Bi zandile
JF-Expert Member
- Sep 12, 2024
- 301
- 856
- Thread starter
-
- #181
Kuna wajinga wanaamini mwanamke anatulizwa πNi kweli. Binafsi ninachokijua hao Bikra siku bikra ikitoka huwa watulivu sana, lakini punde huanza kutamani kujua tofauti ya kujamiiana na wengine tofauti na aliemtoa bikra.
Oa mwanamke alieamulia kutulia , mwanamke hatulizwi.
Siri ya mtungi. Wewe kwa amani yako baki hivo hivo ili usijitafutie shida. Cha muhimu ni kumuamini mwenzako.Hayo ni mawazo yako wewe, mimi nakuambia ninao ona kwangu, buana ni cheat na tafuta nini tena wakati naridhika 95%
Swali la kimkakati ndio maana umelikwepa kujibuBado una una uvulana mwingi, siku Ukikua utaacha maswali ya kivulana
Hivi hiyo dhana ya KE kuwa na mtaro huwa mnaitoa wapi?? Nafikiri Kuna something like Kiba..a huko ndani ndani ya naniliu yako ndiyo hukupa hizo dhanaWewe utakuwa umeishazibuliwa mtaro ndo maana hujui thamani ya bikra!
Yaani wanashangaza kweli Yani hawajui hata nini wanahitaji, sababu maneno na matendo yao ni vitu viwili TOFAUTI.Hizo Bikra wanaotoa si ndo hao hao wanataka kuoa bikra
Ajabu hao wakaka watoboao mabinti za Watu ndiyo hao hao badae wanataka kuoa mabikra!! Wakaka mtafika mbinguni mmechoka sanaπ€£π€£Kwani hao watoto wa kike hujitoboa wenyewe?
We tulia na huyo mke wa mtu bana, kelele za nini?.Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.
Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.
Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.
Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokote."
Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.
Mungu awaondolee ujinga.
Unadanganya watu ati wewe na mume wako. Mbona una hasira. Wewe kama ulipoteza bikira na hadi sasa hujaolewa kaa kwa kutulia. Huyo unayemuita mumeo si mumeo. Mumeo ni yule aliyeondoa bikira yako na pengine hujui hata yuko wapi. Waache hao wanaume wanaoamini kuoa wanawake bikira na akili ujinga wao.Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.
Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.
Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.
Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokote."
Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.
Mungu awaondolee ujinga.
Inakuwaje hii mkuu, kwamba baada ya Kifo Kuna zawadi hizo?Wabillah Towafiq!Msinisumbue na bikra zenu.Kwanza nina ahadi ya bikra 72 nikifa.
Ngoja waje tuwasomeMimi sipo serious kihivyo Mkuu..
Ila naamini wababa wazoefu humu waliowahi kuwashindanisha wanawake kati ya mwenye bikra na asiyenayo kwenye ubora wa kuenzi ndoa ipasavyo wanaweza kutupa uhakika wa hilo.
Naam.Tena nitakuwa mwenye kujilaza kwa upole kando ya kijito cha pombe huku mabikra wangu wakinipetipeti.Nitakuwa mwenye furaha iso kifani.Nacheka tu huku nikipapaswa sunna ya ndevu.πInakuwaje hii mkuu, kwamba baada ya Kifo Kuna zawadi hizo?
N wengi wamepigwa sana katika hili!Sio ajabu mbona...
Tangu mchina awekeze kwenye biashara ya kutengeneza bikira limeibuka kundi la wapumbavu kama wewe wenye kujisifu kuwa walioa bikira ilhali huyo demu alishatumika sana kisha akaenda kwa mchina kununua bikira ili kumfurahisha mjinga kama wewe
Aiseee!! Sasa kwa Nini unakubali kuendelea kuwa katika Dunia hii iliyojaa mahangaiko mengi na taabu!!Naam.Tena nitakuwa mwenye kujilaza kwa upole kando ya kijito cha pombe huku mabikra wangu wakinipetipeti.Nitakuwa mwenye furaha iso kifani.Nacheka tu huku nikipapaswa sunna ya ndevu.π
Sawa mkuu Mungu akupe hitaji la moyo wako.Swala ni kwamba wewe ni mwanaume wa kwanza, hajui mwanaume mwingine zaidi yako, hata kama wewe ni "bamia " atajua wanaume wote wapo hivyo, kutoka nje sio rahisi.
Chizi sio lazima aokote makopo barabara yaani mwenye mawazo kama yako ni chizi kamili πWabillah Towafiq!Msinisumbue na bikra zenu.Kwanza nina ahadi ya bikra 72 nikifa.
Hizo story za mabikira usipoweka picha zao hapa itakuwa chai πNaam.Tena nitakuwa mwenye kujilaza kwa upole kando ya kijito cha pombe huku mabikra wangu wakinipetipeti.Nitakuwa mwenye furaha iso kifani.Nacheka tu huku nikipapaswa sunna ya ndevu.π
Hivi mkuu hao mabikra wa kukupetipeti huko uendako baada ya Kifo watatoka wapi?Naam.Tena nitakuwa mwenye kujilaza kwa upole kando ya kijito cha pombe huku mabikra wangu wakinipetipeti.Nitakuwa mwenye furaha iso kifani.Nacheka tu huku nikipapaswa sunna ya ndevu.π