Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Umeandika kama vile unamjua mume wake...Nimegundua kitu hahaha, usjali lkn muhim mume wako hajamaindi alivokuta haipo
Wewe ni mzaramo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika kama vile unamjua mume wake...Nimegundua kitu hahaha, usjali lkn muhim mume wako hajamaindi alivokuta haipo
Kabisaaa....wengi ni 10+Siku hizi mwanamke aliyetembea na me chini ya watano huyo ndio bikra.
Aolewe nayo asiolewe nayo, haikuhusu mkuuHongera mkuu vipi we uliolewa na bikra!?? tupate experience
Pale KAHABA anapojitetea
Aliyebuni bikra za kutengeneza aliona wajinga kama wewe ni wengi mno..Msimamo wangu uko palepale lazima nioe mwanamke BIKRA , ukiona nipo na wewe mwanamke na hauna bikira sahau tu mm kuwa mumeo nitakulala nikikuchoka na badili chombo
ChaiKuna siku moja nimepoa katika hizi vilabu vya pombe Za kienyeji, kuna Bibi pembeni alikuwa anapata ulabu.Sasa Mimi na watu wengine tukawa tunapiga stori Za hapa Na pale, nikasikia Bibi anasema NITASAHAU WANAUME WOTE LAKINI SIO YULE ALIYENITOA BIKRA.
Sasa wewe fikiria Kwa akili ya kawaida Yule Bibi umri ulikuwa kama miaka 70+ lakini alimkumbuka aliyemtoa bikra.Vipi mke uliyemuweka ndani?.
Mwanamke bikra Ni Bora Sana katika ndoa.
MweeeeeAliyebuni bikra za kutengeneza aliona wajinga kama wewe ni wengi mno..
Jimwambafu tu baada ya kubikiri mwanamke mwenye bikira feki 😂😂
Hili nalo neno.Msimamo wangu uko palepale lazima nioe mwanamke BIKRA , ukiona nipo na wewe mwanamke na hauna bikira sahau tu mm kuwa mumeo nitakulala nikikuchoka na badili chombo
Una uthibitisho wowote kuwa mtoa mada ni malaya?Kaka hili bandiko ni too heavy kwa huyu mleta mada kulielewa, huyu ni mwanamke oya oya ambaye ameshatonbwa sana na wahuni na Sasa amebahatisha liboya lake limemuweka ndani basi ndio ameona aje humu kuwasanua na wanawake wenzie kwamba wanaweza wakafanya umalaya na Bado wakaolewa, na huku akitukandia kwa maneno ya kifedhuri sisi wanaume tusiopenda kuoa Malaya wastaafu kama yeye...
Na kingine analazimisha wanaume tuweke standards za kuchagua mke ambazo zinawafurahisha Malaya kama yeye huku akitaka tupuuze kabisa standards za kiumeni
Mara nyingi Malaya ndio huwa wanapatwa na makasiriko sana na kutoa kauli za dharau kwa wanaume ambao wanapendelea kuoa mwanamke bikra na sio wao.Una uthibitisho wowote kuwa mtoa mada ni malaya?
Pole yake sana mleta mada...
Mimi namjua Bi Zandile, na mumewe ninamjua pia tupo naye hapa hapa jf, huyo bibie hayupo kama ulivyomtuhumu na ndio maana nikakuuliza kama una uthibitisho hata wa kumkaza tu katika umalaya wake kwa kuwa ni malaya.Mara nyingi Malaya ndio huwa wanapatwa na makasiriko sana na kutoa kauli za dharau kwa wanaume ambao wanapendelea kuoa mwanamke bikra na sio wao.
Wewe unafikiri mwanamke decent ambaye Hana vinasaba vya umalaya anaweza akaandika Uzi wa kishenzy kama huu kukashifu machaguo ya watu??
Malaya huwa wanajulikana tu hata kupitia maandiko yao, kwanza wanakuwaga wamepinda sana hata kauli mbovu mbovu kwao ni za kufikia tu....
Kunywa au mwaga.Chai
Huna akili na ndio mana umeleta mfano wa Rais,kwanini usilete mfano wa dada yako?Uwe na adabu kwa mke wa mwenzio, kumfananisha na kahaba umewaza kijinga mno, hivi hujui hata rais wako ana sifa zote za Bi Zandile, je naye ni kahaba? Ikiwa jibu lako ni ndiyo basi bado hujafikia age ya kuwa mtu mzima
Tulia kijana, hata dada zako walitobolewa before marriage je nao ni makahaba?Huna akili na ndio mana umeleta mfano wa Rais,kwanini usilete mfano wa dada yako?
Mwanamke aliyeolewa bila bikra huyo ni kahaba tu
Nenda tena kwenye kijiwe chako cha kunywa ulanzi utuletee kisa kingine cha mlevi mwenzio kibibi mlevi akibwabwaja kutomsahau aliyembikiri 😁Kunywa au mwaga.
Mwanamke hawezi kumsahau mwanaume aliyemtoa bikra
Siku zote Gentleman ni mwanaume dhaifu Kwa mwanamke.Nenda tena kwenye kijiwe chako cha kunywa ulanzi utuletee kisa kingine cha mlevi mwenzio kibibi mlevi akibwabwaja kutomsahau aliyembikiri 😁
We bado kinda japo unakunywa na kulewa ulanzi....
Gentleman hunywa mtori wa moto na sio kujisifia kuoa na kubikiri mademu bikira.
Wewe na huyo kibibi chako kilevi nyote ni mafala tu 😁😁
Bila Shaka ndio ni makahaba.Tulia kijana, hata dada zako walitobolewa before marriage je nao ni makahaba?
Acha ujinga
Sasa hao waliowatoboa c ndio wakaolewe nao?Kwani hao watoto wa kike hujitoboa wenyewe?
Hakuna anayekupangia we oa tu, kama hutaki kuoa walitobolewa utakutana na wengine walitobolewa ila waka renew papuchi kwa kununua bikira za dukani..Sasa hao waliowatoboa c ndio wakaolewe nao?
Yale yalw unaoa kumbe jitu linamkubali x wake aliyemzindua. Msitupangie.