Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

"Ah, specificity noted! But relax—ownership isn't my style; elevation is. Speaking of levels, are we sure you're at yours?"
The importance of a virgin girl before marriage is often perceived through the preservation of cultural honor, adherence to religious doctrines of chastity, demonstration of moral fortitude, safeguarding of emotional and physical purity, cultivation of trust and respect within matrimonial bonds, reduction of health risks, affirmation of societal expectations, and the embodiment of personal or spiritual integrity.




Support your foolishness
binti kiziwi deaf
 
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.

Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.

Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.

Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."

Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.

Mungu awaondolee ujinga.

Nafikiri umewaonea tu, hatuwezi kubisha kwamba “Ni bora kuoa bikra” maana ni less risky, but not guarantee; Kama unajipa moyo Sababu umechukua lingoro lako, usikatishe tamaa wenzako!

Utafiti unasema wanawake wengi wanaotoka kwenye ndoa, hutoka na watu ambao wamewahi Kuwa na mahusiano nao, sikumbuki statistics, ila ni zaidi ya 90%

Kwa kuoa bikira, utafiti unasema unapunguza asilimia kubwa sana ya hayo mambo, ila sio guarantee nakubali, sijui unanielewa?
 
Bikra ni muhimu Sana inaonesha jinsi gani mwanamke anatunza utu na dhamani yake.Tulitakiwa kuwaasa na kuwasisitiza watoto wetu wa kike wajitunze na sio kuwaambia Ndoa haijengwi na Bikra.
Ila kuna mama mmoja nasikia aliolewa akiwa bikiria anagawa jamani dah,ungeweza kusema labda mume wake muhuni lakini wapi,jamaa mtu wa nyumbani sana....!
 
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.

Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.

Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.

Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."

Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.

Mungu awaondolee ujinga.
Wanawake wanachukia sana mada hizi za UMIHINU WA MWANAUME KUOA MKE MWENYE BIKRA.
Wengi wape,unaweza kumpata mke bora ambaye hana bikira lakini kwa asilimia kubwa mke bora pamoja na mambo mengi ni yule aliye weza kujitunza na hadi pale alipoolewa.
Baadhi ya makabila walikuwa wakimruhusu mume na mke kuanza kujamiiana baada tu ya ndoa,na alitwa mtu kwenda kuhakikisha endapo mwanamke alikuwa bikira au laa!
Mjumbe anaporudi na kutoa taarifa kuwa mwanamke alikuwa hajaanza kuingiliwa basi shamra shamra hufanyika kwa kupongezana.
Ndoa ni maisha na ni mchakato hivyo ukimpata bikira utakuwa na bahati lakini sio wote wenye hiyo bahati.

Binafsi mwanamke bikira ni bora kuliko aliyechezewa na mamia ya wanamme,hawezi kuwasahau wote
 
Mimi namjua Bi Zandile, na mumewe ninamjua pia tupo naye hapa hapa jf, huyo bibie hayupo kama ulivyomtuhumu na ndio maana nikakuuliza kama una uthibitisho hata wa kumkaza tu katika umalaya wake kwa kuwa ni malaya.

Baada ya kutoa jibu lako nimebaini wewe ndiye malaya na umedanganywa sana tu na malaya wanunuzi wa bikira za mchina..

Punguza makasiriko kijana baada ya kupondwa za uso na Bi Zandile hadi ukaamua kumuweka kwenye kundi la malaya ilhali hujui na wala huna uthibitisho kuhusu umalaya wake.

Gentleman hawezi kuwa na makasiriko kama yako.
Hata kama unamjua mwambie mleta mada yeye ni mpumbavu na bila shaka huyo mme wake wanaumia kwa kumuoa akiwa MTUMBA

BIKRA HAWEZI KUFANANISHA NA KAHABA ABADAN
 
Hata kama unamjua mwambie mleta mada yeye ni mpumbavu na bila shaka huyo mme wake wanaumia kwa kumuoa akiwa MTUMBA

BIKRA HAWEZI KUFANANISHA NA KAHABA ABADAN
Wewe unamuona mleta mada ni mpumbavu, mumewe anamuona bibie sio mpumbavu na ndio maana wanafurahia maisha...

Nadhani wewe ukiitwa mpumbavu kwa kukerwa na maisha ya wengine nasi unafaa kuitwa mpumbavu.
 
Wewe unamuona mleta mada ni mpumbavu, mumewe anamuona bibie sio mpumbavu na ndio maana wanafurahia maisha...

Nadhani wewe ukiitwa mpumbavu kwa kukerwa na maisha ya wengine nasi unafaa kuitwa mpumbavu.
Tuliza mshono na wewe ndio unaonekana uliemuoa huyo mtumba mleta mada, pole sana kwa kuoa mke wa mtu
 
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.

Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.

Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.

Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."

Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.

Mungu awaondolee ujinga.
Upo Sahihi 💯
 
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.

Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.

Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.

Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."

Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote
 
Tuliza mshono na wewe ndio unaonekana uliemuoa huyo mtumba mleta mada, pole sana kwa kuoa mke wa mtu
Kusema kwamba ni mke wa mtu inadhihirsha wazi wewe una akili kisoda coz aliyeoa halalamiki halafu wewe umekaza fuvu eti ni mke wa mtu.....

Laiti ungejua kuwa siku hizi kuna bikira za dukani ungefunga domo lako maana utajtapa leo au kesho kuwa ulioa mke bikira ilhali huyo Ke alitobolewa kitambo kisha akaenda kwa Wachina kununua bikra ili akufurahishe zuzu kama wewe...

Pole sana kijana.
 
Aroo we! Arooo tena! Dem bikra ndo wife material full stop!!!!!
Kongolee kwa Wachina wanaotumia ujinga wa wasaka bikira kama fursa ya kudumu kuuza bikra feki...

Endelea kujimwambafu ila mchina anakuletea bikra ya kiwanda 😂
 
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.

Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.

Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.

Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."

Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.

Mungu awaondolee ujinga.

Ni utoto tu wakikua wataacha, ndoa ni complex sana na sex ni part muhimu ila ni ndogo! Ni yaleyale ya wabongo kujua kila issue inatatuliwa kwa nyundo tu
 
Back
Top Bottom