Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali kama hilo huulizwa na mjinga tuOk sawa,Alie kutoa bikra unamkumbuka?
😅😅😅
Hoja yako ni nzuri ila sasa usisapoti wanawake wawe wanatoa bikra zaoAsante baba
Mkuu umemsoma huyu mwamba Ngurukia?Dada, zunguka kusema hiki na kile…fariji watu kuwa kuna za kutengenezwa. Wambie watu kuwa thamani ya mwanamke si lazima Bikra….bado ukweli upo palepale kuwa KAMA HUNA BIKRA KABLA YA NDOA KWASABABU YA “USHAKUWA NA MAHUSIANO NYUMA”, MWANAUME ATAKAEKUOA KAOA USED. Nakwambia Hakuna Mwanaume ambae anapenda kuoa USED….wanajifariji tu kama unavyojifariji wewe.
Mimi na Saint Topman Michael are friends in real-life, kwaio ku-share knowledge it's normal.
Kwani hao watoto wa kike hujitoboa wenyewe?Naona mnataka kuhalalisha watoto wakike kutokujitunza
ni mtoto wa mamamdogo yangu, 'binamu' nadhaniKwan wewe na @mshamba_mwingine sio mtu moja?
Wapi nimesapoti watoe bikira?Hoja yako ni nzuri ila sasa usisapoti wanawake wawe wanatoa bikra zao
Fafanua mkuuSiku hizi mwanamke aliyetembea na me chini ya watano huyo ndio bikra.
Hilo halina ubishi japo sijawahi kutana na kitu seal🤣🤣Mimi nilioa mke bikra mpaka leo sijawahi kuona chembe chembe za kutoka nje, mke bikra ana uzuri wake asikuambie mtu.
Mshangazi🤣🤣🏃🏃🏃🏃MIE BADO BIKRA
Mnakula raha Tu🤣🤣Umeoa Used?Unaoa chombo imetembea KM 10000000.Tuliopata bahati ya kupata mke bikra hatujawahi juta mwaka wa 12 huu tunaswampa tu. Ashukuriwe Mungu.
Oooh nakujaNaomba uje DM
Mwanaume hajawekewa bikraKwa nini mwanamke tu na sio mwanamke na mwanaume wawe wote mabikira?
Sasa hivi bikira unaipata wapi jamani? Uanai search goggle au wapi?Mimi ni mtu mzima kidogo! Sishauri mtu kuoa mwanamke asiye-bikra.
Wadada wengi sasa wana msururu wa wanaume, yaani unakuta binti tu wa 25 ameshatembea na wanaume kama kumi.Fafanua mkuu
Narudia kukupa pole dada yangu.Maelezo kamili yapo wazi kwa bandiko, hiyo pole unayotoa ipo nje na mada