mzinifu tegemea kuoa wa mfano wako au muovu wa mfano wake"Unahaki Mkuu, sema tuu