Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.

Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.

Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.

Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokote."

Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.

Mungu awaondolee ujinga.
Mimi nilisoma na kaka mmoja mkewe alimuoa akiwa mkamili,yule dada anakua km mjinga Kwa rafiki na akitoka mishe zake ni home yaani humkuti na mwanaume au marafiki yupo busy na familia yake and mumewe ,masela wamewinda wapiii km yupo then huo uficho ni mkubwa sn ila Shem ametulia sana.
Hii mada dada utaumbuka bure iache kabisa
 
Tatizo bikra zinauzwa madukani siku hizi.

Kuna binti wa Kidigo nilisoma nae Uganda, ilikuwa tunaishi kama mke na mume na kufanya yote kama wanandoa.

Baada ya kumaliza shule aliambiwa tu kuwa kuna mume katokea na anaolewa.

Moja ya mila za watu wa Tanga ni kuweka shuka nyeupe chumba cha bwana na bibi harusi usiku wa kwanza baada ya ndoa. Wakikuta damu inamaanisha demu alikuwa bikra na wazazi hupewa zawadi.

Kwa yule binti damu ilitoka nyingi na sifa kedekede kwenda kwa wazazi wake kuwa wamemlea vyema.

Baadae kuja kuongea na demu akasema alipewa dawa ya kufunga na mama yake kumfanya awe na utepe tena.

Mumewe mpaka leo anaamini kambikiri mkewe kumbe demu keshabikiriwa toka kinda. Hata mimi sikumkuta na bikra na alishapanch mimba kadhaa.
Sawa tu hata iwe fake ama yakutengeneza kikubwa amani ya moyo. Lkn kukuta kabisa abdalah kapita asee asee aseeeeeee
 
Hivi mkuu hao mabikra wa kukupetipeti huko uendako baada ya Kifo watatoka wapi?

KE nao baada ya Kifo watapewa tuzo za ME bikra? Inakuwaje mambo haya bro??
Wale tutakuwa wenye kuandaliwa tayari.Wanawake wakifa watakuwa wanapalilia kingo za mito ya pombe na kumwagia bustani tu.
 
Back
Top Bottom