Bi zandile
JF-Expert Member
- Sep 12, 2024
- 301
- 856
- Thread starter
- #81
Bandiko halielezei ukungwi, endelea kujifukiza.sikutegemea kama ungekuwa kungwi, enewei tuendelee kujifukiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bandiko halielezei ukungwi, endelea kujifukiza.sikutegemea kama ungekuwa kungwi, enewei tuendelee kujifukiza
Naomba uje DMumechokoza nyuki
Nipe mbinu role model wangu Covax ulimpataje aiseee,maana mimi nastruggle ninawapataje? Majibu tafadhaliMimi nilioa mke bikra mpaka leo sijawahi kuona chembe chembe za kutoka nje, mke bikra ana uzuri wake asikuambie mtu.
Dada, zunguka kusema hiki na kile…fariji watu kuwa kuna za kutengenezwa. Wambie watu kuwa thamani ya mwanamke si lazima Bikra….bado ukweli upo palepale kuwa KAMA HUNA BIKRA KABLA YA NDOA KWASABABU YA “USHAKUWA NA MAHUSIANO NYUMA”, MWANAUME ATAKAEKUOA KAOA USED. Nakwambia Hakuna Mwanaume ambae anapenda kuoa USED….wanajifariji tu kama unavyojifariji wewe.Kwa hiyo unangojea bikira wa kuoa?
Hivi hujui kuwa mchina huwa anatengeneza na kuuza bikira, siku ukikutana na demu mwenye bikira iliyotengenezwa na mchina utajisifu kuwa umebikiri demu ilhali demu alishabikiriwa kitambo kisha kwa kuusoma ujinga wako akakununulia bikra ya mchina jinga wewe
Akili mbovu unayo mwenyewe kwa kukimbilia kutoa comment pasipo kusoma na kuelewa hoja yangu..Sister una akili mbovu sana.
Wanaume ni wa kuonewa huruma zaidi kuliko wanawake, kwa jinsi dunia yetu ilipofikia…Tatizo bikra zinauzwa madukani siku hizi.
Kuna binti wa Kidigo nilisoma nae Uganda, ilikuwa tunaishi kama mke na mume na kufanya yote kama wanandoa.
Baada ya kumaliza shule aliambiwa tu kuwa kuna mume katokea na anaolewa.
Moja ya mila za watu wa Tanga ni kuweka shuka nyeupe chumba cha bwana na bibi harusi usiku wa kwanza baada ya ndoa. Wakikuta damu inamaanisha demu alikuwa bikra na wazazi hupewa zawadi.
Kwa yule binti damu ilitoka nyingi na sifa kedekede kwenda kwa wazazi wake kuwa wamemlea vyema.
Baadae kuja kuongea na demu akasema alipewa dawa ya kufunga na mama yake kumfanya awe na utepe tena.
Mumewe mpaka leo anaamini kambikiri mkewe kumbe demu keshabikiriwa toka kinda. Hata mimi sikumkuta na bikra.
Tena huko Tanga usithubutu aisee huo mkoa una mambo ya kijinga kijinga sanaTatizo bikra zinauzwa madukani siku hizi.
Kuna binti wa Kidigo nilisoma nae Uganda, ilikuwa tunaishi kama mke na mume na kufanya yote kama wanandoa.
Baada ya kumaliza shule aliambiwa tu kuwa kuna mume katokea na anaolewa.
Moja ya mila za watu wa Tanga ni kuweka shuka nyeupe chumba cha bwana na bibi harusi usiku wa kwanza baada ya ndoa. Wakikuta damu inamaanisha demu alikuwa bikra na wazazi hupewa zawadi.
Kwa yule binti damu ilitoka nyingi na sifa kedekede kwenda kwa wazazi wake kuwa wamemlea vyema.
Baadae kuja kuongea na demu akasema alipewa dawa ya kufunga na mama yake kumfanya awe na utepe tena.
Mumewe mpaka leo anaamini kambikiri mkewe kumbe demu keshabikiriwa toka kinda. Hata mimi sikumkuta na bikra.
NakaziaUsiwatetee waliooa mitumba,acha wapambane na hali zao.
Kama umeoa aliyefumuliwa ni kuwa umeoa mke wa mtu.
Kuvunja bikra ni kuweka agano.
Utetezi wa hoja yangu ni huu hapa... "Besides, virginity doesn’t make marriage work. What makes marriage work is selflessness, forgiveness, kindness, patience and commitment."Umeleta hoja nzuri lkn umeshindwa kuitetea.
Unawaza kivulana mno, jaribu kuwaza kiungwana utahama kwenye akili ya kivulanaNalipa mahari ya kutunziwa nini wakati nimekuta mwanamke ashatumika? Mimi kama mwanaume nitaheshimika vp kwenye jamii yangu kuoa mwanamke ambae uchi wake ushafunuliwa na wanaume wengine?
Wakware wa kiume hawawezi kukuelewa mkuu japo una hoja nzuriBikira anastahili bikira mwenzake wa kufanana nae, waanze wote moja, wajifunze pamoja
MkumbusheKwenye agano la kale, lile shuka linatunzwa na ndugu zake mwanamke. Mume akimkosea mke wake kumtuhumu uchafu, ushahidi wa shuka unatolewa, na huyo 'me ataadhibiwa vikali
Hapo kwa Makamalia wabaita GG si ndioWanawake wanataka wanaume wenye pesa na wanaume wanataka wanawake wenye bikra
Fatilia hizo bikra zinatolewa hao wote wawili wakiwa kwenye stage ipi, ndio jibu lakoKama lengo ni kuoa mwenye bikra na kila mwenye bikra anafaa kuolewa na hatatizo naomba kuuliza nani alitoa bikra?? Mbona hakuoa kama bikra ni sifa ya pekee ya mwanamke. Bora hakuna Cha ziada??