Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Na huyo mkeo naye ni kahaba au ulimtoboa wewe mwenyewe?Bila Shaka ndio ni makahaba.
Nipo hapa nasubiri jibu la mdau wa ulanzi 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huyo mkeo naye ni kahaba au ulimtoboa wewe mwenyewe?Bila Shaka ndio ni makahaba.
Hakuna ke wakunizid akili dunia hii...Hakuna anayekupangia we oa tu, kama hutaki kuoa walitobolewa utakutana na wengine walitobolewa ila waka renew papuchi kwa kununua bikira za dukani..
Ukiwapata hao Ke wajanja wa mjini utarudi hapa kijimwambafu kuwa umeoa Ke bikira ilhali demu hajui hata idadi ya walomkula kabla haja renew papuchi na kuolewa nawe😂😂
... kama una kibamia na umeoa bikra ni sawa na mtu kushika plot Masaki kwa kujenga chumba na sebule, UTAHAMISHWA TU!Usiwatetee waliooa mitumba,acha wapambane na hali zao.
Kama umeoa aliyefumuliwa ni kuwa umeoa mke wa mtu.
Kuvunja bikra ni kuweka agano.
Ndio ni kahaba unafikiri nitakujibu kwa kusitasita mkuu.Na huyo mkeo naye ni kahaba au ulimtoboa wewe mwenyewe?
Nipo hapa nasubiri jibu la mdau wa ulanzi 😂😂
Mlija auna mfunikoo chupa ndo yenye mfunikoo😂😂🤌Kwani mimi ni demu niwe bikra vip wewe? Mlija hauna mfuniko chupa ndo yenye mfuniko.
Ni kwel ilaa mtazamo anao ujenga Kwa vijana ni mbovuuu...... Kwa huo ushaurii akutakiwa kuuweka kwenye uu uzii ....kulingana na mawazo yakee ana waaminisha na kuwapa moyo wadada wafanye sex kwamba watapata wa kuwa oa😂😂...........ndo MAANA NA MIMI NAUNGA MKONO MTOA MADAA UNAUFAHAMU MDOGOO🙏🖐️🫴Boss
Asante kwa andiko lina point sana,,ila tuwe wakwel tu, sex peke yake haifanyi ndoa kuwa na furaha
Mtoa mada ana point asikilizwe,kutokuwa mbinafsi,kuvumiliana na kuheshimiana,msamaha ndio mambo muhimu sana katika maisha ya ndoa period
Wewe oa bikira wako halafu awe mjeuri,mbinafsi,hana heshima,hana subira,nakwambia utasahau hata kama ulimuoa na bikira
Apia 🤣🤣Hakuna ke wakunizid akili dunia hii...
Kwa nini ukaoa kahaba?Ndio ni kahaba unafikiri nitakujibu kwa kusitasita mkuu.
Kama umeoa mwanamke sio bikra basi umeoa kahaba Tu.
Hii ni porojo tuKunywa au mwaga.
Mwanamke hawezi kumsahau mwanaume aliyemtoa bikra
Hizo Ni sababu zangu binafsi Mzee wanguKwa nini ukaoa kama?
Wee ndio umesema mkuuHii ni porojo tu
Mbona unapambana na kila anayepinga andiko?, Kwani si tumekubaliana kwenye kuoa ni hiyari ya mtu?, anayetaka bikra aachwe atimize hitaji lake la moyo hata kama itakuwa ya mchina kikubwa kafata moyo wake wewe shida yako ipo wapi hapo?,.Kupanga ni kuchagua kama mimi na wewe tulioa used tusishinikize ionekane kwamba sisi ndo tumepatia kuliko anayetaka/aliyeoa bikra wakati ndio hata mafundisho yanatutaka tuoe wanawake waliojitunza. Usitake kutuaminisha kwamba mwanamke bikra anakosa sifa zingine ambazo mtoa mada ameziorodhesha kwenye mada yake.Acha vijana watafute bikra bhn hayo mambo ya mchina itategemeana na umakini wa mtafutaji asipokuwa makini atkutana na mchina na akiwa makini atalamba dume. Tusiwavunje moyo vijana na kuwapa kiburi watoto wa kike kujiachia tu wakijua bikra sio issue tena kumbe bikra haijawahi kushuka thamani na haitakuja kushuka thamani.Hakuna anayekupangia we oa tu, kama hutaki kuoa walitobolewa utakutana na wengine walitobolewa ila waka renew papuchi kwa kununua bikira za dukani..
Ukiwapata hao Ke wajanja wa mjini utarudi hapa kijimwambafu kuwa umeoa Ke bikira ilhali demu hajui hata idadi ya walomkula kabla haja renew papuchi na kuolewa nawe😂😂
mwanamke anaweza asimsahau mwanaume pekee ni yule anaemridhisha sio anaemtoa bikra weka hili kwenye akili yakoWee ndio umesema mkuu
Nakataamwanamke anaweza asimsahau mwanaume pekee ni yule anaemridhisha sio anaemtoa bikra weka hili kwenye akili yako
Asante sana mkuu🙏Mbona unapambana na kila anayepinga andiko?, Kwani si tumekubaliana kwenye kuoa ni hiyari ya mtu?, anayetaka bikra aachwe atimize hitaji lake la moyo hata kama itakuwa ya mchina kikubwa kafata moyo wake wewe shida yako ipo wapi hapo?,.Kupanga ni kuchagua kama mimi na wewe tulioa used tusishinikize ionekane kwamba sisi ndo tumepatia kuliko anayetaka/aliyeoa bikra wakati ndio hata mafundisho yanatutaka tuoe wanawake waliojitunza. Usitake kutuaminisha kwamba mwanamke bikra anakosa sifa zingine ambazo mtoa mada ameziorodhesha kwenye mada yake.Acha vijana watafute bikra bhn hayo mambo ya mchina itategemeana na umakini wa mtafutaji asipokuwa makini atkutana na mchina na akiwa makini atalamba dume. Tusiwavunje moyo vijana na kuwapa kiburi watoto wa kike kujiachia tu wakijua bikra sio issue tena kumbe bikra haijawahi kushuka thamani na haitakuja kushuka thamani.
Hata mimi nina ushahidi pia mwanamke anasikia raha ni pale akipata mtu anaye mkojolesha huyo ndio anacess zaidi hata kama huyo mwanamke ataolewa na mwingine but huyo jamaa akitaka capuchi atapewaNakataa
Nina ushahidi na point ya jamaa.
Acha kujichanganya inaonekana umekimbilia kutoa comment pasipo kusoma na kuelewa alichoandika mtoa mada..Tusiwavunje moyo vijana na kuwapa kiburi watoto wa kike kujiachia tu wakijua bikra sio issue tena kumbe bikra haijawahi kushuka thamani na haitakuja kushuka thamani.
Na wewe weka Hilo kwenye akili yakomwanamke anaweza asimsahau mwanaume pekee ni yule anaemridhisha sio anaemtoa bikra weka hili kwenye akili yako