Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Screenshot_20250125-004129.png
 
nenda Iraq kaoe binti wa miaka 9.
Kama wewe ulishindwa kuitunza hadi akaitoa mumeo basi sio kwamba wanawake wote watashindwa wewe ndo umeshaanguka pole sana amka songa mbele na kifurushi chako.
 
Una uhakika baba yako hakuishi na dustbin ukapatikana wewe
Doesn’t matter, Lets talk now sivyo basi na mimi ningekuwa dust ningekuwa regular kama hao ambao wanabeba beba tu hovyo ila kama nimejua thamani yangu mean hata kama baba aliishi na dust bin basi tressure iliangukiamo humo kwenye dustbin

Point hapa sio umezaa nini, Point ni wewe upo kwenye hali gani.
 
Ukimkuta hana muulize aliitolea wapi. Akuelekeze hadi huyo mtu aliyemtoa, ili ukikutana naye njiani mheshimiane upite ukijua kuwa huyu mtu ndye aliyemtoa bikra mke wangu.
 
Doesn’t matter, Lets talk now sivyo basi na mimi ningekuwa dust ningekuwa regular kama hao ambao wanabeba beba tu hovyo ila kama nimejua thamani yangu mean hata kama baba aliishi na dust bin basi tressure iliangukiamo humo kwenye dustbin

Point hapa sio umezaa nini, Point ni wewe upo kwenye hali gani.
Simply you conclude baba yako aliishi na dustbin sio?, yeye hakujipenda as you put it..? Sijaona kwa nini unatafuta validation humu, tafuta bikira lako uoe usitusumbue humu....kama ni dustbin dada zako, shangazi zako, mama yako yote inawezekana ni dustbin as you put it, ungefikiria hili wala usingejaribu ku degrade dada za watu...
 
Safi sana, kila mtu aweke standard zake na aziishi.

If you have what it takes… have some standards!!
 
Simply you conclude baba yako aliishi na dustbin sio?, yeye hakujipenda as you put it..? Sijaona kwa nini unatafuta validation humu, tafuta bikira lako uoe usitusumbue humu....kama ni dustbin dada zako, shangazi zako, mama yako yote inawezekana ni dustbin as you put it, ungefikiria hili wala usingejaribu ku degrade dada za watu...
Sikiliza nikuambie kitu… Siku zote jifunze kukubali kukosea utajifunza kuwa na hekima… Tatizo la mimi kutokupenda convo battle na ladies ni kwamba you people mnatumia hisia nyingi ufahamu kichele…. always hampendi kukubali makosa na always mnapenda excuse na kutafuta pa kuangushia lawama na kujifichia maovu yenu , Mimi sijaongelea wazazi maana haijalishi baba yako na mama yako au aunti zako au wajomba zako au dada zako wapo katika hali gani au walikuwa kwenye hali gani mimi najiongelea mimi na ambao wana nafasi kama mimi, Unachojaribu kukiongea hapa ni kutaka mimi nisiukemee au kuusema umasikini vibaya kisa eti wazazi au watu wangu wa karibu ni masikini that’s poor thinking
 
Sikiliza nikuambie kitu… Siku zote jifunze kukubali kukosea utajifunza kuwa na hekima, Mimi sijaongelea wazazi maana haijalishi baba yako na mama yako au aunti zako au wajomba zako au dada zako wapo katika hali gani au walikuwa kwenye hali gani mimi najiongelea mimi na ambao wana nafasi kama mimi, Unachojaribu kukiongea hapa ni kutaka mimi nisiukemee au kuusema umasikini vibaya kisa eti wazazi au watu wangu wa karibu ni masikini that’s poor thinking
Unajiongelea wewe ila unajisahau hauishi in a vacuum, wewe ni product ya wanaokuzunguka, tunakukumbusha una mama,shangazi dada etc kabla hujaanza kunyooshea vidole "dustbin " nyingine...and yes ukiongelea vibaya masikini wakati wewe ni masikini tutakuona hypocrite!
 
Ukimkuta hana muulize aliitolea wapi. Akuelekeze hadi huyo mtu aliyemtoa, ili ukikutana naye njiani mheshimiane upite ukijua kuwa huyu mtu ndye aliyemtoa bikra mke wangu.
Unamuambia nani sasa?
 
Unajiongelea wewe ila unajisahau hauishi in a vacuum, wewe ni product ya wanaokuzunguka, tunakukumbusha una mama,shangazi dada etc kabla hujaanza kunyooshea vidole "dustbin " nyingine...and yes ukiongelea vibaya masikini wakati wewe ni masikini tutakuona hypocrite!
Vizuri, Sasa na nikiongelea watu wasioe wanawake waliowakuta unsealed na mimi nikawa mmojawapo wa ambao hawataoa mwanamke ambae hana seal unaniona hypocrite pia???
 
Back
Top Bottom