Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Acha kujichanganya inaonekana umekimbilia kutoa comment pasipo kusoma na kuelewa alichoandika mtoa mada..

Fahamu mtoa mada hajaishusha thamani bikira, fahamu pia bikira imeshushwa thamani na wanaume wenyewe..

Fahamu pia mchina alitumia fursa ya kupiga hela kwa kutengeneza bikira feki baada ya kugundua kuwa kuna Me wajinga wanaobikiri hovyo watoto wa kike kisha wanakimbilia kutafuta Ke bikira wa kuwaoa 🤣🤣

Hapo mchina akaingia maabara na kufanya yake... hadi kufikia sasa hao mliowabikiri na kuwakimbia leo mnawasaka kwa udi na uvumba ili muwaoe hao 'mabikira'.

Hoja ya mtoa mada ni kwamba waweza kuoa bikra but usipate furaha maishani yaani ile ndoa isidumu.

Endeleeni kusaka mabikra wa kuoa
Wakioa bikra fake unapungukiwa nini?,haya wangapi wanaoa wanawake wasio bikra na wanaishia kulia tu. Acheni kuhalalisha uharamia wenu hapa kwa kutetea tetea ujinga na kujenga hoja za kipuuzi ili kuhalalisha upuuzi wenu
 
Ngoja nisubiri mabkra 70.....uko akhera

Uku tunajzana upepo tu bikra mbele mdomo upo wazi...ahahahaa
 
Wakioa bikra fake unapungukiwa nini?
Wakioa asiye bikira unapungukiwa nini?

Acha ujinga....... Besides, virginity doesn’t make marriage work. What makes marriage work is selflessness, forgiveness, kindness, patience and commitment.
 
Oa tu asiye bikra unayependana naye.. Besides, virginity doesn’t make marriage work. What makes marriage work is selflessness, forgiveness, kindness, patience and commitment.
Lakini hivi ulivyoviandika hapa unakubali kuwa hata bikra anakuwa navyo?
 
Lakini hivi ulivyoviandika hapa unakubali kuwa hata bikra anakuwa navyo?
Nimekupa kile mtoa mada anachokazia, mtazamo wako upo kinyume na mtoa mada..

Ingekuwa sawa ikiwa utakubaliana na hoja ya mtoa mada.

Ndoa haifanyiki kuwa bora kwa sababu ya kuoa bikra.

Soma vizuri alichoeleza mtoa mada, soma tena na tena na tena na utaelewa.

NB
Mtoa mada hahamasishi mabinti watobolewe kabla ya ndoa.
 
Alieleta mada hii ni mwanamke halafu ...hakuna mwanaume asiependa kuoa bikra tatizo kujua mwanamke ni bikra ni mpka ulale nae pili kuna bikra feki ndo maana siku hizi hatuziulizii ....unafikiri mungu kwanini alimuwekea kizinda mwanamke na sio mwanaume?
 
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.

Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.

Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.

Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."

Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.

Mungu awaondolee ujinga.
Wewe kweli hamnazo usikute hamna malezi kwenu
 
Boss

Asante kwa andiko lina point sana,,ila tuwe wakwel tu, sex peke yake haifanyi ndoa kuwa na furaha

Mtoa mada ana point asikilizwe,kutokuwa mbinafsi,kuvumiliana na kuheshimiana,msamaha ndio mambo muhimu sana katika maisha ya ndoa period

Wewe oa bikira wako halafu awe mjeuri,mbinafsi,hana heshima,hana subira,nakwambia utasahau hata kama ulimuoa na bikira
Wewe bila shaka ni demu asie bikra na hajaolewa unatafuta huruma humu
 
So as your mom is a begger
Virginity is the biggest loyalty from a woman
Not any woman, Be specific “your woman” we ain’t yours, relax.

Bolded: You can’t drag me to your level… I am smarter than you.
 
"Ah, specificity noted! But relax—ownership isn't my style; elevation is. Speaking of levels, are we sure you're at yours?"
The importance of a virgin girl before marriage is often perceived through the preservation of cultural honor, adherence to religious doctrines of chastity, demonstration of moral fortitude, safeguarding of emotional and physical purity, cultivation of trust and respect within matrimonial bonds, reduction of health risks, affirmation of societal expectations, and the embodiment of personal or spiritual integrity.




Support your foolishness
 
Back
Top Bottom