Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Umemsikia pastor Rose Shaboka alivyojimwambafu kuwa aliolewa akiwa bikira?

Cha ajabu kuna mjuba tulisoma naye pale UDSM alikuwa anamkula sana tu hadi akamjaza mimba ila Rose alifanya abortion mimba ikatoka...

Jiulize hiyo bikra aliyokutwa nayo na mumewe aliitoa wapi 🤣🤣

Wanaume wajinga mnajimwambafu kizoba eti mwanamke bikira ndio wife material ilhali Ke wananunua bikra za mchina na kusema wao ni mabikira kumbe walitobolewa kitambo 😂😂
Sawa kma kaamua kusema uongo mbele ya madhabahu
 
Umemsikia pastor Rose Shaboka alivyojimwambafu kuwa aliolewa akiwa bikira?

Cha ajabu kuna mjuba tulisoma naye pale UDSM alikuwa anamkula sana tu hadi akamjaza mimba ila Rose alifanya abortion mimba ikatoka...

Jiulize hiyo bikra aliyokutwa nayo na mumewe aliitoa wapi 🤣🤣

Wanaume wajinga mnajimwambafu kizoba eti mwanamke bikira ndio wife material ilhali Ke wananunua bikra za mchina na kusema wao ni mabikira kumbe walitobolewa kitambo 😂😂
Siku hizi naskia kuna bikra mbili au anamaanisha ile ingine
 
Tena hao mabikira ni washenzi balaa siku watakapoonja mpiko wa nje hupatwa na ulimbukeni wa kujaribu kuonjaonja mpiko kila saizi. Ukute kakutana na gogo linalofika pahala haujawahi kufikisha hakuna rangi utaacha kuona. Wale hugeuka vichaa wa mapenzi nje ya ndoa na kuona waume zao waliowabikiri kuwa ni wadogo hawana mitulinga ya kuwashindilia mpaka wajambe
 
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.

Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.

Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.

Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."

Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.

Mungu awaondolee ujinga.
Punguza hasira bikira ni muhimu sana
 
Tatizo bikra zinauzwa madukani siku hizi.

Kuna binti wa Kidigo nilisoma nae Uganda, ilikuwa tunaishi kama mke na mume na kufanya yote kama wanandoa.

Baada ya kumaliza shule aliambiwa tu kuwa kuna mume katokea na anaolewa.

Moja ya mila za watu wa Tanga ni kuweka shuka nyeupe chumba cha bwana na bibi harusi usiku wa kwanza baada ya ndoa. Wakikuta damu inamaanisha demu alikuwa bikra na wazazi hupewa zawadi.

Kwa yule binti damu ilitoka nyingi na sifa kedekede kwenda kwa wazazi wake kuwa wamemlea vyema.

Baadae kuja kuongea na demu akasema alipewa dawa ya kufunga na mama yake kumfanya awe na utepe tena.

Mumewe mpaka leo anaamini kambikiri mkewe kumbe demu keshabikiriwa toka kinda. Hata mimi sikumkuta na bikra na alishapanch mimba kadhaa.
Bikra ni Imani
 
KUMBUKUMBU LA SHERIA. 22 : 13-21

"Mtu akitwaa mke, akamwingilia na kumchukia, kisha akamshtaki mambo ya aibu kumzushia jina baya, akasema , Nimemtwamwanamke huyu, nami nilipomkaribia sikuona kwake alama ya ubikra;
Ndipo babaye na yule kijana na mamaye watakapotwaa alama za yule kijana za ubikira, wawatolee wazee wa mji langoni

Na baba yake yule kijana awaambie wazee, mwanamme huyu nilimpa binti yangu awe mkewe, naye mchukia;

Angalieni amemwekea mambo ya ajabu asema, sikuona kwa binti yako alama ya ubikira, nazo hizi ndizo alama za binti yangu za ubikira, na wayakunjue yale mavazi mbele ya wazee wa mji

Basi wazee wa mji ule na wamtwae yuke mtu mume na kumrudi.

Wamtoze shekeli mia za fedha wampe babaye yule kijana, kwakuwa amemzulia jina baya mwanamwali wa israel; naye awe mkewe, huna ruhusa ya kumwacha kwa siku zake zote.

Lakini ikiwa ni kweli neno hili la kutoonekana kwake yule kijana alama za ubikira

Na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe, kwa vile alivyofanya upumbavu katika israel, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake, ndivyo utakavyoondoa uovu katika ti yako.
 
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.

Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.

Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.

Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."

Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.

Mungu awaondolee ujinga.
Kwa akili yako fupi Mungu nwenyewe kakataza msiwe wazinzi unatoaje bikra Kayla haujaolewa?

Kwahiyo walio olewa bila bikra wao ndio wake bora? Shenzi.
 
Nahisi kabisa ni sahihi kama sitaoa mtoto wa mtu katika maisha yangu, Na kama ikitokea kwa mfano Mtu akanihoji ni kwanini nitasema ni kwa sababu sijawahi kukuta mwanamke aliejitunza kiasi cha mimi kumuamini na kumfanya mwili mmoja (Yaani siwezi kuoa mwanamke ambae sijamkuta bikira) Na kama ningeliwahi kuhusika katika kumtoa mtoto wa mtu usichana wake katika maisha yangu basi ningalimtafuta popote alipo na kumuoa kwa sababu huzuni yake ya kukosa heshima ya mwanaume ambayo ingesababishwa na kutokuwa bikira ingenihusu mimi pia… Nasema hayo nikiwa innocent kabisa maana sijawahi kumuharibia binti wa mtu usichana wake maana wote niliokutana nao walikuwa used tu.

Wengine watahoji je, ninavyosema hivyo je, mimi ni bikira??? Jibu ni rahisi tu kwamba mwanaume ni mteja ambae anatafuta bidhaa kwaajili ya kukidhi hitaji lake, Sokoni bidhaa ni nyingi na nyingine ni rahisi kujua kama hazina ubora kwa macho ila nyingine ni lazima uzifanyie test kuhakiki. Sasa je, vipi kama mimi kila ninayohisi ni bora ninapoijaribu nikakuta ina mapungufu je, nitainunua hivyohivyo ??? Amahakika ambae tafanya hivyo basi ni mpumbavu aua amejiandaa kwa kukabiliana na tatizo hilo ila mimi siwezi.

Kuoa ni jambo sensitive sana kiroho hivyo sioni kama ni jambo la kuchukulia poa na kuchukua tu mtu unakuta ashachezea sana mishindingi, Binti huyo kumfanya awe mwili mmoja na mimi hiyo itakuwa ni kutokujipenda, kujishushia heshima na kujishusha thamani…. Sasa hapo unakuwa mwili mmoja au miili mitatu?…. Hii ndo sababu ndoa za sikuhizi hazidumu maana penye wengi hakukosi malumbano, Unamuambia mwanamke asifanye hivi yeye anafanya unahangaika kuongea kila siku lakini kama kakuweka mute, Unamlaumu huyo binti ukizani ni yeye kumbe ni ule mwili alioungana nao miaka 15 iliyopita ndo unampelekesha hii unakuta pia inawasumbua hadi wanaume ambao waliwaharibia usichana mabinti wa watu huko nyuma wakazani wamemaliza kumbe wanatembea na miili ya watu.

Kama wewe ni mwanaume uliwahi kuhusika kutoa bikira ya binti wa watu na hukumuoa you deserve to face these kind struggles za hizi pisi hata kama mkeo hukumkuta bikira, Ila kama upo innocent na mkeo hukumkuta bikira alafu akakuletea pigo sio asee usijishauri sana cut the shit off you deserve better brother acha kupambana na mafurushi yasiyokuhusu acha ufalla.

Kupata bikira kwa dunia ya sasa yaweza kuwa ngumu sikatai ila pia kama ni hivyo basi hata kuoa kwangu itakuwa ngumu.

Tegemea maoni ya makasiriko kwa pisi zilizopigika vibaya mno kutokana na huu uzi, Amini ya kwamba hawa wote kuhusu bikira kitambo sana❌⬇️
 
Back
Top Bottom