Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Ushauri kwako mleta Uzi
Moja; Never wrestle with a Pig

Mbili; Ignorance a bliss, kwahio mtu anapotaka bikira sio kwamba anaweza kupata au amepata hata ile idea kwamba amepata kwake ndio peace of mind kwa kudhani kwamba yeye ndio alfa na omega..., sasa katika karne hizi za kuweza kutengeneza bikra unaweza kumpa hio peace of mind so long as una uhakika unaweza uka keep that pretense in the future na hakuna bones in the closet au chicken ambazo zinaweza kuja home to roost


Tatu: Relationship ni ngumu sana tena sana kwahio ni rahisi sana kama unataka mkae till death do you apart kutafuta mtu anayekupenda sana wewe na kujifunza kumpenda kuliko unayempenda sana wewe na anavijidude ambavyo hamuendani ukadhani unaweza kumbadilisha....


Mwisho Kabisa to each their own na ingawa mwanaume wanasema ni kichwa na anapenda kuwa kichwa lakini practically mwanamke anaweza kuwa shingo na akiwa na busara anaweza kumgeuza mwanaume popote anapotaka na maisha yakaenda.... The acme of skill and maturity is to loose battles if you know you are winning the War...
 
Ndoa itakuwa salama kwani mwanamke hajui mwanaume mwingine zaidi yako. Hata kama wewe ni Mr. Bamia, atajuwa wanaume wote wapo hivyo.
 
Ndoa itakuwa salama kwani mwanamke hajui mwanaume mwingine zaidi yako. Hata kama wewe ni Mr. Bamia, atajuwa wanaume wote wapo hivyo.
 
Aroo we! Arooo tena! Dem bikra ndo wife material full stop!!!!!
Umemsikia pastor Rose Shaboka alivyojimwambafu kuwa aliolewa akiwa bikira?

Cha ajabu kuna mjuba tulisoma naye pale UDSM alikuwa anamkula sana tu hadi akamjaza mimba ila Rose alifanya abortion mimba ikatoka...

Jiulize hiyo bikra aliyokutwa nayo na mumewe aliitoa wapi 🤣🤣

Wanaume wajinga mnajimwambafu kizoba eti mwanamke bikira ndio wife material ilhali Ke wananunua bikra za mchina na kusema wao ni mabikira kumbe walitobolewa kitambo 😂😂
 
Umemsikia pastor Rose Shaboka alivyojimwambafu kuwa aliolewa akiwa bikira?

Cha ajabu kuna mjuba tulisoma naye pale UDSM alikuwa anamkula sana tu hadi akamjaza mimba ila Rose alifanya abortion mimba ikatoka...

Jiulize hiyo bikra aliyokutwa nayo na mumewe aliitoa wapi 🤣🤣

Wanaume wajinga mnajimwambafu kizoba eti mwanamke bikira ndio wife material ilhali Ke wananunua bikra za mchina na kusema wao ni mabikira kumbe walitobolewa kitambo 😂😂
Uliwaona kipindi wanazini na kutoa mimbs
 
umechokoza nyuki
IMG-20241207-WA0005.jpg
 
Dada unavyoonekana unaunia sana kupoteza bikira yako kwa mtu usiyekuwa na malengo na wewe
Najaribu kuwatoa ujinga wanaume wajinga mtambue bikira zilizopo sasa ni made in China kisha muache ujinga wa kushobokea wanawake bikra ilihali walikwisha tobolewa kitambo then waka renew
 
Ila ni Ile tuu mwanaune ume mwingine akimkuta mke wake ni bikira , unaona kama ni shujaa hivi .
Na ni true mostly of men tunapenda hio.

Ishu ya uwaminifu haina kanani unaweza kuoa ambaye Hana bikira still akazaa na ex wake kisa amemisi dushe la jamaa yake.

Ila sisi me tuanachoofia Mwanamke aliyekutana na wanaume wengi Huwa na uzoefu wa mb*o kadhaa na wanaume wa sikuhizi wanakuza maumbile Yao. Kama alikuwa na ex wa maumbile makubwa kuliko wewe mume wake shida inaanza hapo.

Ndo Ile silikizi kwa mume wangu.
Hata wewe hubishi hivyo.
 
Hio ishu yako uliyoileta inategemeana .
Kama mwanaune kajitunza je katika maisha yake. Akataka bikira unamkosoa???
Nimesema bikra haiwezi kuifanya ndoa ikawa bora so mwenye akili atatafuta mwanamke ampendaye hata kama sio bikira na wataishi vizuri tu maadam wanapenda.
 
Nimesema bikra haiwezi kuifanya ndoa ikawa bora so mwenye akili atatafuta mwanamke ampendaye hata kama sio bikira na wataishi vizuri tu maadam wanapenda.
Ni kigezo Cha mtu.
Sawa na mwanaune anayesema anataka mwanamke mweupe kwani weupo ndo uwaminifu?? Au ndo atakuwa mwaminifu??

Mimi nafikili ni kigezo Cha mtu mwenyewe sio kulahumu.
Sasa sijajua kinachokuuma Nini?

Usikazanie ujajua ujakua maana yake Nini???
 
Ila ni Ile tuu mwanaune ume mwingine akimkuta mke wake ni bikira , unaona kama ni shujaa hivi .
Na ni true mostly of men tunapenda hio.

Ishu ya uwaminifu haina kanani unaweza kuoa ambaye Hana bikira still akazaa na ex wake kisa amemisi dushe la jamaa yake.

Ila sisi me tuanachoofia Mwanamke aliyekutana na wanaume wengi Huwa na uzoefu wa mb*o kadhaa na wanaume wa sikuhizi wanakuza maumbile Yao. Kama alikuwa na ex wa maumbile makubwa kuliko wewe mume wake shida inaanza hapo.

Ndo Ile silikizi kwa mume wangu.
Hata wewe hubishi hivyo.
So wewe una kibamia?

Usiogope kibamia kinaweza kufanya kazi vizuri.... Acha mawazo duni.
 
Ni kigezo Cha mtu.
Sawa na mwanaune anayesema anataka mwanamke mweupe kwani weupo ndo uwaminifu?? Au ndo atakuwa mwaminifu??

Mimi nafikili ni kigezo Cha mtu mwenyewe sio kulahumu.
Sasa sijajua kinachokuuma Nini?

Usikazanie ujajua ujakua maana yake Nini???
Una uvulana mwingi wewe..

By the way niambie unatafuta mke bikira nikuelekeze pa kumpata?
 
Back
Top Bottom